Ni French Open ya maumivu kwa Serena, Venus Williams
KIVUMBI cha michuano ya French Open, kimeendelea kutimka ambako kwa upande wa wanaume, Tomas Berdych jana alitinga hatua ya robo fainali. Tomas alitinga hatua hiyo kwa ushindi wa 6-4 6-4...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo518 Oct
Rais wa shirikisho la tennis Urusi apigwa faini kwa kuwaita Serena & Venus ‘The Williams brothers’
Rais wa shirikisho la mchezo wa tennis nchini Urusi, Shamil Tarpischev amepigwa faini ya $25,000 kwa kuwaita Serena na Venus Williams “the Williams brothers” kwenye mahojiano ya TV. Tarpischev pia alipigwa marufuku ya mwaka mzima kutojihusisha na ziara ya wanawake hao. Mkurugenzi Mkuu wa chama cha tennis cha wanawake, Stacy Allaster alisema maneno hayo yanadhalilisha […]
9 years ago
TheCitizen08 Sep
Serena to meet Venus at US Open
Serena, who holds all four major tennis titles, is trying to complete the first calendar Grand Slam since Steffi Graf in 1988
10 years ago
BBCSwahili08 Sep
Serena Williams bingwa US Open
Serena Williams, ametwaa ubingwa wa US Open baada ya kumshinda Caroline Wozniacki
10 years ago
BBCSwahili05 Jun
Serena atinga fainali French Open 2015
Mmarekani Serena Williams amefuzu kucheza fainali za French Open 2015 mjini Paris, Ufaransa
9 years ago
BBCSwahili02 Oct
Serena Williams kupumzika kwa mwaka
Mcheza tenesi namba moja kwa ubora duniani kwa upande wa wanawake Serena Williams atapumzika kucheza mchezo huo kwa mwaka mmoja
9 years ago
BBCSwahili02 Oct
Venus Williams amshinda Konta
Muingereza Johanna Konta amefungwa na nyota namba moja wa zamani wa mchezo wa tenesi Mmarekani Venus Williams
9 years ago
Bongo502 Oct
Serena Williams atangaza kupumzika kucheza tenesi kwa mwaka mzima
Mcheza tenesi namba moja kwa ubora duniani kwa upande wa wanawake, Serena Williams atapumzika kucheza mchezo huo kwa mwaka mzima kutoka na kuwa na majeraha. Mshindi huyo wa Grand Slam 21 alitolewa kwenye michuano ya wazi ya Wuhan ,Williams mwenye miaka 34 amesema” nimecheza nikiwa na maumivu kwa muda wa mwaka mzima,” Nyota huyo wa […]
10 years ago
BBCSwahili06 Jul
Serena na Venus kuchuana-Wimbledon.
Serena Williams na nduguye Venus wanatarajiwa kuvaana leo katika mchezo wa mzunguko wa nne wa mashindano ya Wimbledon.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania