Mtaa wa Chicago waathirika pakubwa na virusi vya corona Marekani
Wamarekani weusi katika mtaa wa Chicago nchini Marekani ni asilimia 70 ya watu waliofariki na virusi vya corona licha ya kuwa asilimia 30 ya idadi ya watu katika mtaa huo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya corona: Je ni ipi siri ya bara la Afrika kutoathirika pakubwa na corona?
Tangu mgonjwa wa kwanza kutangazwa Afrika Februari 14, vyombo vya habari kote duniani, wataalamu, serikali na hata Shirika la Afya Duniani wametabiri kutokea kwa janga katika bara hilo.
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.
5 years ago
BBCSwahili26 Apr
Virusi vya corona: Nadharia za uongo kuhusu virusi vya corona kati ya Marekani na China
Tangu mlipuko wa virusi vya corona kutokea nadharia zisizo za kweli kuhusu chimbuko na ukubwa wa janga la corona ni miongoni mwa yaliyoenea kwenye mitandao.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FFMTLtFRsvg/Xl1oCvQ5CBI/AAAAAAALgek/ENCl2BZvqX0iasmUN5-Oq3hpGZJkGMKogCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv6fba7fc89ba1lyf6_800C450.jpg)
Waathirika 291 wa virusi vya Corona wapona nchini Iran
![](https://1.bp.blogspot.com/-FFMTLtFRsvg/Xl1oCvQ5CBI/AAAAAAALgek/ENCl2BZvqX0iasmUN5-Oq3hpGZJkGMKogCLcBGAsYHQ/s640/4bv6fba7fc89ba1lyf6_800C450.jpg)
Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Udaktari nchini Iran imetangaza kwamba hadi sasa watu 291 waliokuwa wameathirika na virusi vya Corona wamepona na kuruhusiwa kutoka hospitalini.
Alireza Raeesi, Naibu Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Udaktari nchini Iran ameyasema hayo leo akiongea na waandishi wa habari. Ameashiria kuwa watu 1,501 waathiriwa wa virusi vya Corona nchini Iran na kusema kwa bahati mbaya hadi sasa watu 66 wamefariki dunia kutokana na virusi hivyo.
Virusi vya Corona viliibuka...
5 years ago
BBCSwahili02 May
Virusi vya corona: Marekani yaidhinisha matumizi ya dawa ya virusi ya Remdesivir
Mamlaka ya dawa na chakula nchini Marekani (FDA) imetoa ruhusa ya dharura ya dawa ya Ebola inayofahamika ama 'remdesivir' kutumika kuwatibu wagonjwa wenye virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya Corona: Je Marekani itaweza kukabiliana na virusi vilivyoingia White House?
Wafanyakazi wa Ikulu ya White House wameagizwa kuvaa barakoa wakati wanapoingia jengo la ofisi zake zinazofahamika kama -West Wing, baada ya wasaidizi wawili kupatwa na virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili01 May
Virusi vya corona: Kwanini Trump anatofautiana na majasusi wa Marekani kuhusu chimbuko la virusi
Idara ya intelijensia ya Marekani ilisema haina uhakika jinsi mlipuko ulivyoanza, lakini Trump anadai virusi hivyo vilitengenezwa katika maabara.
5 years ago
BBCSwahili27 Jun
Virusi vya corona: Ugonjwa wa corona sasa ni tatizo kuu Marekani
Daktari mkuu wa magonjwa ya kuambukizwa nchini Marekani Dkt Anthony Fauci anasema Marekani ina tatizo kubwa sasa la maambukizi ya virusi vya corona, baadhi ya majimbo yamesitisha mpango wa kufungua
5 years ago
BBCSwahili16 Jun
Virusi vya corona: Marekani yasitisha matumizi ya dawa ya hydroxychloroquine kutibu corona
Rais Trump atetea dawa ya hydroxychloroquine licha ya shirika la FDA kusema hakuna ushahidi kuwa dawa hii inatibu corona
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania