Raundi ya pili taifa Cup wanawake Jumamosi
Mechi za kwanza za raundi ya pili ya mashindano ya Taifa ya mpira wa miguu kwa wanawake-Tanzania zina chezwa wikiendi hii
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
Taifa Cup kwa wabawake kupigwa Jumamosi
Michuano ya Taifa Cup kwa Wanawake kupigwa Jumamosi nchini Tanzania
11 years ago
BBCSwahili26 Jun
Nigeria yafuzu raundi ya pili
Super Eagles ya Nigeria ndiyo timu ya kwanza Afrika katika raundi ya pili
10 years ago
Michuzi15 Dec
SOKA WANAWAKE PWANI WAINGIA KAMBINI TAIFA CUP
Na John Gagarini, KibahaTIMU ya soka ya wanawake ya mkoa wa Pwani imeingia kambini kwenye shule ya sekondari ya Baden Powell iliyopo wilayani Bagamoyo kujiandaa na mchezo wake na timu ya mkoa wa Morogoro utakaochezwa Desemba 28 mwaka huu.Mchezo huo ambao utapigwa kwenye uwanja wa Mabatini Mlandizi wilayani Kibaha wa kuwania kombe la Taifa kwa wanawake.Akizungumza leo mjini Kibaha, katibu wa chama cha soka la Wanawake (TWFA) mkoa wa Pwani Florence Ambonisye alisema kuwa maandalizi ya mchezo...
10 years ago
BBCSwahili01 Jul
Murray kucheza raundi ya pili Wimbledon
Andy Murray na Waingereza wenzake watatu wamefuzu kucheza raundi ya pili ya michuano ya tenis ya Wimbledon
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Brazil kuchuana na Chile raundi ya pili
Brazil iliifunga cameroon 4-1 na kuiongoza kundi A ambapo sasa itachuana na Chile.
11 years ago
BBCSwahili22 Jun
Messi aifikisha Argentina raundi ya pili
Bao la dakika ya mwisho la Lionel Messi dhidi ya Iran lilitosha kuifikisha Argentina mkondo wa pili
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Tunahimiza maandalizi raundi ya pili Ligi Kuu
RAUNDI ya pili ya Ligi Kuu Tanzania Bara itaanza Januari 22 kwa timu 14 kuendelea na kampeni ya kuwania ubingwa wa ligi hiyo unaoshikiliwa na Yanga, waliomaliza ngwe ya kwanza...
10 years ago
Michuzi22 Jan
KAGERA WATUPWA NJE YA MASHINDANO YA WANAWAKE TAIFA CUP KWA MATUTA 4-3 NA TIMU YA MWANZA
Na Faustine Ruta, MwanzaTimu ya Wanawake kutoka Mkoa wa Kagera imetupwa nje ya Mashindano kwa Matuta baada ya kumaliza mtanange wao kwa sare ya Nyumbani ya Ushindi wa 2-1 na Ugenini,CCM Kirumba Mwanza na Matuta kupigwa na Timu ya Mwanza kuibuka na Ushindi wa bao 4-3.
Mchezo huo uliochezwa katika Uwanja wa CCM Kirumba Timu ya Mwanza ndio walianza kupata bao mapema dakika ya 2 kupitia kwa mchezaji wao matata Meriam Kimbuya (10) kwa kukatiza katikati ya mabeki na kufunga bao hilo la kwanza....
11 years ago
MichuziNSSF MEDIA CUP 2014 KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI MACHI 29
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania