Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Inspekta Haroun: Muziki unahitaji mapambano, sijakata tamaa

Inspekta Haroun amedai haina haja ya msanii kupata stress baada ya kutoa ngoma kadhaa na zikashindwa kufanya vizuri. Rapper huyo mkongwe amewataka wakongwe wenzake kukubali matokeo yoyote yanayotokea katika muziki wao. “Hauitaji kuwa na stress baada ya kuona huwezi kwenda popote. Unapoona umegota sehemu ujue mbele yako kuna kitu kizuri kinakuja,” rapper huyo ameiambia Planet […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Kuiga muziki wa nje itatuletea athari baadae — Inspekta Haroun

Mkongwe wa Bongo fleva Inspekta Haroun amesema kuwa kitendo cha wasanii wengi wa sasa kuiga mitindo ya muziki wa nje inachangia kupoteza ladha ya muziki wetu. Inspekta ambaye anatakumbulika kwa hits kali ikiwemo ‘Mtoto Wa Geti kali’ aliyofanya akiwa Gangwe Mob, amesema wasanii wa sasa wanaimba vizuri na kufanya vizuri, lakini muziki wao una vionjo […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rich One atoka na Inspekta Haroun

MSANII mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini, Haruna Kahena ‘Inspekta Haroun’, aliyetikisa katika ulimwengu wa muziki huo miaka ya nyuma, anatarajia kusikika tena katika wimbo ‘Ndwee’ wa nyota wa...

 

9 years ago

Mtanzania

Lowassa: Sijakata tamaa

mbili*Asema ameshindwa pambano si vita

*Ajipanga upya agoma kueleza mikakati yake

*Ukawa wataka ZEC imtangaze Maalim Seif Z’bar

Na Fredy Azzah, Dar es Salaam

WAZIRI mkuu wa zamani na aliyekuwa mgombea urais kupitia Chadema, Edward Lowassa, amesema ataendelea kupambana katika siasa na kwamba yawezekana ameshindwa katika pambano lakini si vita.

Lowassa aliyasema hayo jana katika mkutano na waandishi wa habari, baada ya kuulizwa nini hatima yake ya kisiasa baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba...

 

10 years ago

Bongo5

Inspekta Haroun: Sina mpango wa kuingia kwenye siasa

Rapper mkongwe, Inspector Haroun aka Babu amesema pamoja na watu kibao kumtaka agombee nafasi mbalimbali za uongozi katika mtaa wake, amekataa kufanya hivyo kwakuwa anaamini muziki bado unamuhitaji. Inspector Haroun alikiambia kipindi cha Leo Tena, Clouds FM kuwa, hajajipanga kuwa kiongozi huku akiwatakia heri wale wote waliotangaza nia mpaka sasa. “Niseme kitu kimoja kwamba miaka […]

 

10 years ago

GPL

MANAIKI: SIJAKATA TAMAA KUMUOA WALPER

Shani Ramadhani/Uwazi
MSANII filamu za Kibongo, Manaiki Sanga amefungukai kuwa hajakata tamaa kumuoa msanii mwenzake, Jacqueline Walper na kwamba bado anaendelea kuwashawishi wazazi wake. Msanii filamu za Kibongo, Manaiki Sanga akiwa na msanii mwenzake, Jacqueline Walper. Akichezesha taya na Uwazi, Manaiki aliweka wazi kuwa bado anawashawishi wazazi wake wakubaliane na uchaguzi wake kwakuwa ndiye mtu anayempenda. “Ni...

 

10 years ago

Bongo Movies

Manaiki: Sijakata Tamaa Kumuoa Wolper

Mwigizaji wa filamu mwenye mikasa ya aina yake, Manaiki Sanga  ‘The Don’ amesema kuwa hajakata tamaa kumuoa msanii mwenzake, Jacqueline Wolper na kwamba bado anaendelea kuwashawishi wazazi wake.

Akiongea na Gazeti la Uwazi, Manaiki aliweka wazi kuwa bado anawashawishi wazazi wake wakubaliane na uchaguzi wake kwakuwa ndiye mtu anayempenda.

“Ni upande mmoja tu wa ndugu zangu ambao wapo kijijini Mbeya na hawamfahamu Walper ila sijakata tamaa na naamini watanielewa tu kwa maaana ndoto yangu...

 

9 years ago

Bongo5

Inspekta Haroun kurap matukio ya mwaka mzima kwenye ‘Januari/Disemba’

Inspekta

Inspekta Haroun amejipanga kufunga mwaka kwa kuachia wimbo uitwao Januari/Disemba utaokuwa ukizungumzia matukio yote ya mwaka mzima.

Inspekta

Inspekta amesema amefanya hivyo ili watu wabaki na kumbukumbu ya matukio ya mwaka 2015.

“Nimezungumzia matukio ya mwaka mzima kuanzia Januari mpaka Disemba na ni idea ili kupata kitu kizuri ambacho hata mtu akikisikiliza anaelewa mwaka umeendaje,” rapper huyo ameiambia Bongo5.

“Hii ngoma itatoka mwaka huu, sasa hivi nipo kwenye michakato ya kuimalizia na...

 

10 years ago

GPL

HONGERA GENIUS NIKKI, MUZIKI UNAHITAJI VICHWA KAMA WEWE!

KWAKO Nickson Simon ‘Nikki wa Pili’ mambo niaje? Uko poa? Za tangu wiki iliyopita tulipoonana kwenye tafrija ya kumuaga Rais Jakaya Kikwete? Ukitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima. Niko poa, naendelea na mishemishe zangu kama kawaida. Miongoni mwa majukumu yangu ni hili la kuwaandikia nyinyi mastaa barua, kuwapongeza au kuwakosoa pale mnapotoka nje ya mstari. Dhumuni la kukukumbuka leo kwa barua hii ni kutaka...

 

9 years ago

Bongo5

Maunda Zorro ataja sababu iliyomkatisha tamaa na muziki

Ukimya wa Maunda Zorro aliyewahi kufanya vizuri na nyimbo kama ‘Niwe Wako’ na ‘Mapenzi ya Wawili’ umetokana na kile alichodai baadhi ya watu kuingilia muziki na kujifanya nao ni wafanyabiashara wa muziki. Maunda ameliambia gazeti la Mwananchi kuwa watu hao huwasaidia wasanii wanaofanya nao biashara huku wengine wakiachwa. “Kwahiyo hawa nao wana wanamuziki wao, hawawezi […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani