YANGA BINGWA LIGI KUU YA VODACOM 2014/2015
![](http://api.ning.com:80/files/80HUFF25OCBiw01cxl4fxxyTszWS3Ccl1I*wv2RRfDSGfiP6MzGbY0StOMdJ598wYx9FALQEo-qzKtwJcowpifAbs7Dt26iH/CDmnCsJWoAAr8g7.png)
Mshambuliaji wa Yanga Amissi Tambwe akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza dhidi ya Polisi Moro kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar. Wachezaji wa timu ya Yanga. YANGA SC imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa kuifunga Polisi Morogoro mabao 4-1 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar,…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5I9yGbovrqk/VUpR4EabmPI/AAAAAAAHVxc/auhSTzsRkbg/s72-c/MMGL0780.jpg)
YANGA MABINGWA WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA 2014 - 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-5I9yGbovrqk/VUpR4EabmPI/AAAAAAAHVxc/auhSTzsRkbg/s1600/MMGL0780.jpg)
Mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2014- 2015, Yanga wakishangilia ubingwa wao huo mara baada ya kumalizika kwa mtanange wao dhidi ya Azam FC, uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam leo.Mtanange huo ulimalizika kwa Azam kushinda Bao 2-1.
![](http://2.bp.blogspot.com/-iY0FeOWICQU/VUpReAtC49I/AAAAAAAHVwE/kH01q9iQUHo/s1600/IMG_9925.jpg)
Mgeni Rasmi katika Mchezo huo, Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo, Mh. Dkt. Fenella Mukangara akimkabidhi Nahodha wa Timu ya Yanga, Nadir Haroub cheti cha pongezi kutoka kwa Rais wa Shirikisho la Soka Duniani, Sepp Blatter...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s72-c/001.Ferrao.jpg)
WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s640/001.Ferrao.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3rPnvKAR8Ko/VfJghZutsEI/AAAAAAAH39A/NbQnv8YM4SA/s640/002.Ferrao.jpg)
Ferrao. NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Chue-Q3vdoA/U3ZgKu1ammI/AAAAAAAFiKA/9Z3JcCLh4qI/s72-c/unnamed+(3).jpg)
Vodacom kukabidhi zawadi kwa Bingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Mei 27
![](http://4.bp.blogspot.com/-Chue-Q3vdoA/U3ZgKu1ammI/AAAAAAAFiKA/9Z3JcCLh4qI/s1600/unnamed+(3).jpg)
Bingwa wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2013/2014 timu ya Azam FC itakabidhiwa kitita chake cha zawadi Sh 75 Milioni Mei 27...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWwkcbiaf7n95HdChjZ5-u7aZbPiIhzWY5*6DUIN1Eg-l3rKHU6MWaqqXKJbDu26rOr9azJyiYP0jjCx80291GBu/001.KITS.jpg?width=650)
VODACOM YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 14 ZA LIGI KUU KWA AJILI YA MSIMU WA 2014/2015
Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania Salum Mwalim,akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa kukabidhi vifaa kwa timu zinazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom. kushoto ni Meneja biashara wa TFF Peter Simon na kulia ni Afisa mtendaji mkuu wa bodi ya ligi Silas Mwakibinga.Timu 14 zimekabidhiwa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya Sh 430 Milioni. Kutoka kushoto:… ...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-5I9yGbovrqk/VUpR4EabmPI/AAAAAAAHVxc/auhSTzsRkbg/s72-c/MMGL0780.jpg)
YANGA YABAMIZWA BAO 2 - 1 KUTOKA KWA AZAM NA KUWA MABINGWA WA LIGI KUU YA TANZANIA BARA 2014 - 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-5I9yGbovrqk/VUpR4EabmPI/AAAAAAAHVxc/auhSTzsRkbg/s1600/MMGL0780.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w8qZvZaS9us/VUpReV155nI/AAAAAAAHVwM/cByfPFyn_2g/s1600/IMG_9943.jpg)
Mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2014- 2015, Yanga wakishangilia ubingwa wao huo mara baada ya kumalizika kwa mtanange wao dhidi ya Azam FC, uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.Mtanange huo ulimalizika kwa Azam kushinda Bao 2-1. PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-iY0FeOWICQU/VUpReAtC49I/AAAAAAAHVwE/kH01q9iQUHo/s1600/IMG_9925.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
AZAM FC BINGWA LIGI KUU BARA 2013/2014
Ni baada ya kuilaza Mbeya City bao 2-1 katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya hivi punde na kufikisha jumla ya pointi 59 ambazo haziwezi kufikiwa na timu nyingine yoyote!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xkVCMRT4uG*RJ-mhGkbFsxks-sS56P0HHpkIgAXsWKuHKFWjrxuz5gFp7DXfLwVl2GscKL9S5lPBlOZl2Lt5nimNujNFU*Ni/msimamo.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ivE_fQyXAaw/U71Ae5nbW1I/AAAAAAAF0Cc/LwzIcSzhPD8/s72-c/images.jpg)
Michuano ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuanza septemba 20, 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-ivE_fQyXAaw/U71Ae5nbW1I/AAAAAAAF0Cc/LwzIcSzhPD8/s1600/images.jpg)
Awali michuano hiyo ilikuwa ianze Agosti 24 mwaka huu, lakini Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania limelazimika kuisogeza mbele kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kupitisha michuano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame).
Michuano ya Kombe la Kagame inayoshirikisha mabingwa wa nchi wanachama wa Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BLzMCpclZWM/Ux8h1dralpI/AAAAAAAFS34/0ku_qcfMszk/s72-c/New+Picture+(7).bmp)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania