Ligi Kuu Vodacom yahamia kiganjani
WAKATI Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) ikiwa imefikia patamu katika duru la pili, ikishuhudiwa nyasi za viwanja mbalimbali nchini zikiendelea kuumia huku kiu ya wapenzi wengi wa soka wakitaka kujua...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO


Ferrao. NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...
10 years ago
Vijimambo
LIGI KUU YA VODACOM KUANZA SEPTEMBA 12

Mechi ya Ngao ya Jamii (Community Shield) itakayozikutanisha Azam FC dhidi ya Yanga SC sasa itachezwa Agosti 22 badala ya Agosti 15.
Ratiba ya Ligi Kuu iliyokuwa imeandaliwa, sasa inafanyiwa marekebisho kwa ajili ya tarehe mpya ya kuanza, ambapo pamoja na mambo mengine mechi sasa zitachezwa wikiendi...
11 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Vodacom yamwaga vifaa Ligi Kuu BaraÂ
WADHAMINI wa Ligi Kuu Tanzania bara, Kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania, jana iligawa vifaa kwa timu 14 zinazoshiriki ligi hiyo itakayoanza Septemba 20, vyoye vikiwa...
10 years ago
Michuzi
RAUNDI YA 11 LIGI KUU YA VODACOM KUCHEZWA DISEMBA 12

10 years ago
Michuzi
LIGI KUU YA VODACOM KUENDELEA WIKIENDI HII

Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania inatarajiwa kuendelea wikiendi hii katika viwanja sita tofauti nchini, viwanja vinne vikitimua vumbi kesho jumamosi, na michezo miwili kuchezwa siku ya jumapili.
Jumamosi JKT Ruvu watakua wenyeji wa Coastal Union katika Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi jijini Dar es salaam, huku wakata miwa wa Kagera Sugar wakiwakaribisha maafande wa Ruvu Shooting katika uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga.
Timu ya Mtibwa Sugar watawakaribisha Azam FC kwenye uwanja wa...
11 years ago
Michuzi03 Feb
MSIMAMO WA LIGI KUU YA VODACOM HADI SASA
Pos. Logo Club P W D L GF GA GD Pts 1











10 years ago
Michuzi20 Oct
LIGI KUU YA VODACOM KUENDELEA WIKI HII

10 years ago
GPL
YANGA BINGWA LIGI KUU YA VODACOM 2014/2015
Mshambuliaji wa Yanga Amissi Tambwe akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza dhidi ya Polisi Moro kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar. Wachezaji wa timu ya Yanga. YANGA SC imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa kuifunga Polisi Morogoro mabao 4-1 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar,…
11 years ago
Michuzi
VODACOM YAMWAGA VIFAA VYA TIMU 14 ZA LIGI KUU


Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania