Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Je ni ipi siri ya bara la Afrika kutoathirika pakubwa na corona?

Tangu mgonjwa wa kwanza kutangazwa Afrika Februari 14, vyombo vya habari kote duniani, wataalamu, serikali na hata Shirika la Afya Duniani wametabiri kutokea kwa janga katika bara hilo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Mtaa wa Chicago waathirika pakubwa na virusi vya corona Marekani

Wamarekani weusi katika mtaa wa Chicago nchini Marekani ni asilimia 70 ya watu waliofariki na virusi vya corona licha ya kuwa asilimia 30 ya idadi ya watu katika mtaa huo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je virusi vya corona ni majaribu kiasi gani kwa Afrika?

Ongezeko la visa vya ugonjwa wa Covid-19 ni changamoto kubwa kwa sekta za Afya barani Afrika.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona Afrika: 'Hakuna muda wa kunasua uchumi wa Afrika' dhidi ya corona

Chumi nyingi za mataifa ya Afrika zimekuwa zikiimarika Many kabla ya kuibuka kwa janga la corona - hali hiyo huenda ikabadilika.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Barakoa ipi ni sahihi kwa matumizi?

Kuna vifaa vya kujikinga na corona kama barakoa, glovu,miwani lakini ni nani wanapaswa kutumia?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Afrika sio uwanja wa majaribio ya chanjo ya corona - WHO

Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amelaani kauli alizoziita za "kibaguzi" kutoka kwa madaktari wawili wa Ufaransa ambao walitaka chanjo ya virusi vya corona kufanyiwa majaribio barani Afrika.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jinsi wakimbizi walivyoathirka na janga la corona Afrika

Janga la corona limeathiri kwa kiasi kikubwa maisha ya watu. Hata hivyo kwa wakimbizi hususan wale walioko barani Afrika changamoto ni nyingi, kulingana na shirika la wakimbizi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Je, marufuku ya kutotoka nje inaweza kudhibiti Corona Afrika?

Ni muhimu kwa wananchi kuhusishwa katka maamuzi ya marufuku ya kutoka nje, Alex de Waal na Paul Richards wamejadili.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Taarifa ambazo si sahihi kuhusu corona zimetapakaa Afrika?

Madai kuhusu virusi Corona ambayo hayana udhibitisho zimetapakaa katika mataifa mbalimbali Afrika.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Je, corona imedhibitiwa Afrika ama kuna walakini wa takwimu?

Mpaka sasa wagonjwa 100,000 ndio waliothibitishwa kote barani Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani