Mtu wa kwanza ajitolea kufanyiwa chanjo ya virusi vya corona Marekani
![](https://1.bp.blogspot.com/-_1XoPYRReO0/XnBlRwomS2I/AAAAAAALkCQ/8eiunvCRAIsMh9UU52PkgBr7oTpEZHhygCLcBGAsYHQ/s72-c/_111277138_gettyimages-1154450279.jpg)
Binadamu wa kwanza kufanyiwa jaribio ya chanjo ya kinga dhidi ya virusi vya corona ameanza kufanyiwa jaribio hilo nchini Marekani.
Wagonjwa wanne walidungwa sindano ya virusi katika kituo cha utafiti Kaiser Permanente mjini Seattle, Washington, limeripoti shirika la habari la Associated Press.
Chanjo hiyo haiwezi kusababisha Covid-19 lakini ina jeni la virusi ambavyo vinaweza kusababisha ugonjwa.
Wataalamu wanasema itachukua miezi mingi kujua ikiwa chanjo hii, au utafiti mwingine,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Coronavirus: Mtu wa kwanza ajitolea kufanyiwa chanjo ya virusi vya corona Marekani
5 years ago
BBCSwahili24 Apr
Virusi vya corona: Wanasayansi wa Uingereza wanataka chanjo yao kufanyiwa majaribio Kenya
5 years ago
BBCSwahili26 Apr
Jaribio la kwanza la chanjo dhidi ya virusi vya corona laanza Ulaya
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Virusi vya corona: Ni nani aliyetoa fursa ya kwanza ya chanjo ya tiba duniani?
5 years ago
BBCSwahili15 May
Virusi vya corona: Mtaalamu wa chanjo 'aliyefutwa kazi' asema Marekani itakabiliwa na hali mbaya zaidi katika majira ya baridi
5 years ago
BBCSwahili31 May
Virusi vya corona: Idadi ya maambukizi yapanda zaidi kwa siku Uganda, huku mtu wa kwanza akifariki Rwanda
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Virusi vya corona: Maji ya chumvi kufanyiwa utafiti wa tiba ya virusi
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
5 years ago
BBCSwahili26 Apr
Virusi vya corona: Nadharia za uongo kuhusu virusi vya corona kati ya Marekani na China