Virusi vya corona: Simu ilivyomsaidia daktari wakati huu wa janga la corona
Vile simu ya daktari huyu ilivyokuwa mfariji wake kipindi hiki cha corona
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili05 Apr
Virusi vya Corona: Changamoto anazokumbana nazo asiye na uwezo wa kuona wakati wa janga la Corona
Janga la coronavirus limesababisha matatizo kwa kila mmoja. Lakini je umewahi kujiuliza hali ikoje kwa wasio na uwezo na kuona?
5 years ago
MichuziSADC TUIMARISHE UMOJA NA MSHIKAMANO WETU WAKATI HUU KUENEA KWA JANGA LA VIRUSI VYA CORONA-PROF.KABUDI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof Palamagamba kabudi (Mb) (wa kwanza kushoto) akiongea na wajumbe wa mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC uliofanyika kwa njia ya (Video Conference) leo Jijini Dar es Salaam
Baadhi ya mawaziri pamoja na maafisa waandamizi/ makatibu wakuu wakifuatilia mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC uliofanyika kwa njia ya (Video Conference) leo Jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya maafisa waandamizi/ makatibu wakuu wakifuatilia mkutano wa...
5 years ago
BBCSwahili25 May
Virusi vya corona: Jinsi janga la virusi vya corona linavyobadili usafiri wa ndege duniani
Janga la corona limelazimisha mashirika ya ndege kufuta safari na kuegesha ndege
5 years ago
BBCSwahili20 May
Virusi vya Corona: Hali mbaya ya hewa inapochanganyika na janga la Corona
Baadhi ya watu wamelazimika kushindwa kufuata miongozo iliyowekwa ili kujizuia na maambukizi ya corona kutokana na hali mbaya ya hewa.
5 years ago
BBCSwahili20 Jun
Virusi vya corona: Jinsi wakimbizi walivyoathirka na janga la corona Afrika
Janga la corona limeathiri kwa kiasi kikubwa maisha ya watu. Hata hivyo kwa wakimbizi hususan wale walioko barani Afrika changamoto ni nyingi, kulingana na shirika la wakimbizi.
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Virusi vya corona: Kwanini janga la corona limefanya panya kuwa wakali zaidi?
Amri ya kutotoka nje iliyowekwa na nchi tofauti ili kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona imewalazimisha watu kukaa nyumbani na hotelini pamoja na maeneo mengine ya kula kufungwa.
5 years ago
BBCSwahili21 Apr
Virusi vya Corona: Uhamiaji wa nchini Marekani kusitishwa kutokana na janga la corona, asema Trump
Marekani ina jumla ya wagonjwa wa corona 782,159 na vifo 41,816 kutokana na virusi hivyo.
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya corona: Je msaada wa Jack Ma Afrika una umuhimu gani katika kupambana na janga la corona?
Huku mlipuko wa virusi vya corona ukiendelea kuathiri sekta zote duniani mataifa mengi yameshindwa kupata jibu la kukabiliana na janga hilo.
5 years ago
MichuziWANAOUGUA CORONA NI WENGI ZAIDI KULIKO WENYE VIRUSI VYA CORONA ...MUNGU TUPONYE NA JANGA HILI
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
TUKUBALIANE nitakachoelezea hapa hakuna uhusiano na ukweli wa moja kwa moja ila ni mtazamo wangu wa kijinga uliojaa na upumbavu ndani yake.
Nataka kuzungumzia ugonjwa hatari wa COVID-19 ( Corona) ambao umeifanya dunia kuhaha kutafuta kinga yake kwa ajili ya kuokoa maisha ya wanadamu. Corona haina adabu kabisa inakatisha maisha ya watu bila huruma. Ukweli dunia imekosa furaha kabisa kutokana na virusi vya Corona ambavyo havina tiba wala chanjo.
Nenda...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania