MCHEKESHAJI PIERRE LIQUID AKUTWA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-xxTNuYY66Ao/Xp06Ebaxs6I/AAAAAAAAyOw/Tng47Ho8mDI6EMnOW3tbWv0X0vipMimFQCLcBGAsYHQ/s72-c/uhoubsn7b7fcxu5ca5c46b75298.jpg)
Msanii wa Maigizo na Mchekeshaji 'Pierre Liquid' amethibitisha kuwa na virusi vya corona vinavyosababisha homa kali ya Mapafu
Akizungumza kwa njia ya simu na gazeti la Mwanaspoti Pierre amesema kwa sasa yupo hospitali ya Amana akiwa anaendelea kupatiwa matibabu.
Akieleza namna alivyogundulika kuwa ana corona,amesema hii ni baada ya kwenda kupima wiki iliyopita hospitali ya Temeke. "Nina bosi wangu wa karibu ambaye kapata ugonjwa huu na kwa kuwa mara nyingi tuko naye alinishauri na mimi...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya Corona: Msaidizi wa Makamu wa rais Mike Pence akutwa na Corona
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-t-HlAnRlpqg/XrFDaLlPwhI/AAAAAAABABc/T1ZxNyjB2qgt-KD5__gOz3Hr-VX-uZ_hACNcBGAsYHQ/s72-c/ken.gif)
MTOTO MIAKA 6 AKUTWA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-t-HlAnRlpqg/XrFDaLlPwhI/AAAAAAABABc/T1ZxNyjB2qgt-KD5__gOz3Hr-VX-uZ_hACNcBGAsYHQ/s400/ken.gif)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya nchini humo, Mercy Mwangangi, amesema wagonjwa wapya ni raia wa Kenya wenye umri kati ya miezi 6 na miaka 60 na watu 13 ni wanaume na 12 ni wanawake, wote hawana historia ya kusafiri hivi karibuni.
Katibu huyo ameeleza kuwa wanafanya kazi na...
5 years ago
BBCSwahili13 Mar
Mikel Arteta: Mkufunzi wa Arsenal akutwa na virusi vya corona
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4dhtICkvmFc/XnXc8IyFFSI/AAAAAAALkoo/xDAEBXMHpNYAhDEa0I77O428owBtblf3QCLcBGAsYHQ/s72-c/00d4c26c-9efd-48bc-834a-6d54675f76db.jpg)
KAMPUNI YA LIQUID TELECOM YAJA NA MAJIBU YA WATU KUENDELEA NA SHUGHULI ZA UZALISHAJI LICHA YA KUWEPO KWA VIRUSI VYA CORONA KATIKA BARA LA AFRIKA
Na Mwandishi Wetu, Michuzi Globu ya jamii
MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Liquid Telecom Nic Rudnick amesema kwamba katika kipindi hiki ambacho Dunia inakabiliwa na virusi vya COVID-19 ( Coronavirus) na kusabababisha shughuli nyingi za kiuchumi kusimama katika nchi mbalimbali wao kipaumbele cha cha kampuni hiyo kwa sasa ni kusaidia na kulinda afya, ustawi na usalama wa wafanyikazi, wateja, washirika na umma mkakati wa kudumisha mwendelezo wa biashara katika viwango vyote.
Amesisitiza katika...
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Chui katika bustani ya wanyama ya Bronx, New York akutwa na virusi vya corona Marekani
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Mabadiliko ya virusi vya corona: Kwanini virusi vya corona vina tabia ya magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya corona: Je vipimo vya kugundua virusi vya corona vinafanya kazi vipi?
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Wanafunzi Kenya watengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona