KAMPUNI YA LIQUID TELECOM YAJA NA MAJIBU YA WATU KUENDELEA NA SHUGHULI ZA UZALISHAJI LICHA YA KUWEPO KWA VIRUSI VYA CORONA KATIKA BARA LA AFRIKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-4dhtICkvmFc/XnXc8IyFFSI/AAAAAAALkoo/xDAEBXMHpNYAhDEa0I77O428owBtblf3QCLcBGAsYHQ/s72-c/00d4c26c-9efd-48bc-834a-6d54675f76db.jpg)
Na Mwandishi Wetu, Michuzi Globu ya jamii
MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Liquid Telecom Nic Rudnick amesema kwamba katika kipindi hiki ambacho Dunia inakabiliwa na virusi vya COVID-19 ( Coronavirus) na kusabababisha shughuli nyingi za kiuchumi kusimama katika nchi mbalimbali wao kipaumbele cha cha kampuni hiyo kwa sasa ni kusaidia na kulinda afya, ustawi na usalama wa wafanyikazi, wateja, washirika na umma mkakati wa kudumisha mwendelezo wa biashara katika viwango vyote.
Amesisitiza katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k3cBIFaWRtk/XrmRF6RIO2I/AAAAAAALp1U/ZSFE1fd_lF4pWYDRRlKLk_aHxlSmFU45QCLcBGAsYHQ/s72-c/Liquid-Telecom-Gen-Z-report.jpg)
KAMPUNI YA LIQUID TELECOM'S KUENDELEA KUZIUNGANISHA KIDIGITAL NCHI ZA JUMUIYA YA AFRIKA ILI KUENDELEA NA SHUGHULI ZAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-k3cBIFaWRtk/XrmRF6RIO2I/AAAAAAALp1U/ZSFE1fd_lF4pWYDRRlKLk_aHxlSmFU45QCLcBGAsYHQ/s320/Liquid-Telecom-Gen-Z-report.jpg)
KAMPUNI ya Liquid Telecom's Afrika Mashariki imezihakikishia nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuendelea kufanya kazi zake kwa ukaribu na kawaida kupitia mgongo wake wa jumuiya ya nchi hizo katika mabadiliko yake ya kidigitali chini ya mwezi wa mmoja kutokana na janga la COVID- 19
Kwa mujibu wa kampuni imeeleza kuwa ndiyo inayoongoza katika mawasiliano na imewezesha wanachama wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kufanya kazi kwa ukaribu na kawaida licha ya...
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Virusi vya corona : Hatari ya kuwepo kwa dawa bandia katika nchi za Afrika
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya corona: Maharusi wamekamatwa Afrika Kusini kwa kufunga ndoa licha ya amri ya kutotoka nje
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lk_J7fF17gI/Xrg7Bpq1M1I/AAAAAAALprs/GXTFuwX_dLUBMpjuNDMrZFYU_gMiBrXZwCLcBGAsYHQ/s72-c/RTS32VL3.jpg)
LICHA YA KUWA NA MAAMBUKIZI YA VVU KWA ASILIMIA 25.00, LESOTHO NI NCHI PEKEE AFRIKA AMBAYO HAIJAKUMBWA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lk_J7fF17gI/Xrg7Bpq1M1I/AAAAAAALprs/GXTFuwX_dLUBMpjuNDMrZFYU_gMiBrXZwCLcBGAsYHQ/s400/RTS32VL3.jpg)
HADI sasa Lesotho haijatangaza kisa cha maambukizi ya homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19) licha ya majirani zao Afrika kusini kuwa na kesi za Covid-19 zaidi ya elfu saba na vifo zaidi ya mia moja, pia Lesotho inakua nchi pekee kati nchi 54 barani Afrika ambayo haijaripoti maambukizi ya virusi hivyo ila nchi hiyo imeendelea kuchukua hatua kadhaa ikiwa ni pamoja na kufunga, mipaka, vyuo, shule pamoja na shughuli nyingine...
5 years ago
BBCSwahili24 Jun
Virusi vya corona: sababu za kuwepo kwa mlipuko wa virusi kwenye viwanda vya nyama
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya corona: Je ni ipi siri ya bara la Afrika kutoathirika pakubwa na corona?
5 years ago
BBCSwahili11 Apr
Virusi vya corona: Je virusi vya corona ni majaribu kiasi gani kwa Afrika?
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-xxTNuYY66Ao/Xp06Ebaxs6I/AAAAAAAAyOw/Tng47Ho8mDI6EMnOW3tbWv0X0vipMimFQCLcBGAsYHQ/s72-c/uhoubsn7b7fcxu5ca5c46b75298.jpg)
MCHEKESHAJI PIERRE LIQUID AKUTWA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-xxTNuYY66Ao/Xp06Ebaxs6I/AAAAAAAAyOw/Tng47Ho8mDI6EMnOW3tbWv0X0vipMimFQCLcBGAsYHQ/s400/uhoubsn7b7fcxu5ca5c46b75298.jpg)
Akizungumza kwa njia ya simu na gazeti la Mwanaspoti Pierre amesema kwa sasa yupo hospitali ya Amana akiwa anaendelea kupatiwa matibabu.
Akieleza namna alivyogundulika kuwa ana corona,amesema hii ni baada ya kwenda kupima wiki iliyopita hospitali ya Temeke. "Nina bosi wangu wa karibu ambaye kapata ugonjwa huu na kwa kuwa mara nyingi tuko naye alinishauri na mimi...