Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Marekani yaidhinisha matumizi ya dawa ya virusi ya Remdesivir

Mamlaka ya dawa na chakula nchini Marekani (FDA) imetoa ruhusa ya dharura ya dawa ya Ebola inayofahamika ama 'remdesivir' kutumika kuwatibu wagonjwa wenye virusi vya corona.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Uingereza imeruhusu matumizi ya dawa ya kukabiliana na virusi ya remdesivir

Dawa ya Remdesivir ilikuwa imevumbuliwa kukabiliana na virusi vya Ebola.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Marekani yasitisha matumizi ya dawa ya hydroxychloroquine kutibu corona

Rais Trump atetea dawa ya hydroxychloroquine licha ya shirika la FDA kusema hakuna ushahidi kuwa dawa hii inatibu corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Remdesivir: Dawa yenye 'nguvu' za kukabiliana na virusi vya corona

Data hiyo inatokana na vipimo dhidi ya dalili za ugonjwa huo miongoni mwa zaidi ya wagonjwa 1000 nchini Marekani

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Matumaini yafifia baada dawa ya remdesivir kugonga mwamba

Kumekuwa na matumaini makubwa kwamba dawa ya remdesivir ingeweza kutibu ugonjwa wa virusi vya corona, Covid-19.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Utafiti wa matumizi ya dawa ya hydroxychloroquine wapingwa

Makala maalumu iliyobainisha kuwa hydroxychloroquine inaongeza hatari ya kifo kwa wagonjwa wa virusi vya corona imeondolewa kutokana na kuwepo na maswali kuhusu data.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku

Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je, Madagascar wamepata dawa ya mitishamba kutibu virusi vya corona?

Rais wa Madagasca ametangaza dawa ya kunywa ya mitishamba inayotokana na mmea wa pakanga pamoja na mimea mingine inayoweza kutibu maambukizi ya virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Nadharia za uongo kuhusu virusi vya corona kati ya Marekani na China

Tangu mlipuko wa virusi vya corona kutokea nadharia zisizo za kweli kuhusu chimbuko na ukubwa wa janga la corona ni miongoni mwa yaliyoenea kwenye mitandao.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: ''Dawa'' ya Madagascar inayoaminiwa kutibu virusi itachunguzwa zaidi

Baada ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Paramagamba Kabudi kwenda Madagascar kuichukua dawa ya mititishamba inayoaminiwa kuwa inaweza kukinga na kutibu Covid-19, Tanzania imesema dawa hiyo itachunguzwa zaidi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani