Virusi vya Corona: Msaidizi wa Makamu wa rais Mike Pence akutwa na Corona
Msaidizi mwingine mkubwa wa Mike Pence amekutwa na virusi vya corona siku moja baada ya mfanyakazi mmoja wa White house kukutwa na virusi hivyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili31 May
Virusi vya corona: Makamu wa rais wa Sudan Kusini Wani Igga atangaza kuwa na virusi
Makamu wa rais wa Sudan Kusini Dkt James Wani Iga amesema kuwa amepatwa na virusi vya corona.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-rooczUGFL7Q/XoHZ4cMAHWI/AAAAAAAAxWg/8dw-OMw8_XMYrSxc4RRbAXBUSlp1_MzDQCLcBGAsYHQ/s72-c/4befba8c566042c69d0300bc1110d33c_18.jpg)
MSAIDIZI WA NETANYAHU ATHIBITIKA KUWA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-rooczUGFL7Q/XoHZ4cMAHWI/AAAAAAAAxWg/8dw-OMw8_XMYrSxc4RRbAXBUSlp1_MzDQCLcBGAsYHQ/s640/4befba8c566042c69d0300bc1110d33c_18.jpg)
Afisa mmoja wa serikali amesema kuwa hatua zitachukuliwa kwa mujibu wa maelekezo ya wizara ya afya, na kusema msaidizi huyo wa bunge ambaye vyombo vya habari nchini Israel vimemueleza kuwa yuko katika hali nzuri, atafanyiwa uchunguzi.
Kwa kawaida wizara ya afya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-t-HlAnRlpqg/XrFDaLlPwhI/AAAAAAABABc/T1ZxNyjB2qgt-KD5__gOz3Hr-VX-uZ_hACNcBGAsYHQ/s72-c/ken.gif)
MTOTO MIAKA 6 AKUTWA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-t-HlAnRlpqg/XrFDaLlPwhI/AAAAAAABABc/T1ZxNyjB2qgt-KD5__gOz3Hr-VX-uZ_hACNcBGAsYHQ/s400/ken.gif)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya nchini humo, Mercy Mwangangi, amesema wagonjwa wapya ni raia wa Kenya wenye umri kati ya miezi 6 na miaka 60 na watu 13 ni wanaume na 12 ni wanawake, wote hawana historia ya kusafiri hivi karibuni.
Katibu huyo ameeleza kuwa wanafanya kazi na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-xxTNuYY66Ao/Xp06Ebaxs6I/AAAAAAAAyOw/Tng47Ho8mDI6EMnOW3tbWv0X0vipMimFQCLcBGAsYHQ/s72-c/uhoubsn7b7fcxu5ca5c46b75298.jpg)
MCHEKESHAJI PIERRE LIQUID AKUTWA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-xxTNuYY66Ao/Xp06Ebaxs6I/AAAAAAAAyOw/Tng47Ho8mDI6EMnOW3tbWv0X0vipMimFQCLcBGAsYHQ/s400/uhoubsn7b7fcxu5ca5c46b75298.jpg)
Akizungumza kwa njia ya simu na gazeti la Mwanaspoti Pierre amesema kwa sasa yupo hospitali ya Amana akiwa anaendelea kupatiwa matibabu.
Akieleza namna alivyogundulika kuwa ana corona,amesema hii ni baada ya kwenda kupima wiki iliyopita hospitali ya Temeke. "Nina bosi wangu wa karibu ambaye kapata ugonjwa huu na kwa kuwa mara nyingi tuko naye alinishauri na mimi...
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Virusi vya Corona: Rais wa Madagascar adai kupata tiba ya corona
WHO inasema hakuna ushahidi wa kisayansi wa ubora wa kinywaji hicho cha mitishamba.
5 years ago
BBCSwahili15 Jun
Virusi vya corona: Wafanyakazi wanne wa Ikulu ya Rais Kenya wamepatwa na corona
Wafanyakazi wanne wa Ikulu ya rais nchini Kenya wamepatikana na virus vya corona.
5 years ago
BBCSwahili13 Mar
Mikel Arteta: Mkufunzi wa Arsenal akutwa na virusi vya corona
Mkufunzi wa Arsenal Mikel Arteta amekutwa na virusi vya uvya ugonjwa wa corona na mechi kati ya timu yake na Brighton iliyotarajiwa kuchezwa wikiendi imeahirishwa
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya corona: Itakua ni ''uendawazimu'' kuendesha uchaguzi wakati wa corona, asema rais wa Uganda
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuwa itakua ni 'uendawazimu' kuendesha uchaguzi wakati wa mlipuko wa virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania