Virusi vya Corona: Je, corona imedhibitiwa Afrika ama kuna walakini wa takwimu?
Mpaka sasa wagonjwa 100,000 ndio waliothibitishwa kote barani Afrika.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili21 May
Virusi vya Corona: Bado kuna safari ndefu kuimaliza corona - WHO
Watu 106,000 wathibitishwa kuwa na maambukizo ndani ya saa 24.
5 years ago
BBCSwahili19 May
Virusi vya corona: Je kuna ushahidi kuwa dawa za malaria zinatibu corona?
Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa ametumia dawa ya malaria ya hydroxychloroquine ili kuzuia maambukizi ya virusi vya corona licha ya kwamba wanasayansi wametoa angalizo dhidi athari ambazo zinaweza kujitokeza.
5 years ago
BBCSwahili07 May
Virusi vya Corona: Wiki moja bila takwimu mpya za corona Tanzania, nini kimetokea?
Jumatano wiki hii imetimu wiki moja toka Tanzania kutoa takwimu za mwisho za ugonjwa wa virusi vya corona nchini humo.
5 years ago
BBCSwahili11 Apr
Virusi vya corona: Je virusi vya corona ni majaribu kiasi gani kwa Afrika?
Ongezeko la visa vya ugonjwa wa Covid-19 ni changamoto kubwa kwa sekta za Afya barani Afrika.
5 years ago
BBCSwahili20 Apr
Virusi vya corona Afrika: 'Hakuna muda wa kunasua uchumi wa Afrika' dhidi ya corona
Chumi nyingi za mataifa ya Afrika zimekuwa zikiimarika Many kabla ya kuibuka kwa janga la corona - hali hiyo huenda ikabadilika.
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya corona: Afrika sio uwanja wa majaribio ya chanjo ya corona - WHO
Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amelaani kauli alizoziita za "kibaguzi" kutoka kwa madaktari wawili wa Ufaransa ambao walitaka chanjo ya virusi vya corona kufanyiwa majaribio barani Afrika.
5 years ago
BBCSwahili20 Jun
Virusi vya corona: Jinsi wakimbizi walivyoathirka na janga la corona Afrika
Janga la corona limeathiri kwa kiasi kikubwa maisha ya watu. Hata hivyo kwa wakimbizi hususan wale walioko barani Afrika changamoto ni nyingi, kulingana na shirika la wakimbizi.
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Virusi vya Corona: Je, marufuku ya kutotoka nje inaweza kudhibiti Corona Afrika?
Ni muhimu kwa wananchi kuhusishwa katka maamuzi ya marufuku ya kutoka nje, Alex de Waal na Paul Richards wamejadili.
5 years ago
BBCSwahili25 Apr
Virusi vya Corona: Taarifa ambazo si sahihi kuhusu corona zimetapakaa Afrika?
Madai kuhusu virusi Corona ambayo hayana udhibitisho zimetapakaa katika mataifa mbalimbali Afrika.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania