Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YANGA HAIKAMATIKI KATIKA MSIMAMO WA LIGI KUU YA VODACOM

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MSIMAMO WA LIGI KUU YA VODACOM HADI SASA



Pos. Logo Club P W D L GF GA GD Pts 1            Azam FC   Azam FC 15 9 6 0 25 10 15 33 2 Young Africans FC Young Africans SC 15 9 5 1 33 12 21 32 3 Mbeya City  FC         15 8 7 0 21 11 10 31 4 Simba SC Simba SC 15 8 6 1 31 13 19 30 5 Kagera Sugar FC Kagera Sugar FC 14 5 5 4 15 12 3 20 6 Mtibwa Sugar FC Mtibwa Sugar FC 14 5 5 4 20 17 3 20 7 Coastal Union SC 15 3 9 3 10 7 3 18 8 Ruvu Shooting Stars 14 4 6 4 16 16 0 18 9 JKT Ruvu Stars JKT Ruvu Stars 14 6 0 8 13 18 -5 18 10 Rhino Rangers 15 2 5 8 9 19 -10 11 11 JKT Oljoro...

 

10 years ago

GPL

YANGA BINGWA LIGI KUU YA VODACOM 2014/2015

Mshambuliaji wa Yanga Amissi Tambwe akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza dhidi ya Polisi Moro kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar. Wachezaji wa timu ya Yanga. YANGA SC imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa kuifunga Polisi Morogoro mabao 4-1 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar,…

 

10 years ago

Michuzi

YANGA MABINGWA WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA 2014 - 2015


Mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2014- 2015, Yanga wakishangilia ubingwa wao huo mara baada ya kumalizika kwa mtanange wao dhidi ya Azam FC, uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam leo.Mtanange huo ulimalizika kwa Azam kushinda Bao 2-1.
Mgeni Rasmi katika Mchezo huo, Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo, Mh. Dkt. Fenella Mukangara akimkabidhi Nahodha wa Timu ya Yanga, Nadir Haroub cheti cha pongezi kutoka kwa Rais wa Shirikisho la Soka Duniani, Sepp Blatter...

 

10 years ago

Michuzi

YANGA YAJICHIMBIA KILELENI MWA LIGI KUU YA VODACOM YA SOKA TANZANIA BARA

Kikosi cha Mtibwa Sugar.Kikosi cha Yanga. Benchi la ufundi la Mtibwa Sugar. Kipa wa Mtibwa Sugar, Said Mohamed akiwapanga wachezaji wake.Mashabiki wa Yanga wakifuatilia mchezo huo. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

9 years ago

Michuzi

WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO


Ferrao.  NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...

 

11 years ago

TZToday

MSIMAMO WA LIGI KUU YA UINGEREZA

CHANZO: Barclayspremierleague.com

 

9 years ago

Dewji Blog

Msimamo wa LIGI kuu ya Ujerumani — Bundesliga

Ratiba ya michuano ya soka nchini Ujerumani maarufu kama Bundesliga bado inaendelea. Leo saa 9:30 kutakuwa na mnyukano mkali kati ya Darmstadt 98 inayoshikilia nafasi ya tisa na Mainz 05 inayoshikilia nafasi ya kumi na mbili. Bayern Munich bado wanaongoza msimamo wa ligi wakiwa na point 21.

laliga 1

Kwa hapa nchini unaweza kufuatilia michano hii ukiwa na king’amuzi cha Startimes pekee. Lakini kama wewe si mteja wao usitie shaka, kuna njia mbadala unayoweza kutumia kutazama LIVE michuano hii kupitia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani