Robin Soderling astaafu tenesi
Aliyewahi kuwa mcheza Tenesi namba nne duniani Robin Soderling ameamua kustaafu rasmi mchezo huo baada ya kuugua homa ya tezi .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Fainali za tenesi zapigwa Tanzania
Michuano ya kimataifa ya tenesi kwa kanda ya Afrika kwa vijana wa chini ya miaka 16 yamefikia hatua ya fainali .
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
Martina , Sania mabingwa wa tenesi
Martina Hingis na Sania Mirza, wametwaa ubingwa wa michuano ya wazi ya Us Open
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Nyota wa tenesi watinga robo fainali
Nyota wa tenesi Roger federer, Rafael Nadal na Novack Djockovic wametinga hatua ya robo fainali ya michuano ya wazi .
9 years ago
Bongo502 Oct
Serena Williams atangaza kupumzika kucheza tenesi kwa mwaka mzima
Mcheza tenesi namba moja kwa ubora duniani kwa upande wa wanawake, Serena Williams atapumzika kucheza mchezo huo kwa mwaka mzima kutoka na kuwa na majeraha. Mshindi huyo wa Grand Slam 21 alitolewa kwenye michuano ya wazi ya Wuhan ,Williams mwenye miaka 34 amesema” nimecheza nikiwa na maumivu kwa muda wa mwaka mzima,” Nyota huyo wa […]
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6f6Gpm_FkWU/U-npbay_9BI/AAAAAAAF-4g/CXz_pgBs8oc/s72-c/ebbf0829a1e053c18dc6d202419216f0.jpg)
BURIANI ROBIN WILLIAMS
![](http://3.bp.blogspot.com/-6f6Gpm_FkWU/U-npbay_9BI/AAAAAAAF-4g/CXz_pgBs8oc/s1600/ebbf0829a1e053c18dc6d202419216f0.jpg)
Mcheza sinema na mchekeshaji maarufu duniani aliyepata kushinda tuzo ya Oscar Robin Williams amefariki dunia katika kifo kinachoshukiwa ni cha kujiua mwwenyewe. Alikuwa na umri wa miaka 63.
Kwa mujibu wa polisi wa Marin huko Calofornia, Marehemu Williams alikutwa hana fahamu huku akiwa hapumui majira ya saa sita za mchana Jumatatu nyumbani kwake Tiburon, kufuatia simu ya dharura iliyopigwa polisi hapo. Alitangazwa amefariki dunia saa sita na dakika mbili baada ya wahudumu wa huduma za...
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania