Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chui katika bustani ya wanyama ya Bronx, New York akutwa na virusi vya corona Marekani

Chui wanne, simba watatu kwenye bustani ya Bronx walipata kikohozi kikavu - wote wanatarajiwa kupona.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku

Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je wanyama wanaofugwa wana hatari ya kusambaza virusi?

Virusi vya corona : Ni kweli wanyama wanaofugwa wana hatari ya kusambaza virusi?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Victor Wanyama anaelezea jinsi Corona ilivyoathiri mipango

Janga la virusi vya Covid-19, limesababisha athari nyingi mkiwemo mipango ya soka ya wachezaji wa soka la kulipwa Ulaya. Victor Wanyama kutoka Kenya anaelezea jinsi alivyoathiwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Msaidizi wa Makamu wa rais Mike Pence akutwa na Corona

Msaidizi mwingine mkubwa wa Mike Pence amekutwa na virusi vya corona siku moja baada ya mfanyakazi mmoja wa White house kukutwa na virusi hivyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Nadharia za uongo kuhusu virusi vya corona kati ya Marekani na China

Tangu mlipuko wa virusi vya corona kutokea nadharia zisizo za kweli kuhusu chimbuko na ukubwa wa janga la corona ni miongoni mwa yaliyoenea kwenye mitandao.

 

5 years ago

CCM Blog

MTOTO MIAKA 6 AKUTWA NA VIRUSI VYA CORONA

  WIZARA ya Afya nchini Kenya imetangaza ongezeko la visa 25 vya #COVID19 baada ya sampuli 1,012 kufanyiwa vipimo na kufanya idadi ya visa nchini humo imefikia 490 huku wagonjwa 6 zaidi wamepona na jumla ya waliopona ni 163.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya nchini humo, Mercy Mwangangi, amesema wagonjwa wapya ni raia wa Kenya wenye umri kati ya miezi 6 na miaka 60 na watu 13 ni wanaume na 12 ni wanawake, wote hawana historia ya kusafiri hivi karibuni.

Katibu huyo ameeleza kuwa wanafanya kazi na...

 

5 years ago

CCM Blog

MCHEKESHAJI PIERRE LIQUID AKUTWA NA VIRUSI VYA CORONA

Msanii wa Maigizo na Mchekeshaji 'Pierre Liquid' amethibitisha kuwa na virusi vya corona vinavyosababisha homa kali ya Mapafu
Akizungumza kwa njia ya simu na gazeti la Mwanaspoti Pierre amesema kwa sasa yupo hospitali ya Amana akiwa anaendelea kupatiwa matibabu.

Akieleza namna alivyogundulika kuwa ana corona,amesema hii ni baada ya kwenda kupima wiki iliyopita hospitali ya Temeke. "Nina bosi wangu wa karibu ambaye kapata ugonjwa huu na kwa kuwa mara nyingi tuko naye alinishauri na mimi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mikel Arteta: Mkufunzi wa Arsenal akutwa na virusi vya corona

Mkufunzi wa Arsenal Mikel Arteta amekutwa na virusi vya uvya ugonjwa wa corona na mechi kati ya timu yake na Brighton iliyotarajiwa kuchezwa wikiendi imeahirishwa

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Paka wawili wa kufugwa waambukizwa corona New York

Wanasayansi wanafikiri kuwa hakuna uwezekano wa mnyama kumuambukiza binadamu virusi vya corona.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani