Chui katika bustani ya wanyama ya Bronx, New York akutwa na virusi vya corona Marekani
Chui wanne, simba watatu kwenye bustani ya Bronx walipata kikohozi kikavu - wote wanatarajiwa kupona.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.
5 years ago
BBCSwahili18 Apr
Virusi vya corona: Je wanyama wanaofugwa wana hatari ya kusambaza virusi?
Virusi vya corona : Ni kweli wanyama wanaofugwa wana hatari ya kusambaza virusi?
5 years ago
BBCSwahili22 May
Virusi vya corona: Victor Wanyama anaelezea jinsi Corona ilivyoathiri mipango
Janga la virusi vya Covid-19, limesababisha athari nyingi mkiwemo mipango ya soka ya wachezaji wa soka la kulipwa Ulaya. Victor Wanyama kutoka Kenya anaelezea jinsi alivyoathiwa.
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya Corona: Msaidizi wa Makamu wa rais Mike Pence akutwa na Corona
Msaidizi mwingine mkubwa wa Mike Pence amekutwa na virusi vya corona siku moja baada ya mfanyakazi mmoja wa White house kukutwa na virusi hivyo.
5 years ago
BBCSwahili26 Apr
Virusi vya corona: Nadharia za uongo kuhusu virusi vya corona kati ya Marekani na China
Tangu mlipuko wa virusi vya corona kutokea nadharia zisizo za kweli kuhusu chimbuko na ukubwa wa janga la corona ni miongoni mwa yaliyoenea kwenye mitandao.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-t-HlAnRlpqg/XrFDaLlPwhI/AAAAAAABABc/T1ZxNyjB2qgt-KD5__gOz3Hr-VX-uZ_hACNcBGAsYHQ/s72-c/ken.gif)
MTOTO MIAKA 6 AKUTWA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-t-HlAnRlpqg/XrFDaLlPwhI/AAAAAAABABc/T1ZxNyjB2qgt-KD5__gOz3Hr-VX-uZ_hACNcBGAsYHQ/s400/ken.gif)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya nchini humo, Mercy Mwangangi, amesema wagonjwa wapya ni raia wa Kenya wenye umri kati ya miezi 6 na miaka 60 na watu 13 ni wanaume na 12 ni wanawake, wote hawana historia ya kusafiri hivi karibuni.
Katibu huyo ameeleza kuwa wanafanya kazi na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-xxTNuYY66Ao/Xp06Ebaxs6I/AAAAAAAAyOw/Tng47Ho8mDI6EMnOW3tbWv0X0vipMimFQCLcBGAsYHQ/s72-c/uhoubsn7b7fcxu5ca5c46b75298.jpg)
MCHEKESHAJI PIERRE LIQUID AKUTWA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-xxTNuYY66Ao/Xp06Ebaxs6I/AAAAAAAAyOw/Tng47Ho8mDI6EMnOW3tbWv0X0vipMimFQCLcBGAsYHQ/s400/uhoubsn7b7fcxu5ca5c46b75298.jpg)
Akizungumza kwa njia ya simu na gazeti la Mwanaspoti Pierre amesema kwa sasa yupo hospitali ya Amana akiwa anaendelea kupatiwa matibabu.
Akieleza namna alivyogundulika kuwa ana corona,amesema hii ni baada ya kwenda kupima wiki iliyopita hospitali ya Temeke. "Nina bosi wangu wa karibu ambaye kapata ugonjwa huu na kwa kuwa mara nyingi tuko naye alinishauri na mimi...
5 years ago
BBCSwahili13 Mar
Mikel Arteta: Mkufunzi wa Arsenal akutwa na virusi vya corona
Mkufunzi wa Arsenal Mikel Arteta amekutwa na virusi vya uvya ugonjwa wa corona na mechi kati ya timu yake na Brighton iliyotarajiwa kuchezwa wikiendi imeahirishwa
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Virusi vya Corona: Paka wawili wa kufugwa waambukizwa corona New York
Wanasayansi wanafikiri kuwa hakuna uwezekano wa mnyama kumuambukiza binadamu virusi vya corona.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania