Inspekta Haroun: Muziki unahitaji mapambano, sijakata tamaa
Inspekta Haroun amedai haina haja ya msanii kupata stress baada ya kutoa ngoma kadhaa na zikashindwa kufanya vizuri. Rapper huyo mkongwe amewataka wakongwe wenzake kukubali matokeo yoyote yanayotokea katika muziki wao. “Hauitaji kuwa na stress baada ya kuona huwezi kwenda popote. Unapoona umegota sehemu ujue mbele yako kuna kitu kizuri kinakuja,” rapper huyo ameiambia Planet […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo503 Oct
Kuiga muziki wa nje itatuletea athari baadae — Inspekta Haroun
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Rich One atoka na Inspekta Haroun
MSANII mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini, Haruna Kahena ‘Inspekta Haroun’, aliyetikisa katika ulimwengu wa muziki huo miaka ya nyuma, anatarajia kusikika tena katika wimbo ‘Ndwee’ wa nyota wa...
9 years ago
Mtanzania16 Nov
Lowassa: Sijakata tamaa
*Asema ameshindwa pambano si vita
*Ajipanga upya agoma kueleza mikakati yake
*Ukawa wataka ZEC imtangaze Maalim Seif Z’bar
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
WAZIRI mkuu wa zamani na aliyekuwa mgombea urais kupitia Chadema, Edward Lowassa, amesema ataendelea kupambana katika siasa na kwamba yawezekana ameshindwa katika pambano lakini si vita.
Lowassa aliyasema hayo jana katika mkutano na waandishi wa habari, baada ya kuulizwa nini hatima yake ya kisiasa baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba...
10 years ago
Bongo517 Jan
Inspekta Haroun: Sina mpango wa kuingia kwenye siasa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e*Q7chwcF2YQMXKHNpj8hwcUAKCuk5xQdU46OnPxlDAPikI-aMsecORRLtA5nuLuK6yxCEl9mOi3Ya-ZnRe8yOzh6f88FCIy/ghj.jpg)
MANAIKI: SIJAKATA TAMAA KUMUOA WALPER
10 years ago
Bongo Movies24 Feb
Manaiki: Sijakata Tamaa Kumuoa Wolper
Mwigizaji wa filamu mwenye mikasa ya aina yake, Manaiki Sanga ‘The Don’ amesema kuwa hajakata tamaa kumuoa msanii mwenzake, Jacqueline Wolper na kwamba bado anaendelea kuwashawishi wazazi wake.
Akiongea na Gazeti la Uwazi, Manaiki aliweka wazi kuwa bado anawashawishi wazazi wake wakubaliane na uchaguzi wake kwakuwa ndiye mtu anayempenda.
“Ni upande mmoja tu wa ndugu zangu ambao wapo kijijini Mbeya na hawamfahamu Walper ila sijakata tamaa na naamini watanielewa tu kwa maaana ndoto yangu...
9 years ago
Bongo509 Nov
Inspekta Haroun kurap matukio ya mwaka mzima kwenye ‘Januari/Disemba’
![Inspekta](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Inspekta-300x194.jpg)
Inspekta Haroun amejipanga kufunga mwaka kwa kuachia wimbo uitwao Januari/Disemba utaokuwa ukizungumzia matukio yote ya mwaka mzima.
Inspekta amesema amefanya hivyo ili watu wabaki na kumbukumbu ya matukio ya mwaka 2015.
“Nimezungumzia matukio ya mwaka mzima kuanzia Januari mpaka Disemba na ni idea ili kupata kitu kizuri ambacho hata mtu akikisikiliza anaelewa mwaka umeendaje,” rapper huyo ameiambia Bongo5.
“Hii ngoma itatoka mwaka huu, sasa hivi nipo kwenye michakato ya kuimalizia na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSnLb0wCzCwNWMTESldEn1kghI3WPXFXJKLkoe2H-2bdfVTxXvDsQa7-I4KElhgplWRhg3TqLe02Ea*kYz7-GFkG/150000080.jpg)
HONGERA GENIUS NIKKI, MUZIKI UNAHITAJI VICHWA KAMA WEWE!
9 years ago
Bongo501 Oct
Maunda Zorro ataja sababu iliyomkatisha tamaa na muziki