Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunahimiza maandalizi raundi ya pili Ligi Kuu

RAUNDI ya pili ya Ligi Kuu Tanzania Bara itaanza Januari 22 kwa timu 14 kuendelea na kampeni ya kuwania ubingwa wa ligi hiyo unaoshikiliwa na Yanga, waliomaliza ngwe ya kwanza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

RAUNDI YA 11 LIGI KUU YA VODACOM KUCHEZWA DISEMBA 12

Mechi za raundi ya 11 za Ligi Kuu ya Vodacom zilizokuwa zichezwe Novemba 7 na 8 mwaka huu sasa zitafanyika Desemba 12 na 13 kupisha maandalizi ya Taifa Stars ya mechi za mchujo za Kombe la Dunia.Taifa Stars inatarajia kuingia kambini mapema mwezi ujao kujiandaa na mechi ya kwanza dhidi ya Algeria ambayo itafanyika Novemba 14 mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zitarudiana nchini Algeria, Novemba 17 mwaka huu.Mechi hizo za Vodacom zitakazochezwa Desemba 12 ni kati ya...

 

5 years ago

CCM Blog

YANGA YAWACHAPA NDANDA 3-2 NA KUREJEA NAFASI YA PILI LIGI KUU


Na Mwandshi Wetu, DAR ES SALAAM
VIGOGO Yanga SC wametokea nyuma na kushinda 3-2 dhidi ya Ndanda SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Ushindi huo unairejesha Yanga SC nafasi ya pili, ikifikisha pointi 60 katika mchezo wa 32, sasa inazidiwa pointi 18 na mabingwa watetezi, SImba SC ambao wana mechi moja mkononi.  
Katika mchezo wa leo uliochezeshwa na refa Raphael Ikambi wa Morogoro aliyesaidiwa na Sunday Komba wa Kilimanjaro na Credo Mbuya wa Mbeya,...

 

10 years ago

Michuzi

Godfrey Wambura mchezaji bora wa Ligi kuu ya Vodacom kwa mwezi wa pili

Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Ligi ya Vodacom ,Fatuma Abdallah akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni moja mchezaji wa Coastal Union,Godfrey Wambura baada ya kuibuka mchezaji bora wa mwezi wa pili mwaka huu,kulia ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF,Khalid Abdallah na kushoto Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Coastal Union,Salim Bawaziri jana,Picha kwa hisani ya Coastal Union.

 

11 years ago

BBCSwahili

Nigeria yafuzu raundi ya pili

Super Eagles ya Nigeria ndiyo timu ya kwanza Afrika katika raundi ya pili

 

11 years ago

BBCSwahili

Brazil kuchuana na Chile raundi ya pili

Brazil iliifunga cameroon 4-1 na kuiongoza kundi A ambapo sasa itachuana na Chile.

 

11 years ago

BBCSwahili

Messi aifikisha Argentina raundi ya pili

Bao la dakika ya mwisho la Lionel Messi dhidi ya Iran lilitosha kuifikisha Argentina mkondo wa pili

 

10 years ago

BBCSwahili

Murray kucheza raundi ya pili Wimbledon

Andy Murray na Waingereza wenzake watatu wamefuzu kucheza raundi ya pili ya michuano ya tenis ya Wimbledon

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani