Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serena Williams is struggling with coronavirus anxiety, too

Serena Williams is struggling with coronavirus anxiety, too  SB NationSerena Williams says social distancing has put her 'on edge'  CNN'I’m under a ton of stress,' wails Serena Williams as she suffers in luxury isolation… let's all feel sorry for her  RTSocial distancing causing me anxiety and stress, says Serena Williams  The GuardianSerena reveals social distancing is causing her anxiety  Sport24View Full coverage on Google News

SB Nation

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Serena Williams bingwa US Open

Serena Williams, ametwaa ubingwa wa US Open baada ya kumshinda Caroline Wozniacki

 

10 years ago

BBCSwahili

Serena Williams atinga nane bora.

Nyota wa mchezo wa tenesi Serena Williams ametinga katika hatua ya nane bora ya michuano ya BNP huko Indian Wells.

 

10 years ago

BBCSwahili

Serena Williams afuzu nusu fainali

Nyota wa tenesi Serena Williams ametinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya Paribas kwa kumshinda Timea Bacsinszky.

 

9 years ago

BBCSwahili

Serena Williams kupumzika kwa mwaka

Mcheza tenesi namba moja kwa ubora duniani kwa upande wa wanawake Serena Williams atapumzika kucheza mchezo huo kwa mwaka mmoja

 

5 years ago

Bongo5

Serena Williams alitwaa ubingwa akiwa na ujauzito

Mchezaji nguli wa tennis namba moja kwa sasa duniani, Serena Williams amejitangaza kuwa ni mjamzito kupitia Snapchat.
A

Habari hizi zinaonyesha kwamba, Serena alikua Mjamzito wa wiki nane, pale alipotwaa ubingwa wa Tennis katika Mashindano ya Australian Open, jijini Melbourne mnamo January mwaka huu.

Mwanadada huyo mwenye miaka 35 aliweka picha yake akiwa amejipiga picha kwenye kioo na kuandika 20 weeks yaani, majuma 20 kisha akaifuta hiyo post.

Iwapo itathibitika kwa hakika kuwa ni...

 

9 years ago

Bongo5

Drake akanusha uvumi kuwa amemchumbia Serena Williams

Kuliibuka uvumi kuwa rapper Drake amemchumbia mcheza tennis mahiri Serena Williams ambaye inaaminika kuwa wanauhusiano licha ya kuwa wao binafsi hawajathibitisha. Baada ya taarifa hiyo kusambaa mtandaoni jana, mwakilishi wa Drake aliiambia TMZ kuwa taarifa hizo hazina ukweli wowote. Jarida la OK liliandika story Alhamisi hii kuwa Drake alimchumbia Serena walipoenda Canada nyumbani kwao Drake, […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni French Open ya maumivu kwa Serena, Venus Williams

KIVUMBI cha michuano ya French Open, kimeendelea kutimka ambako kwa upande wa wanaume, Tomas Berdych jana alitinga hatua ya robo fainali. Tomas alitinga hatua hiyo kwa ushindi wa 6-4 6-4...

 

9 years ago

MillardAyo

Serena Williams alivyotangazwa mwanamichezo bora wa mwaka 2015…

Serena Williams katangazwa kuwa mwanamichezo bora wa mwaka 2015, katika hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Pier 60 uliopo New York City, ulihudhuriwa pia na dada yake Venus Williams, mlezi wao ambaye ni kocha wao Oracene Price, Will Smith na wengine.                 Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka […]

The post Serena Williams alivyotangazwa mwanamichezo bora wa mwaka 2015… appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani