RAUNDI YA 11 LIGI KUU YA VODACOM KUCHEZWA DISEMBA 12
![](http://2.bp.blogspot.com/-LZXZV4uwRSs/VicG5DuwwNI/AAAAAAAIBbY/GqtnuWD1i6A/s72-c/vodacom.png)
Mechi za raundi ya 11 za Ligi Kuu ya Vodacom zilizokuwa zichezwe Novemba 7 na 8 mwaka huu sasa zitafanyika Desemba 12 na 13 kupisha maandalizi ya Taifa Stars ya mechi za mchujo za Kombe la Dunia.Taifa Stars inatarajia kuingia kambini mapema mwezi ujao kujiandaa na mechi ya kwanza dhidi ya Algeria ambayo itafanyika Novemba 14 mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zitarudiana nchini Algeria, Novemba 17 mwaka huu.Mechi hizo za Vodacom zitakazochezwa Desemba 12 ni kati ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Ratiba ya michezo ya leo Jumamosi, Disemba 19 katika ligi kuu ya Tanzania na ligi kubwa barani Ulaya
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea mwishoni kwa juma hili na mtandao wako bora wa habari , Modewjiblog.com imekuandalia ratiba ya michezo ya Ligi Kuu ya Tanzania “Vodacom Premier League” na ratiba ya michezo katika ligi kubwa barani Ulaya.
TANZANIA – VODACOM PREMIER LEAGUE
Kagera Sugar – African Sports 16:00 EAT
Maji Maji – Azam 16:00 EAT
Mwadui – Ndanda 16:00 EAT
Prisons – Mtibwa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s72-c/001.Ferrao.jpg)
WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s640/001.Ferrao.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3rPnvKAR8Ko/VfJghZutsEI/AAAAAAAH39A/NbQnv8YM4SA/s640/002.Ferrao.jpg)
Ferrao. NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Tunahimiza maandalizi raundi ya pili Ligi Kuu
RAUNDI ya pili ya Ligi Kuu Tanzania Bara itaanza Januari 22 kwa timu 14 kuendelea na kampeni ya kuwania ubingwa wa ligi hiyo unaoshikiliwa na Yanga, waliomaliza ngwe ya kwanza...
10 years ago
Mwananchi20 Sep
Ligi Kuu Bara sasa kuchezwa usiku
5 years ago
CCM BlogSERIKALI YARUHUSU LIGI KUU NNE ZA SOKA KUCHEZWA DAR NA MWANZA KUANZIA MWEZI UJAO
Serikali imeruhusu ligi kuu nne kuanza kuchezwa nchini kuanzia Juni 1, 2020 kwa tahadhari zote ili kumpata bingwa wa ligi hizo na timu mwakilishi katika Kombe la Shirikisho Barani Afrika.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Harrison Mwakyembe katika mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dodoma kuhusu uamuzi wa Serikali wa kuanza kwa ligi hizo baada ya kusitishwa kwa muda kufuatia ugonjwa mlipuko...
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Ligi Kuu Vodacom yahamia kiganjani
WAKATI Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) ikiwa imefikia patamu katika duru la pili, ikishuhudiwa nyasi za viwanja mbalimbali nchini zikiendelea kuumia huku kiu ya wapenzi wengi wa soka wakitaka kujua...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-gvVd9B6AxpA/Va4yYvY6j8I/AAAAAAABDRo/G_eGLyLfmKs/s72-c/TFF%2BLOGO.jpg)
LIGI KUU YA VODACOM KUANZA SEPTEMBA 12
![](http://2.bp.blogspot.com/-gvVd9B6AxpA/Va4yYvY6j8I/AAAAAAABDRo/G_eGLyLfmKs/s320/TFF%2BLOGO.jpg)
Mechi ya Ngao ya Jamii (Community Shield) itakayozikutanisha Azam FC dhidi ya Yanga SC sasa itachezwa Agosti 22 badala ya Agosti 15.
Ratiba ya Ligi Kuu iliyokuwa imeandaliwa, sasa inafanyiwa marekebisho kwa ajili ya tarehe mpya ya kuanza, ambapo pamoja na mambo mengine mechi sasa zitachezwa wikiendi...
11 years ago
Michuzi03 Feb
MSIMAMO WA LIGI KUU YA VODACOM HADI SASA
Pos. Logo Club P W D L GF GA GD Pts 1
![Azam FC Azam FC](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/hMzEF03L78t0hkcr5lUCyqkBkwebyf0CKLFiGFqBnpyoJ2jn4PqRo9NBXUTg_0I24zczjH25Fmt04jvr6kvC_RNLx5PYdhiPFcIod1qUA1q35sc_ijxUErPZM3vJ-LPRC25LIIRhFZQp=s0-d-e1-ft#http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/Azam_FC_0.gif)
![Young Africans FC Young Africans FC](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/VUb-LgUmasDe6yZZScqPMlwYm50Lk2vPvkXHG4ed7TAQ0KosnD7B0ZPVTPdkXEsBcWNTF2F0bKIAn566imtax2b7VRX81228TWKLXsyoYEBdwrtuGFSSvG1yrVLSEJTaT4VE9I_pzTSfTnpkZFGmbIb9FQ=s0-d-e1-ft#http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/Young_Africans_FC_0.gif)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/N0gqq2rF3-KeI8JVzpDQvKSNZEmr6cLAMD1aVP_x2of5ogwEUj_AhCS2LULo8bJBlsiJNiGJN0R295cvpH5sr6vEwsqdjM3IKbHjVG6sMZNQ-MWwZSRJHAucauWjuE66rO5qi2WD4ixz26Xx=s0-d-e1-ft#http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/mbeya%20city.jpg)
![Simba SC Simba SC](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/S9haLbdE83Ei65a20TTiYk31mzm8oQzXvG3LRddMjARIxFcc0gQLxbjZusYIeDaVjbniVpUdzB0tCo1WpyY1g3aPZ_SBBV_42kk3h414eVHMlOgFVFA-vR5U93SLL9Q-imVKBAUQ0TsFoA=s0-d-e1-ft#http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/Simba_SC_0.gif)
![Kagera Sugar FC Kagera Sugar FC](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/0NBXfzP_0_KP42W09cbCci0GG6aWO1--ze3TEEQ19dj6NvlcK3IhFrBM9XDcnZsxucZ7DLMxs9npDCON9RWIxjBB_KC6_WW1UUn3Hmfr87mrqBQWn8XUd7WXYkKrCA2t-qjfEPapBFakdRL-ELw=s0-d-e1-ft#http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/Kagera_Sugar_0.gif)
![Mtibwa Sugar FC Mtibwa Sugar FC](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/QplKWKl1eRlaA_9hDsDuxj8cd2rovCZVJYblFRR-4bCbwIRVG14nUG0zvznU5VQtp0tfK98eNIDFvFt6YsMphlnl6P3AkQjrqsRPfqF8oiySMeGniOa4af7DJtvPQ-n3Rbs3Q4XNlIdHKS8crN4=s0-d-e1-ft#http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/Mtibwa_Sugar_0.gif)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/EtyEaE-fMSP3DqaIEluluw6lk5YByR92QJoAQsOYeTBLABCCyE1ou0u8DzxtnXyIWenKIaoAW8t6QB9xuE2IYlnAfYcUY4sWogWef8TfztpatCqvrm18o5Gp6l9kTiQ4r7JoIVLw3KcEUK4ReA=s0-d-e1-ft#http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/Picture%204_0.png)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/w31qrnZQFPKLglPF-lgjAsaUDA7e6ITHu7RJydiT8mlanGS2indcjm8k3uLsHy-6A6ZhdMnKTp-lBYxeIwzMpoK8_pss-_xBFSA-6ARAJRGNqMkJRXXv8W64su-zEUY05Hgm9qCZuP-xbg=s0-d-e1-ft#http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/shooting_0.jpg)
![JKT Ruvu Stars JKT Ruvu Stars](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/Uy1nqn2EZTbG7NspK_iAp6t6yaBPoQTMCqnFCK1sxY38Dc2j0f5RYb_CrE_ZrOufAgkcJZMg4iWfozorGjnXpIL1oC2DS55wlTjcxyMmR7Uog80id0Rc5zSSF_jNq990KUdn8JmuNuhFX_hhnR-Hvw=s0-d-e1-ft#http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/JKT_Ruvu_Stars_2.gif)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/ZkTsAQtfNvD9HUACiUaG0lde2JybSi217AFG2G1aRsBIyoLzmpVpuFOgbzLmpoWZdX3PXqgqxqKO-Hr1rICCpqycNBS-Ewv6ulSpnytUSX5rQSk_v_xDhZGhxQE6gIpJQaLbarY=s0-d-e1-ft#http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/JKT_0.jpg)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/nR1l1-itQuzv3qMuCTyOrD-Gqx-6jJWYkFoETM99ArYqeEHqrSVNYgVagWrhcF6n7pB5Q5646qUhndSlhsJ6CH7EeshkDqaG7uMhfGk_k5SakwDBH203FQgCOFhDPPfqtV8esjQf=s0-d-e1-ft#http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/oljoro.jpg)