Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Murray kucheza raundi ya pili Wimbledon

Andy Murray na Waingereza wenzake watatu wamefuzu kucheza raundi ya pili ya michuano ya tenis ya Wimbledon

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Murray atinga nusu fainali Wimbledon

Muingereza Andy Murray ameingia nusu fainali yake ya sita kwenye michuano ya Wimbledon katika kipindi cha miaka saba.

 

11 years ago

GPL

ANDY MURRAY ATINGA RAUNDI YA 3 FRENCH OPEN

Andy Murray ametinga raundi ya tatu kwa kumtoa Marinko Matosevic. Andy Murray akikwaana na Marinko Matosevic. Mashabiki wakishuhudia mpambano…

 

11 years ago

BBCSwahili

Nigeria yafuzu raundi ya pili

Super Eagles ya Nigeria ndiyo timu ya kwanza Afrika katika raundi ya pili

 

11 years ago

BBCSwahili

Messi aifikisha Argentina raundi ya pili

Bao la dakika ya mwisho la Lionel Messi dhidi ya Iran lilitosha kuifikisha Argentina mkondo wa pili

 

11 years ago

BBCSwahili

Brazil kuchuana na Chile raundi ya pili

Brazil iliifunga cameroon 4-1 na kuiongoza kundi A ambapo sasa itachuana na Chile.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raundi ya pili taifa Cup wanawake Jumamosi

Mechi za kwanza za raundi ya pili ya mashindano ya Taifa ya mpira wa miguu kwa wanawake-Tanzania zina chezwa wikiendi hii

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunahimiza maandalizi raundi ya pili Ligi Kuu

RAUNDI ya pili ya Ligi Kuu Tanzania Bara itaanza Januari 22 kwa timu 14 kuendelea na kampeni ya kuwania ubingwa wa ligi hiyo unaoshikiliwa na Yanga, waliomaliza ngwe ya kwanza...

 

10 years ago

Michuzi

DRFA yataja makundi ya timu zitakazoshiriki kucheza hatua ya 18 bora (hatua ya pili) ya ligi ya mkoa wa Dar es salaam

Chama cha soka mkoa wa Dar es salaam DRFA, kimetaja makundi ya timu zitakazoshiriki kucheza hatua ya 18 bora (hatua ya pili) ya ligi ya mkoa wa Dar es salaam,inayotarajia kuanza kutimua vumbi mapema mwezi huu.Katika kundi (A) limepangwa kuwa na timu za Simba U20,Red Coast,Sifa UTD,Shababi,Ukonga UTD,Zakhem,Ugimbi,Beirahotspurs na Pan Africa.Katika kundi (B) litakuwa na timu za Yanga U20,Stakishari,FFU,New Kunduchi,Sinza Stars,Changanyikeni,Tuamoyo,Sifapilitan na Azania Unga.
Ligi hiyo ya mkoa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mfaransa Sean Garnier aja Tanzania kuonyesha umahiri wa kucheza mpira wa mtaani huku akibinuka sarakasi na kucheza dansi

Meneja Masoko wa Kampuni ya Mohan’s John Ntuli (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo. Pembeni ni Mkurugenzi wa Masoko Kampuni ya Mohan’s Vijay Joshi.

Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo akifafanua machache mbele ya waandishi wa habari mara baada ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani