Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nguli wa utangazaji Beni Kiko afariki dunia

ALIYEKUWA mwandishi wa habari na mtangazaji wa Redio Tanzania (RTD) sasa TBC, Ben Kikoromo (72) maarufu kama Beni Kiko, amefariki dunia juzi usiku katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa amelazwa kwa matibabu ya ugonjwa wa figo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MSIBA: MTANGAZAJI BEN KIKO AFARIKI DUNIA

Ben Kiko enzi za uhai wake. ALIYEKUWA mtangazaji maarufu wa Radio Tanzania, Ben Kiko, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Oktoba 31, 2014 akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam alipokuwa akitibiwa. Kiko amefariki baada ya kusumbuliwa na maradhi ya figo kwa muda mrefu. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.… ...

 

10 years ago

CloudsFM

MTANGAZAJI MKONGWE WA TBC, BEN KIKO AFARIKI DUNIA JIJINI DAR

ALIYEKUWA mtangazaji maarufu wa Radio Tanzania, Ben Kiko, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Oktoba 31, 2014 akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam alipokuwa akitibiwa.
Kiko amefariki baada ya kusumbuliwa na maradhi ya figo kwa muda mrefu

 

10 years ago

Michuzi

News Alert: mtangazaji mahiri wa RTD Ben Kiko afariki dunia

Mtangazaji wa zamani wa Radio Tanzania (RTD) sasa TBC,Ben Hamis Kikoromo maarufu kama Ben Kiko enzi za uhai wake akiwa katika moja ya semina alizohudhuria.

MTANGAZAJI na mwandishi wa habari mkongwe nchini Ben Kiko amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hosptali ya taifa ya rufaa ya Muhimbili jijini Dar es salaam alikokuwa akipatiwa matibabu.
Ben Kiko ambaye jina lake kamili ni Ben Hamisi Kikoromo alihamishiwa katika hosptali ya Muhimbili kutokea hosptali ya Jeshi ya Milambo ya mkoani...

 

5 years ago

CCM Blog

MPIGA KINANDA NGULI WA TOT JUMA JERRY AFARIKI DUNIA

Dar es Salaam
Aliyekuwa mpiga kinanda nguli wa Kikundi cha CCM cha Tanzania One Theatre (TOT) au TOT Plus Juma Jerry au Mzee wa Mbezi ( dunia (Pichani) amefariki 

Akithibitisha kifo hicho Mkurugenzi wa TOT Gasper Tumaini amesema Jerry amefariki dunia leo katika Hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam, alikokuwa akitibiwa.

Tumaini amesema Jerry alilazwa Lugalo tangu jana akipatiwa matibabu ya presha aliyokuwa akiugua kwa mda mrefu.

Jerry pia alikuwa Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Wanamuziki wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mchekeshaji nguli Robin Williams afariki

Salamu za rambi rambi zimeendelea kumiminika kufuatia kifo cha nguli wa uigizaji na vichekesho nchini Marekani Robin Williams

 

11 years ago

BBCSwahili

Muigizaji nguli Robin Williams aaga dunia

Polisi wanaamini kwamba Robin amejiua akiwa nyumbani kwake mjini Carlifonia.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mwanamuziki nguli na mshindi wa tuzo za Grammy, Natalie Cole amefariki dunia akiwa na miaka 65!!

IMG_0072.JPG]]]]]]]]=======================================

Mwanamuziki nguli na mshindi wa tuzo mbalimbali zikiwemo za Grammy , Mwanamama Natalie Cole (Pichani)  amefariki dunia usiku wa Desemba 31. Nchini Marekani huku taarifa za kifo chake zikitaarifiwa mapema leo Januari Mosi.

Na Andrew Chale, Modewjiblog

Gwiji huyo ambaye mpaka anapatwa na mahuti, ameweza kufikisha umri wa miaka 65  ni miongoni mwa wanamuziki wakongwe waliotoka katika familia ya wanamuziki mahiri.  Natalie Cole  enzi za uhai wake ameweza kutoa albma kadhaa na ameweza kufanya...

 

10 years ago

Michuzi

MWANDISHI WA HABARI MWANDAMIZI WA SHIRIKA LA UTANGAZAJI NCHINI TBC FLORENCY DYAULI AMEFARIKI DUNIA LEO

MWANDISHI wa habari mwandamizi wa Shirika la Utangazaji nchini TBC FLORENCY DYAULI (Pichani enzi za uhai wake)amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua.
FRORENCE DYAULI amefariki dunia majira ya saa kumi alfajiri akiwa amelazwa katika hospitali ya RABININSIA MEMORIAL jijini  Dar es Salaam, ambako alikuwa akipata matibabu.
Dyauli alizaliwa  tarehe   27 mwezi wa saba mwaka 1961 na amefariki dunia tarehe   18/06/2015.Marehemu DYAULI alisoma shule ya msingi   CHANG’OMBE mwaka 1968 hadi...

 

11 years ago

Mwananchi

Mtume aliyetabiri mwisho wa dunia afariki dunia

>Mtume wa Kanisa la World Message Last Warning ambaye alitabiri kwamba mwaka 2000 utakuwa mwisho wa dunia, Wilson Bushara (53) amefariki dunia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani