Coronavirus: Mtu wa kwanza ajitolea kufanyiwa chanjo ya virusi vya corona Marekani
Kikundi cha vijana wenye afya nzuri mjini Seattle wamedungwa virusi kwa ajili ya kufanyiwa utafiti wa chanjo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_1XoPYRReO0/XnBlRwomS2I/AAAAAAALkCQ/8eiunvCRAIsMh9UU52PkgBr7oTpEZHhygCLcBGAsYHQ/s72-c/_111277138_gettyimages-1154450279.jpg)
Mtu wa kwanza ajitolea kufanyiwa chanjo ya virusi vya corona Marekani
![](https://1.bp.blogspot.com/-_1XoPYRReO0/XnBlRwomS2I/AAAAAAALkCQ/8eiunvCRAIsMh9UU52PkgBr7oTpEZHhygCLcBGAsYHQ/s640/_111277138_gettyimages-1154450279.jpg)
Wagonjwa wanne walidungwa sindano ya virusi katika kituo cha utafiti Kaiser Permanente mjini Seattle, Washington, limeripoti shirika la habari la Associated Press.
Chanjo hiyo haiwezi kusababisha Covid-19 lakini ina jeni la virusi ambavyo vinaweza kusababisha ugonjwa.
Wataalamu wanasema itachukua miezi mingi kujua ikiwa chanjo hii, au utafiti mwingine,...
5 years ago
BBCSwahili24 Apr
Virusi vya corona: Wanasayansi wa Uingereza wanataka chanjo yao kufanyiwa majaribio Kenya
Watafiti kutoka nchini Uingereza wanafikiria kufanyia majaribio chanjo ya virusi vya corona nchini Kenya ambapo kulingana na wao mlipuko wa ugonjwa huo unaongezeka.
5 years ago
BBCSwahili26 Apr
Jaribio la kwanza la chanjo dhidi ya virusi vya corona laanza Ulaya
Chanjo hii imetetengenezwa katika Chuo Kikuu cha Oxford, kuna matumaini ya kufanikiwa kwa chanjo hii?
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Virusi vya corona: Ni nani aliyetoa fursa ya kwanza ya chanjo ya tiba duniani?
Kusaga makaratasi na kudunga watoto usaa zilikua ni sehemu za historia ya chanjo alizotumia Dkt. Muingereza Edward Jenner ilinusuru maisha ya mamilioni ya watu.
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Je kinga ya virusi vya corona itaziba pengo la chanjo kati ya nchi tajiri na maskini?
"Changamoto itakuwa ni kuhakikisha kwamba kuna chanjo ya kutosha kwa watu anaohitaji kutoka nchi tajiri lakini pia kwa nchi maskini vilevile."
5 years ago
BBCSwahili06 Mar
Coronavirus: White House yakiri Marekani haina vifaa vya kutosha vya kupima virusi vya corona
New York imetoa wito kwa serikali kutuma vifaa zaidi vya kupima virusi vya corona katika jimbo hilo huku visa vya maambukizi vikiongezeka.
5 years ago
BBCSwahili15 May
Virusi vya corona: Mtaalamu wa chanjo 'aliyefutwa kazi' asema Marekani itakabiliwa na hali mbaya zaidi katika majira ya baridi
Afisa wa zamani wa ngazi ya juu wa afya nchini Marekani ameliambia bunge la kongresi kuwa nchi inaweza kukabiliwa na "kipindi kibaya zaidi cha majira ya baridi kuwahi kushuhudiwa katika historia ya hivi karibuni " kwa sababu ya virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili31 May
Virusi vya corona: Idadi ya maambukizi yapanda zaidi kwa siku Uganda, huku mtu wa kwanza akifariki Rwanda
Idadi ya maambukizi ya Virusi vya corona imeongezeka kwa kiwango cha juu zaidi kuwahi kushuhudiwa kwa siku moja nchini zaidi kwa siku Uganda, huku mtu wa kwanza akifariki Rwanda.
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Virusi vya corona: Maji ya chumvi kufanyiwa utafiti wa tiba ya virusi
Utafiti wa awali ulionesha kwamba dawa za kutengenezwa nyumbani zinaweza kusaidia kupuguza makali ya dalili za virusi vya corona kama ilivyo kwa homa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania