Virusi vya corona: Juhudi za kupata tiba zimefikia wapi?
Kampuni ya Teknolojia ya China , Alibaba imetangaza kifaa chenye uwezo wa kubaini ugonjwa huo ndani ya sekunde 20, ambacho usahihi wake ni asilimia 96.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Virusi vya Corona: Rais wa Madagascar adai kupata tiba ya corona
WHO inasema hakuna ushahidi wa kisayansi wa ubora wa kinywaji hicho cha mitishamba.
5 years ago
BBCSwahili03 Apr
Virusi vya corona: Je maambukizi ya mwisho ya virusi hivyo yatafanyika wapi?
Chini ya miezi mitatu iliyopita- virusi vya coronavirus vilikua ndani ya Uchina pekee. Hapakua na kisa hata kimoja kilichokua kimepatikana nje ya nchi hiyo ambako virusi hivyo vilianzia.
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Virusi vya corona: Maji ya chumvi kufanyiwa utafiti wa tiba ya virusi
Utafiti wa awali ulionesha kwamba dawa za kutengenezwa nyumbani zinaweza kusaidia kupuguza makali ya dalili za virusi vya corona kama ilivyo kwa homa.
5 years ago
BBCSwahili06 Jun
Virusi vya Corona: Dawa ya kutibu malaria ya hydroxychloroquine sio tiba ya corona
Dawa ya kutibu malaria aina ya Hydroxychloroquine sio tiba ya Covid-19, utafiti wa Oxford umesema.
5 years ago
BBCSwahili20 Apr
Virusi vya Corona: Jinsi damu ya mtu aliyepona corona inavyoweza kuwa tiba
Matumaini ni kwamba molekyuli walizozitengeneza zitasaidia kupambana na virusi vilivyo kwa wengine.
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Pesa za kukabiliana na janga la virusi vya corona zinatoka wapi?
Nchi tajiri zinatoa pesa za kukabiliana na janga virusi vya corona. Lakini je zinatoka wapi?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wC0LO74eCQ4/Xp8MfjgLHZI/AAAAAAALnvU/zaGo8ecOuDEaEUkJ1cFRaGAPFtOtu54XQCLcBGAsYHQ/s72-c/21890c23-7dbc-426c-974a-91c2e192d46d.jpg)
BALOZI WA PAKISTAN AIPONGEZA SERIKALI YA TANZANIA KWA JUHUDI ZA KUPAMBANA NA VIRUSI VYA CORONA
Na WAMJW – Dar es Salaam
Serikali imepongezwa kwa jitihada inazozifanya katika kukabiliana na ugonjwa unaosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19) hapa nchini.
Pongezi hizo zimetolewa leo jijini Dar es Salaam na mwakilishi wa Ubalozi wa Pakistani hapa nchini Muhammad Saleem wakati akikabidhi vifaa vya kujikinga na ugonjwa huo kwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto.
Saleem alisema tangu ugonjwa huo ulipoingia hapa nchini mwezi uliopita kasi ya maambukizi ni ndogo...
Serikali imepongezwa kwa jitihada inazozifanya katika kukabiliana na ugonjwa unaosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19) hapa nchini.
Pongezi hizo zimetolewa leo jijini Dar es Salaam na mwakilishi wa Ubalozi wa Pakistani hapa nchini Muhammad Saleem wakati akikabidhi vifaa vya kujikinga na ugonjwa huo kwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto.
Saleem alisema tangu ugonjwa huo ulipoingia hapa nchini mwezi uliopita kasi ya maambukizi ni ndogo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--FzVPiMLy4Q/Xn7tFUokayI/AAAAAAALlWw/r_ofO5ObZ0AQjr1wBi7BxSJ30cTPtjuuwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200327_123516_2%25281%2529.jpg)
WAMILIKI WA MAGARI YA MASAFA MAREFU ARUSHA WAUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KATIKA KUPAMBANA NA VIRUSI VYA CORONA
Na Woinde Shizza,Arusha
CHAMA cha Wamiliki wa magari ya masafa marefu Mkoa wa Arusha ,TABOA,Hakiboa pamoja na wasafirishaji wenza wameiunga mkono serikali katika swala la kupiga vita ugonjwa wa Corona pamoja na kutoa elimu ya kuchukuwa taadhari kuhusu ugonjwa huo.
Ambapo wameamua kunua dawa ,mabomba ya kunyunyuzia dawa ,dawa za kunaiya mikono na ndoo 100 za kuwia mikono huku wakizindua rasmi mchakato wa upigaji dawa kwa vyombo vyote vya usafirishaji vilivyopo mkoani hapa.
Akizungumza wakati...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VR88wpJU4fo/XqfVaWeXCrI/AAAAAAALoaM/QIDK9V0sREEUnIZR8wA846Th8zUZ54EiQCLcBGAsYHQ/s72-c/5cbd6997-e3b2-4875-9b79-bcbbfd26b1f0.jpg)
KAMPUNI YA GGML YATOA SHILINGI BILIONI 1.6 KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI MAPAMBANO DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VR88wpJU4fo/XqfVaWeXCrI/AAAAAAALoaM/QIDK9V0sREEUnIZR8wA846Th8zUZ54EiQCLcBGAsYHQ/s640/5cbd6997-e3b2-4875-9b79-bcbbfd26b1f0.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-8hzk-8xRn10/XqfVaYWwWWI/AAAAAAALoaQ/g2qtls5wKyAx6dDBBt7FiCp5De6LwfsSgCLcBGAsYHQ/s640/9dd985b1-8e22-4aed-ad29-26baf554f655.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-cYuavRird68/XqfVaXTU2rI/AAAAAAALoaU/nqAUM9LZjXAL2mhH1eAjXckC-WGJ1rwvgCLcBGAsYHQ/s640/4034747a-3acf-476d-83d6-8304bb7db49c.jpg)
KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa Shilingi bilioni 1.6 kuunga mkono juhudi za Serikali katika kudhibiti maambukizi ya Virusi vya Corona ambayo hadi sasa yamesambaa katika nchi 210 duniani Tanzania ikiwemo.
Pia GGML imezindua mikakati...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania