Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BURIANI ROBIN WILLIAMS


Mcheza sinema na mchekeshaji maarufu duniani aliyepata kushinda tuzo ya Oscar Robin Williams amefariki dunia katika kifo kinachoshukiwa ni cha kujiua mwwenyewe. Alikuwa na umri wa miaka 63.

 

Kwa mujibu wa polisi wa Marin huko Calofornia, Marehemu Williams alikutwa hana fahamu huku akiwa hapumui majira ya saa sita za mchana Jumatatu nyumbani kwake Tiburon, kufuatia simu ya dharura iliyopigwa polisi hapo. Alitangazwa amefariki dunia saa sita na dakika mbili baada ya wahudumu wa huduma za...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MUIGIZAJI ROBIN WILLIAMS WA MAREKANI AJIUA

Muigizaji na mchekeshaji maaarufu wa Marekani, Robin Williams enzi za uhai wake. Robin Williams akiwa na mke wake wa tatu, Susan Schneider.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Mchekeshaji nguli Robin Williams afariki

Salamu za rambi rambi zimeendelea kumiminika kufuatia kifo cha nguli wa uigizaji na vichekesho nchini Marekani Robin Williams

 

11 years ago

Dewji Blog

Officials reveal details about Robin Williams’s death

Untitled

Robin Williams hanged himself with a belt after his wife had gone to sleep Sunday night.

Those are among the graphic new details to emerge about the death of the 63-year-old entertainer at a press conference Tuesday. 

Speaking from prepared notes, Marin Sheriff’s Lt. Keith Boyd said that Williams’s wife, Susan Schneider, went to bed at 10:30 p.m. on Sunday. Williams later retired in a different bedroom of their home in Tiburon, California, a small town in the San Francisco Bay area.

In the...

 

11 years ago

BBCSwahili

Muigizaji nguli Robin Williams aaga dunia

Polisi wanaamini kwamba Robin amejiua akiwa nyumbani kwake mjini Carlifonia.

 

11 years ago

Bongo5

Muigizaji wa ‘Mrs Doubtfire’ Robin Williams wa Marekani akutwa amekufa nyumbani kwake

Muigizaji na mchekeshaji maaarufu wa Marekani Robin Williams amekutwa amekufa nyumbani kwake California, Marekani Jumatatu (Agosti 11) huku ripoti ya polisi ikionesha kuwa huenda amejiua (asphyxia). Imeelezwa kuwa kwa siku za hivi karibuni Williams ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 63 alikuwa akipambana na sonona (depression). “This morning, I lost my husband and my […]

 

10 years ago

Michuzi

BURIANI BURIANI PROFESA ALI MAZRUI

Oktoba  14,  mwaka jana  Uwakilishi wa Kudumu wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa  uliandaa hafla ya kwanza ya aina yake ya kumkumbuka na kumuenzi Baba wa Taifa  Mwalimu Julius   kambarage Nyerere.  Hafla hiyo ilihudhuriwa na  Wanadiplomasia wanaoziwakilisha nchi zao hapa  Umoja wa  Mataifa na wageni mbalimbali. Ni hafla iliyoambatana na uzinduzi wa kitabu kinachomhusu Baba wa Taifa. Kitabu hicho   kiliandikwa kwa ufundi mkubwa na Profesa Ali Mazrui   kwa kushirikiana...

 

5 years ago

Showbiz Cheat Sheet

Wendy Williams Heads to YouTube During Quarantine for 'The Wendy Williams Show'

Wendy Williams Heads to YouTube During Quarantine for 'The Wendy Williams Show'  Showbiz Cheat SheetWendy Williams Asks Dr. Oz About Whether It's Safe to Have Sex Amid Coronavirus Outbreak  PEOPLEView Full coverage on Google News

 

9 years ago

BBCSwahili

Robin Soderling astaafu tenesi

Aliyewahi kuwa mcheza Tenesi namba nne duniani Robin Soderling ameamua kustaafu rasmi mchezo huo baada ya kuugua homa ya tezi .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani