Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Inspekta Haroon: Nataka kuwa mchekeshaji

INSPECTOR.Na Rhobi Chacha
UNALIKUMBUKA kundi la Gangwe Mobb, hapo lazima utamtaja Haruna Kaena ‘Insepkta Haroun’ na Luten Kalama, wawili hao baada ya kutengana kila mmoja akawa anafanya kazi binafsi lakini sasa Inspekta Haroun ameibuka na kudai kwamba anataka kuwa mwigizaji wa vichekesho.
Inspekta Haroun aliyetamba na wimbo wa ‘Mtoto wa Geti Kali’ aliendelea kueleza kwamba fani anazozipenda ni muziki na kuigiza vichekesho.
“Mimi msanii hivyo natakiwa niwe mbunifu, nisibweteke na kazi, fani moja na kwa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Nataka kuwa Waziri mkuu:Malala

Mshindi wa Nishani ya Nobel bint Malala Yousafzai raia wa Pakistani amesema kuwa siku zijazo anatarajia kuwa mwanasiasa.

 

11 years ago

Dewji Blog

JK: Nataka kuwa Rais wa mwisho kuongoza Tanzania masikini

Jakaya-Kikwete

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa anataka na anatamani kuwa Rais wa mwisho wa Tanzania kuongoza nchi ambayo ni maskini na hivyo atatumia muda wake uliobakia katika uongozi kuelekeza nchi kwenye mwelekeo huo.

Aidha, Rais Kikwete amesema kuwa jambo la msingi kabisa la kama Watanzania watanufaika na ugunduzi wa gesi asili ama watabakia katika hali yao ya sasa ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rich One atoka na Inspekta Haroun

MSANII mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini, Haruna Kahena ‘Inspekta Haroun’, aliyetikisa katika ulimwengu wa muziki huo miaka ya nyuma, anatarajia kusikika tena katika wimbo ‘Ndwee’ wa nyota wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mchekeshaji Joan Rivers aaga dunia

Mchekeshaji maarufu nchini Marekani Joan Rivers amefariki dunia

 

5 years ago

Michuzi

MCHEKESHAJI AFARIKI KWA CORONA JAPAN

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
MCHEKESHAJI maarufu na mkongwe kutoka Japan Ken Shimura (70) amefariki dunia usiku wa kuamkia leo mjini Tokyo baada ya kupata maambukizi ya Corona baada ya kupata maambukizi ya virusi vya Corona (covid 19) Shirika la Utangazaji CNN na watu wake wa karibu wamethibitisha.
imeelezwa kuwa Shimura aliumwa homa ya mapafu kufariki dunia jumapili usiku, huku ikielezwa kuwa alianza kusikia dalili ikiwemo uchovu Machi 17 na alilazwa Machi 20 kabla ya kugundulika...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mchekeshaji nguli Robin Williams afariki

Salamu za rambi rambi zimeendelea kumiminika kufuatia kifo cha nguli wa uigizaji na vichekesho nchini Marekani Robin Williams

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchekeshaji Trevor Noah amrithi John Stewart

Msanii Trevor Noah alifungua ukurasa mpya usiku wa kuamkia leo alipoandaa shoo yake ya kwanza ya ''The Daily Show'' kwenye Comedy Central

 

5 years ago

CCM Blog

MCHEKESHAJI PIERRE LIQUID AKUTWA NA VIRUSI VYA CORONA

Msanii wa Maigizo na Mchekeshaji 'Pierre Liquid' amethibitisha kuwa na virusi vya corona vinavyosababisha homa kali ya Mapafu
Akizungumza kwa njia ya simu na gazeti la Mwanaspoti Pierre amesema kwa sasa yupo hospitali ya Amana akiwa anaendelea kupatiwa matibabu.

Akieleza namna alivyogundulika kuwa ana corona,amesema hii ni baada ya kwenda kupima wiki iliyopita hospitali ya Temeke. "Nina bosi wangu wa karibu ambaye kapata ugonjwa huu na kwa kuwa mara nyingi tuko naye alinishauri na mimi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani