WANAOUGUA CORONA NI WENGI ZAIDI KULIKO WENYE VIRUSI VYA CORONA ...MUNGU TUPONYE NA JANGA HILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-zsbWpQOj7OY/XoBQO7D4g3I/AAAAAAALlb8/hkcBo6cT2oA_o1qZIGQCUr8L86ISh_VAwCLcBGAsYHQ/s72-c/5e75f83c8ea98.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
TUKUBALIANE nitakachoelezea hapa hakuna uhusiano na ukweli wa moja kwa moja ila ni mtazamo wangu wa kijinga uliojaa na upumbavu ndani yake.
Nataka kuzungumzia ugonjwa hatari wa COVID-19 ( Corona) ambao umeifanya dunia kuhaha kutafuta kinga yake kwa ajili ya kuokoa maisha ya wanadamu. Corona haina adabu kabisa inakatisha maisha ya watu bila huruma. Ukweli dunia imekosa furaha kabisa kutokana na virusi vya Corona ambavyo havina tiba wala chanjo.
Nenda...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Virusi vya corona: Kwanini janga la corona limefanya panya kuwa wakali zaidi?
5 years ago
BBCSwahili25 Mar
Virusi vya corona: 'Janga hili linaua mara mbili'
5 years ago
BBCSwahili27 Apr
Virusi vya corona: Nchi zinazoongozwa na wanawake wametumia mikakati gani kukabiliana na janga hili?
5 years ago
BBCSwahili25 May
Virusi vya corona: Jinsi janga la virusi vya corona linavyobadili usafiri wa ndege duniani
5 years ago
BBCSwahili22 May
Virusi vya corona: Watanzania waanza maombi ya siku 3 kumshukuru Mungu kwa kuwaepusha na janga
5 years ago
BBCSwahili20 Jun
Virusi vya corona: Jinsi wakimbizi walivyoathirka na janga la corona Afrika
5 years ago
BBCSwahili20 May
Virusi vya Corona: Hali mbaya ya hewa inapochanganyika na janga la Corona
5 years ago
BBCSwahili10 Jun
Virusi vya corona: Simu ilivyomsaidia daktari wakati huu wa janga la corona
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku