Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Tutaweza vipi kulinda bayoanuwai wakati wa corona?

Wakati huu wa virusi vya corona bayoanuwai na mazingira kwa ujumla vimeathirika. Lakini je bayoanuwai inaweza kulindwa vipi wakati huu wa virusi corona?. Wataalamu wanaeleza

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je vipimo vya kugundua virusi vya corona vinafanya kazi vipi?

Vipimo vya kugundua virusi vya corona ni vipi na vinafanyakazi namna gani?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wimbi la pili la corona likoje na linaweza kutokea vipi?

Virusi vya corona havitaisha hivi karibuni. Baadhi ya nchi bado zinashughulikia mlipuko mkubwa, lakini hata zile ambazo zimeweza kudhibiti virusi zinahofia "wimbi la pili"

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je mataifa ya Afrika yanakabiliana vipi na athari za kiuchumi za Corona?

Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo ametangaza kuwa serikali yake italipia garama ya maji kwa kipindi cha miezi mitatu ijayo ikiwa ni jitihada za kukabiliana na maambukizi ya ugonjwa wa corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Congo inavyopambana na Ebola na corona kwa wakati mmoja

Wakati ugonjwa wa Corona ukisambaa nchini humo, mamlaka ya afya ambayo sasa zinakabiliana na magonjwa yote mawili ya mlipuko hatari wakati wakiwahudumia wagonjwa wa mlipuko wa kipindupindu pia.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Simu ilivyomsaidia daktari wakati huu wa janga la corona

Vile simu ya daktari huyu ilivyokuwa mfariji wake kipindi hiki cha corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Itakua ni ''uendawazimu'' kuendesha uchaguzi wakati wa corona, asema rais wa Uganda

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuwa itakua ni 'uendawazimu' kuendesha uchaguzi wakati wa mlipuko wa virusi vya corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Changamoto anazokumbana nazo asiye na uwezo wa kuona wakati wa janga la Corona

Janga la coronavirus limesababisha matatizo kwa kila mmoja. Lakini je umewahi kujiuliza hali ikoje kwa wasio na uwezo na kuona?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je mfumo wa maisha ya shule na vyuo utabadilika vipi kutokana na virusi Tanzania?

Nchini Tanzania, maelfu wa wanafunzi wa vyuo na wale wa sekondari wanaomaliza kidato cha sita hii leo wameanza rasmi masomo yao baada ya kuwepo katika likizo ya ghafla kwa muda wa miezi miwili iliyosababishwa na kutokea kwa janga la virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je roboti zinatumika vipi kwenye vituo vya Covid-19 Rwanda?

Rwanda imesema kuwa tayari inatumia roboti katika kuzuwia maambukizi ya virusi vya corona kwenye vituo vya ugonjwa huo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani