Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serena Williams atangaza kupumzika kucheza tenesi kwa mwaka mzima

Mcheza tenesi namba moja kwa ubora duniani kwa upande wa wanawake, Serena Williams atapumzika kucheza mchezo huo kwa mwaka mzima kutoka na kuwa na majeraha. Mshindi huyo wa Grand Slam 21 alitolewa kwenye michuano ya wazi ya Wuhan ,Williams mwenye miaka 34 amesema” nimecheza nikiwa na maumivu kwa muda wa mwaka mzima,” Nyota huyo wa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Serena Williams kupumzika kwa mwaka

Mcheza tenesi namba moja kwa ubora duniani kwa upande wa wanawake Serena Williams atapumzika kucheza mchezo huo kwa mwaka mmoja

 

9 years ago

MillardAyo

Serena Williams alivyotangazwa mwanamichezo bora wa mwaka 2015…

Serena Williams katangazwa kuwa mwanamichezo bora wa mwaka 2015, katika hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Pier 60 uliopo New York City, ulihudhuriwa pia na dada yake Venus Williams, mlezi wao ambaye ni kocha wao Oracene Price, Will Smith na wengine.                 Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka […]

The post Serena Williams alivyotangazwa mwanamichezo bora wa mwaka 2015… appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni French Open ya maumivu kwa Serena, Venus Williams

KIVUMBI cha michuano ya French Open, kimeendelea kutimka ambako kwa upande wa wanaume, Tomas Berdych jana alitinga hatua ya robo fainali. Tomas alitinga hatua hiyo kwa ushindi wa 6-4 6-4...

 

10 years ago

Bongo5

Rais wa shirikisho la tennis Urusi apigwa faini kwa kuwaita Serena & Venus ‘The Williams brothers’

Rais wa shirikisho la mchezo wa tennis nchini Urusi, Shamil Tarpischev amepigwa faini ya $25,000 kwa kuwaita Serena na Venus Williams “the Williams brothers” kwenye mahojiano ya TV. Tarpischev pia alipigwa marufuku ya mwaka mzima kutojihusisha na ziara ya wanawake hao. Mkurugenzi Mkuu wa chama cha tennis cha wanawake, Stacy Allaster alisema maneno hayo yanadhalilisha […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Serena Williams bingwa US Open

Serena Williams, ametwaa ubingwa wa US Open baada ya kumshinda Caroline Wozniacki

 

10 years ago

BBCSwahili

Serena Williams atinga nane bora.

Nyota wa mchezo wa tenesi Serena Williams ametinga katika hatua ya nane bora ya michuano ya BNP huko Indian Wells.

 

5 years ago

SB Nation

Serena Williams is struggling with coronavirus anxiety, too

Serena Williams is struggling with coronavirus anxiety, too  SB NationSerena Williams says social distancing has put her 'on edge'  CNN'I’m under a ton of stress,' wails Serena Williams as she suffers in luxury isolation… let's all feel sorry for her  RTSocial distancing causing me anxiety and stress, says Serena Williams  The GuardianSerena reveals social distancing is causing her anxiety  Sport24View Full coverage on Google News

 

10 years ago

BBCSwahili

Serena Williams afuzu nusu fainali

Nyota wa tenesi Serena Williams ametinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya Paribas kwa kumshinda Timea Bacsinszky.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani