Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serena na Venus kuchuana-Wimbledon.

Serena Williams na nduguye Venus wanatarajiwa kuvaana leo katika mchezo wa mzunguko wa nne wa mashindano ya Wimbledon.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Tenis:Serena ni bingwa wa Wimbledon


Serena Williams 6-4,6-4 Garbine Muguruza

Serena Williams ndiye mshindi wa tuzo la Wimbledon la wanawake mwaka huu.

null
Serena Williams ndiye mshindi wa tuzo la Wimbledon la wanawake mwaka huu.

Serena alitawazwa kuwa bingwa mwaka huu baada ya kumlaza mpinzani wake Garbine Muguruza seti mbili kwa nunge katika fainali ya mchuano huo huko Uingereza.

null
Williams mwenye umri wa miaka 33 ameandikisha rekodi ya kuwa mshindi wa matuzo hayo mwenye umri mkubwa zaidi.

Raia huyo wa Marekani aliandikisha rekodi ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wimbledon:Serena na Sharapova nusu fainali

Serena Williams ameratibiwa kuchuana na Mrusii Maria Sharapova katika nusu fainali ya mashindano ya Wimbledon hapo kesho.

 

9 years ago

TheCitizen

Serena to meet Venus at US Open

Serena, who holds all four major tennis titles, is trying to complete the first calendar Grand Slam since Steffi Graf in 1988

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni French Open ya maumivu kwa Serena, Venus Williams

KIVUMBI cha michuano ya French Open, kimeendelea kutimka ambako kwa upande wa wanaume, Tomas Berdych jana alitinga hatua ya robo fainali. Tomas alitinga hatua hiyo kwa ushindi wa 6-4 6-4...

 

10 years ago

Bongo5

Rais wa shirikisho la tennis Urusi apigwa faini kwa kuwaita Serena & Venus ‘The Williams brothers’

Rais wa shirikisho la mchezo wa tennis nchini Urusi, Shamil Tarpischev amepigwa faini ya $25,000 kwa kuwaita Serena na Venus Williams “the Williams brothers” kwenye mahojiano ya TV. Tarpischev pia alipigwa marufuku ya mwaka mzima kutojihusisha na ziara ya wanawake hao. Mkurugenzi Mkuu wa chama cha tennis cha wanawake, Stacy Allaster alisema maneno hayo yanadhalilisha […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Djokovic amzima Federer Wimbledon

Novack Djokovic alimbwaga Roger Federer na kutwaa ubingwa wa Wimbledon.

 

10 years ago

BBCSwahili

Murray kucheza raundi ya pili Wimbledon

Andy Murray na Waingereza wenzake watatu wamefuzu kucheza raundi ya pili ya michuano ya tenis ya Wimbledon

 

10 years ago

BBCSwahili

Murray atinga nusu fainali Wimbledon

Muingereza Andy Murray ameingia nusu fainali yake ya sita kwenye michuano ya Wimbledon katika kipindi cha miaka saba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani