Rich One atoka na Inspekta Haroun
MSANII mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini, Haruna Kahena ‘Inspekta Haroun’, aliyetikisa katika ulimwengu wa muziki huo miaka ya nyuma, anatarajia kusikika tena katika wimbo ‘Ndwee’ wa nyota wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo517 Jan
Inspekta Haroun: Sina mpango wa kuingia kwenye siasa
9 years ago
Bongo528 Sep
Inspekta Haroun: Muziki unahitaji mapambano, sijakata tamaa
9 years ago
Bongo503 Oct
Kuiga muziki wa nje itatuletea athari baadae — Inspekta Haroun
9 years ago
Bongo509 Nov
Inspekta Haroun kurap matukio ya mwaka mzima kwenye ‘Januari/Disemba’
Inspekta Haroun amejipanga kufunga mwaka kwa kuachia wimbo uitwao Januari/Disemba utaokuwa ukizungumzia matukio yote ya mwaka mzima.
Inspekta amesema amefanya hivyo ili watu wabaki na kumbukumbu ya matukio ya mwaka 2015.
“Nimezungumzia matukio ya mwaka mzima kuanzia Januari mpaka Disemba na ni idea ili kupata kitu kizuri ambacho hata mtu akikisikiliza anaelewa mwaka umeendaje,” rapper huyo ameiambia Bongo5.
“Hii ngoma itatoka mwaka huu, sasa hivi nipo kwenye michakato ya kuimalizia na...
9 years ago
Bongo524 Oct
Music: Rich One Ft. Juma Nature & Inspector Haroun – Fulani
10 years ago
Vijimambo28 Mar
JUMUIYA YA NEW YORK TANZANIA COMMUNITY KUANDAA SHEREHE ZA MUUNGANO APRIL 26 UKUMBI WA RICH RICH
10 years ago
GPLINSPECTOR HAROUN, BABY MADAHA WANASWA KONA
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
Insp. Haroun atimiza miaka 10 ya ndoa yake
MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya nchini, Haruna Kahena ‘Inspector Haroun’ au ‘Babu’ anatarajiwa kufanya shoo ya kuadhimisha miaka kumi ya ndoa yake, itakayofanyika Octoba 25 katika ukumbi wa Mpoafrika...
10 years ago
Mtanzania28 May
Inspekta Haroon: Nataka kuwa mchekeshaji
Na Rhobi Chacha
UNALIKUMBUKA kundi la Gangwe Mobb, hapo lazima utamtaja Haruna Kaena ‘Insepkta Haroun’ na Luten Kalama, wawili hao baada ya kutengana kila mmoja akawa anafanya kazi binafsi lakini sasa Inspekta Haroun ameibuka na kudai kwamba anataka kuwa mwigizaji wa vichekesho.
Inspekta Haroun aliyetamba na wimbo wa ‘Mtoto wa Geti Kali’ aliendelea kueleza kwamba fani anazozipenda ni muziki na kuigiza vichekesho.
“Mimi msanii hivyo natakiwa niwe mbunifu, nisibweteke na kazi, fani moja na kwa...