Virusi vya corona: Maji ya chumvi kufanyiwa utafiti wa tiba ya virusi
Utafiti wa awali ulionesha kwamba dawa za kutengenezwa nyumbani zinaweza kusaidia kupuguza makali ya dalili za virusi vya corona kama ilivyo kwa homa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili23 May
Virusi vya corona: Utafiti wa kubaini iwapo mbwa anaweza kugundua virusi hivyo umeanzishwa
Mbwa hao tayari wamefunzwa jinsi ya kunusa harufu ya saratani, malaria na ugonjwa wa parkinson
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya Corona: Je kusukutua mdomo na maji ya moto ni kinga ya virusi vya corona?
Kumekuwa na taarifa zinazosambaa mtandaoni kuwa kusukutua mdomo kunazuia virusi vya corona je hilo ni kweli ?
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Virusi vya corona: Kuvuta maji ya choo 'kunaweza kurusha virusi vya maambukizi futi 3 hewani'
Kusukuma maji ya choo cha ndani kunaweza kusababisha wingu ambalo la sprey ambalo linaweza kuvutwa kwa pua na linaweza kusambaza maambukizi, kama vile virusi vya corona, wanasema watafiti.
5 years ago
MichuziMtu wa kwanza ajitolea kufanyiwa chanjo ya virusi vya corona Marekani
Binadamu wa kwanza kufanyiwa jaribio ya chanjo ya kinga dhidi ya virusi vya corona ameanza kufanyiwa jaribio hilo nchini Marekani.
Wagonjwa wanne walidungwa sindano ya virusi katika kituo cha utafiti Kaiser Permanente mjini Seattle, Washington, limeripoti shirika la habari la Associated Press.
Chanjo hiyo haiwezi kusababisha Covid-19 lakini ina jeni la virusi ambavyo vinaweza kusababisha ugonjwa.
Wataalamu wanasema itachukua miezi mingi kujua ikiwa chanjo hii, au utafiti mwingine,...
Wagonjwa wanne walidungwa sindano ya virusi katika kituo cha utafiti Kaiser Permanente mjini Seattle, Washington, limeripoti shirika la habari la Associated Press.
Chanjo hiyo haiwezi kusababisha Covid-19 lakini ina jeni la virusi ambavyo vinaweza kusababisha ugonjwa.
Wataalamu wanasema itachukua miezi mingi kujua ikiwa chanjo hii, au utafiti mwingine,...
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Virusi vya Corona: Rais wa Madagascar adai kupata tiba ya corona
WHO inasema hakuna ushahidi wa kisayansi wa ubora wa kinywaji hicho cha mitishamba.
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Coronavirus: Mtu wa kwanza ajitolea kufanyiwa chanjo ya virusi vya corona Marekani
Kikundi cha vijana wenye afya nzuri mjini Seattle wamedungwa virusi kwa ajili ya kufanyiwa utafiti wa chanjo
5 years ago
BBCSwahili06 Jun
Virusi vya Corona: Dawa ya kutibu malaria ya hydroxychloroquine sio tiba ya corona
Dawa ya kutibu malaria aina ya Hydroxychloroquine sio tiba ya Covid-19, utafiti wa Oxford umesema.
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Mabadiliko ya virusi vya corona: Kwanini virusi vya corona vina tabia ya magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono
Utafiti wa virusi vya Covid-19 ulikadiria kwamba kiwango kikuu cha maambukizi ya virusi hivyo hutokea siku moja au mbili kabla ya mtu aliyeambukizwa kuanza kuonyesha dalili.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania