Mchekeshaji nguli Robin Williams afariki
Salamu za rambi rambi zimeendelea kumiminika kufuatia kifo cha nguli wa uigizaji na vichekesho nchini Marekani Robin Williams
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili12 Aug
Muigizaji nguli Robin Williams aaga dunia
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6f6Gpm_FkWU/U-npbay_9BI/AAAAAAAF-4g/CXz_pgBs8oc/s72-c/ebbf0829a1e053c18dc6d202419216f0.jpg)
BURIANI ROBIN WILLIAMS
![](http://3.bp.blogspot.com/-6f6Gpm_FkWU/U-npbay_9BI/AAAAAAAF-4g/CXz_pgBs8oc/s1600/ebbf0829a1e053c18dc6d202419216f0.jpg)
Mcheza sinema na mchekeshaji maarufu duniani aliyepata kushinda tuzo ya Oscar Robin Williams amefariki dunia katika kifo kinachoshukiwa ni cha kujiua mwwenyewe. Alikuwa na umri wa miaka 63.
Kwa mujibu wa polisi wa Marin huko Calofornia, Marehemu Williams alikutwa hana fahamu huku akiwa hapumui majira ya saa sita za mchana Jumatatu nyumbani kwake Tiburon, kufuatia simu ya dharura iliyopigwa polisi hapo. Alitangazwa amefariki dunia saa sita na dakika mbili baada ya wahudumu wa huduma za...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VEmjh*oDsunsgyLz-SbBYOi7yfVDFwub8VhGtNzwb*DoyVaCxklIgY4NNXEcl3tNlA3pjuLEMpgxvfWGcNQlF-pvR*BZhm-K/_76883289_76883288.jpg)
MUIGIZAJI ROBIN WILLIAMS WA MAREKANI AJIUA
11 years ago
Dewji Blog12 Aug
Officials reveal details about Robin Williams’s death
Robin Williams hanged himself with a belt after his wife had gone to sleep Sunday night.
Those are among the graphic new details to emerge about the death of the 63-year-old entertainer at a press conference Tuesday.
Speaking from prepared notes, Marin Sheriff’s Lt. Keith Boyd said that Williams’s wife, Susan Schneider, went to bed at 10:30 p.m. on Sunday. Williams later retired in a different bedroom of their home in Tiburon, California, a small town in the San Francisco Bay area.
In the...
11 years ago
Bongo512 Aug
Muigizaji wa ‘Mrs Doubtfire’ Robin Williams wa Marekani akutwa amekufa nyumbani kwake
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wSmhU1AjyH0/XoHc40ccAqI/AAAAAAALlg4/h39SsBCTzMME1c3Hk1juQRFO7Yh-IufVACLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
MCHEKESHAJI AFARIKI KWA CORONA JAPAN
![](https://1.bp.blogspot.com/-wSmhU1AjyH0/XoHc40ccAqI/AAAAAAALlg4/h39SsBCTzMME1c3Hk1juQRFO7Yh-IufVACLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
MCHEKESHAJI maarufu na mkongwe kutoka Japan Ken Shimura (70) amefariki dunia usiku wa kuamkia leo mjini Tokyo baada ya kupata maambukizi ya Corona baada ya kupata maambukizi ya virusi vya Corona (covid 19) Shirika la Utangazaji CNN na watu wake wa karibu wamethibitisha.
imeelezwa kuwa Shimura aliumwa homa ya mapafu kufariki dunia jumapili usiku, huku ikielezwa kuwa alianza kusikia dalili ikiwemo uchovu Machi 17 na alilazwa Machi 20 kabla ya kugundulika...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LSoyPgWn7v4/VaLpKjHcW2I/AAAAAAAHpO4/-e55uvFz3tc/s72-c/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
news alert: Mchekeshaji wa Kenya Mzee Ojwanga afariki dunia
![](http://4.bp.blogspot.com/-LSoyPgWn7v4/VaLpKjHcW2I/AAAAAAAHpO4/-e55uvFz3tc/s640/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
Mwigizaji wa filamu za vichekesho wa Kenya Benson Wanjau maarufu kama Mzee Ojwang (pichani) amefariki dunia Jumapili jioni katika hospitali ya Taifa ya Kenyatta National alikokuwa amelazwa kwa matibabu. Taarifa kutoka NAirobi zinasema alikuwa anaumwa "Nimonia" (Pneumonia). Marehemu Mzee Ojwang alijipatia umaarufu mkubwa Afrika Mashariki kwa vituko vyake kwenye filamu za Vitimbi, Vioja Mahakami, Vituko na Kinyonga. Alikuwa haonekani kwa muda mrefu kwenye televisheni za Kenya na mashabiki...
10 years ago
Habarileo01 Nov
Nguli wa utangazaji Beni Kiko afariki dunia
ALIYEKUWA mwandishi wa habari na mtangazaji wa Redio Tanzania (RTD) sasa TBC, Ben Kikoromo (72) maarufu kama Beni Kiko, amefariki dunia juzi usiku katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa amelazwa kwa matibabu ya ugonjwa wa figo.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-e2z3n6NxJew/XrjMbdxqGrI/AAAAAAACKUk/Hf5vUubi918GCEno1WDOq1HBLJBtjSNkACLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1589168086774.jpg)
MPIGA KINANDA NGULI WA TOT JUMA JERRY AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-e2z3n6NxJew/XrjMbdxqGrI/AAAAAAACKUk/Hf5vUubi918GCEno1WDOq1HBLJBtjSNkACLcBGAsYHQ/s400/FB_IMG_1589168086774.jpg)
Aliyekuwa mpiga kinanda nguli wa Kikundi cha CCM cha Tanzania One Theatre (TOT) au TOT Plus Juma Jerry au Mzee wa Mbezi ( dunia (Pichani) amefariki
Akithibitisha kifo hicho Mkurugenzi wa TOT Gasper Tumaini amesema Jerry amefariki dunia leo katika Hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam, alikokuwa akitibiwa.
Tumaini amesema Jerry alilazwa Lugalo tangu jana akipatiwa matibabu ya presha aliyokuwa akiugua kwa mda mrefu.
Jerry pia alikuwa Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Wanamuziki wa...