Virusi vya corona: Itakua ni ''uendawazimu'' kuendesha uchaguzi wakati wa corona, asema rais wa Uganda
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuwa itakua ni 'uendawazimu' kuendesha uchaguzi wakati wa mlipuko wa virusi vya corona
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Virusi vya corona: Rais Magufuli asema ana imani ugonjwa wa corona umeondolewa kwa nguvu za Mwenyezi Mungu
Rais Magufuli aliwaomba raia wa taifa hilo kutumia siku tatu kuanzia tarehe 17 hadi 19 Aprili 2020, kumuomba Mwenyezi Mungu ili kuwaepusha na janga la ugonjwa wa corona.
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Virusi vya corona: Mikutano mikubwa ya Kampeni za uchaguzi yaibua hofu ya maambukizi ya virusi vya corona
Picha zinazoonyesha mikusanyiko ya maelfu ya watu waliokusanyika Jumatatu kwa uzinduzi wa mikutano ya kampeni za kisiasa nchini zimeibua wasi wasi mkubwa ya kuongezeka kwa maambukizi ya virusi vya corona kabla ya taifa hilo kufanya uchaguzi unaotarajiwa tarehe 20 Mei mwaka huu.
5 years ago
BBCSwahili25 May
Virusi vya corona : Rais Ramaphosa asema mlipuko wa virusi utakuwa mbaya zaidi
Cyril Ramaphosa ametangaza kulegeza masharti ya kukaa nyumbani, na uuzaji wa vilevi unatarajiwa kuanza.
5 years ago
BBCSwahili05 Jun
Virusi vya corona: Tutaweza vipi kulinda bayoanuwai wakati wa corona?
Wakati huu wa virusi vya corona bayoanuwai na mazingira kwa ujumla vimeathirika. Lakini je bayoanuwai inaweza kulindwa vipi wakati huu wa virusi corona?. Wataalamu wanaeleza
5 years ago
BBCSwahili15 Apr
Virusi vya corona: Congo inavyopambana na Ebola na corona kwa wakati mmoja
Wakati ugonjwa wa Corona ukisambaa nchini humo, mamlaka ya afya ambayo sasa zinakabiliana na magonjwa yote mawili ya mlipuko hatari wakati wakiwahudumia wagonjwa wa mlipuko wa kipindupindu pia.
5 years ago
BBCSwahili10 Jun
Virusi vya corona: Simu ilivyomsaidia daktari wakati huu wa janga la corona
Vile simu ya daktari huyu ilivyokuwa mfariji wake kipindi hiki cha corona
5 years ago
BBCSwahili22 Apr
Virusi vya corona: 'Kila anayekufa sio mgonjwa wa corona' asema Magufuli
Watanzania wengi wanatakiwa kuhamasishwa kuhusu ugonjwa corona
5 years ago
BBCSwahili05 Apr
Virusi vya Corona: Changamoto anazokumbana nazo asiye na uwezo wa kuona wakati wa janga la Corona
Janga la coronavirus limesababisha matatizo kwa kila mmoja. Lakini je umewahi kujiuliza hali ikoje kwa wasio na uwezo na kuona?
5 years ago
BBCSwahili18 Apr
Virusi vya corona: Uganda kumrudisha nyumbani Mtanzania aliyeambukizwa corona
Hatua ya Uganda kuwarudisha makwao raia wa kigeni waliopatikana na ugonjwa wa corona yazua gumzo kali.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania