MSAIDIZI WA NETANYAHU ATHIBITIKA KUWA NA VIRUSI VYA CORONA

Msaidizi wa waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amethibitika kuwa na virusi vya Corona, maafisa wamesema leo, lakini haijafahamika mara moja iwapo kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 70 ameambukizwa ama kazi yake itaathirika.
Afisa mmoja wa serikali amesema kuwa hatua zitachukuliwa kwa mujibu wa maelekezo ya wizara ya afya, na kusema msaidizi huyo wa bunge ambaye vyombo vya habari nchini Israel vimemueleza kuwa yuko katika hali nzuri, atafanyiwa uchunguzi.
Kwa kawaida wizara ya afya...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya Corona: Msaidizi wa Makamu wa rais Mike Pence akutwa na Corona
5 years ago
BBCSwahili10 Jun
Virusi vya corona: Asiyeonesha dalili za kuwa na virusi anaweza kuambukiza wengine?
5 years ago
BBCSwahili21 Jun
Virusi vya corona: Watu 260wathibitishwa kuwa na virusi ndani ya saa 24 nchini Kenya
5 years ago
BBCSwahili31 May
Virusi vya corona: Makamu wa rais wa Sudan Kusini Wani Igga atangaza kuwa na virusi
5 years ago
BBCSwahili19 May
Virusi vya corona: Je kuna ushahidi kuwa dawa za malaria zinatibu corona?
5 years ago
BBCSwahili20 Apr
Virusi vya Corona: Jinsi damu ya mtu aliyepona corona inavyoweza kuwa tiba
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Virusi vya corona: Kwanini janga la corona limefanya panya kuwa wakali zaidi?
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Mabadiliko ya virusi vya corona: Kwanini virusi vya corona vina tabia ya magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono