Virusi vya Corona: Rais wa Madagascar adai kupata tiba ya corona
WHO inasema hakuna ushahidi wa kisayansi wa ubora wa kinywaji hicho cha mitishamba.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Virusi vya corona: Habari za kupotosha dhidi ya Rais Magufuli, Ummy Mwalimu na 'tiba' ya Madagascar
Huku idadi ya wagonjwa wa corona ikizidi kuongezeka katika mataifa ya Afrika, habari za kupotosha zinaendelea kusambazwa katika mitandao ya kijamii.
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya Corona: Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli atuma ndege Madagascar kuchukua 'dawa ya corona'
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli leo Jumapili Mei 3 amesema atatuma ndege Madagascar kwenda kufuata dawa ya mitishamba ambayo rais wa nchi hiyo anadai kuwa inatibu corona.
5 years ago
BBCSwahili05 May
Virusi vya Corona: WHO yakaza uzi huku Madagascar ikijaribu kupata uthibitisho wa dawa
Tayari marais wa nchi nne wameshaagiza kinywaji cha mitishamba kutoka Madagascar
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya corona: Je, Madagascar wamepata dawa ya mitishamba kutibu virusi vya corona?
Rais wa Madagasca ametangaza dawa ya kunywa ya mitishamba inayotokana na mmea wa pakanga pamoja na mimea mingine inayoweza kutibu maambukizi ya virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili19 Apr
Virusi vya corona: Juhudi za kupata tiba zimefikia wapi?
Kampuni ya Teknolojia ya China , Alibaba imetangaza kifaa chenye uwezo wa kubaini ugonjwa huo ndani ya sekunde 20, ambacho usahihi wake ni asilimia 96.
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Rais wa Madagascar Rajoelina amewashutumu wakosoaji wa dawa ya mitishamba
Rais wa Madagascar Rajoelina amesema kwamba wakosoaji wa dawa ya mitishamba kutoka taifa hilo wanaikosoa kwasababu ya ubwenyenye
5 years ago
BBCSwahili06 Jun
Virusi vya Corona: Dawa ya kutibu malaria ya hydroxychloroquine sio tiba ya corona
Dawa ya kutibu malaria aina ya Hydroxychloroquine sio tiba ya Covid-19, utafiti wa Oxford umesema.
5 years ago
BBCSwahili20 Apr
Virusi vya Corona: Jinsi damu ya mtu aliyepona corona inavyoweza kuwa tiba
Matumaini ni kwamba molekyuli walizozitengeneza zitasaidia kupambana na virusi vilivyo kwa wengine.
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya corona: ''Dawa'' ya Madagascar inayoaminiwa kutibu virusi itachunguzwa zaidi
Baada ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Paramagamba Kabudi kwenda Madagascar kuichukua dawa ya mititishamba inayoaminiwa kuwa inaweza kukinga na kutibu Covid-19, Tanzania imesema dawa hiyo itachunguzwa zaidi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania