Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtu wa kwanza ajitolea kufanyiwa chanjo ya virusi vya corona Marekani

Binadamu wa kwanza kufanyiwa jaribio ya chanjo ya kinga dhidi ya virusi vya corona ameanza kufanyiwa jaribio hilo nchini Marekani.

Wagonjwa wanne walidungwa sindano ya virusi katika kituo cha utafiti Kaiser Permanente mjini Seattle, Washington, limeripoti shirika la habari la Associated Press.

Chanjo hiyo haiwezi kusababisha Covid-19 lakini ina jeni la virusi ambavyo vinaweza kusababisha ugonjwa.

Wataalamu wanasema itachukua miezi mingi kujua ikiwa chanjo hii, au utafiti mwingine,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Mtu wa kwanza ajitolea kufanyiwa chanjo ya virusi vya corona Marekani

Kikundi cha vijana wenye afya nzuri mjini Seattle wamedungwa virusi kwa ajili ya kufanyiwa utafiti wa chanjo

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wanasayansi wa Uingereza wanataka chanjo yao kufanyiwa majaribio Kenya

Watafiti kutoka nchini Uingereza wanafikiria kufanyia majaribio chanjo ya virusi vya corona nchini Kenya ambapo kulingana na wao mlipuko wa ugonjwa huo unaongezeka.

 

5 years ago

BBCSwahili

Jaribio la kwanza la chanjo dhidi ya virusi vya corona laanza Ulaya

Chanjo hii imetetengenezwa katika Chuo Kikuu cha Oxford, kuna matumaini ya kufanikiwa kwa chanjo hii?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Ni nani aliyetoa fursa ya kwanza ya chanjo ya tiba duniani?

Kusaga makaratasi na kudunga watoto usaa zilikua ni sehemu za historia ya chanjo alizotumia Dkt. Muingereza Edward Jenner ilinusuru maisha ya mamilioni ya watu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mtaalamu wa chanjo 'aliyefutwa kazi' asema Marekani itakabiliwa na hali mbaya zaidi katika majira ya baridi

Afisa wa zamani wa ngazi ya juu wa afya nchini Marekani ameliambia bunge la kongresi kuwa nchi inaweza kukabiliwa na "kipindi kibaya zaidi cha majira ya baridi kuwahi kushuhudiwa katika historia ya hivi karibuni " kwa sababu ya virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Idadi ya maambukizi yapanda zaidi kwa siku Uganda, huku mtu wa kwanza akifariki Rwanda

Idadi ya maambukizi ya Virusi vya corona imeongezeka kwa kiwango cha juu zaidi kuwahi kushuhudiwa kwa siku moja nchini zaidi kwa siku Uganda, huku mtu wa kwanza akifariki Rwanda.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Maji ya chumvi kufanyiwa utafiti wa tiba ya virusi

Utafiti wa awali ulionesha kwamba dawa za kutengenezwa nyumbani zinaweza kusaidia kupuguza makali ya dalili za virusi vya corona kama ilivyo kwa homa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku

Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Nadharia za uongo kuhusu virusi vya corona kati ya Marekani na China

Tangu mlipuko wa virusi vya corona kutokea nadharia zisizo za kweli kuhusu chimbuko na ukubwa wa janga la corona ni miongoni mwa yaliyoenea kwenye mitandao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani