Michuano ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuanza septemba 20, 2014

Michuano ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara msimu wa 2014/2015 itaanza kutimua vumbi Septemba 20 mwaka huu.
Awali michuano hiyo ilikuwa ianze Agosti 24 mwaka huu, lakini Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania limelazimika kuisogeza mbele kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kupitisha michuano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame).
Michuano ya Kombe la Kagame inayoshirikisha mabingwa wa nchi wanachama wa Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
LIGI KUU YA VODACOM KUANZA SEPTEMBA 12

Mechi ya Ngao ya Jamii (Community Shield) itakayozikutanisha Azam FC dhidi ya Yanga SC sasa itachezwa Agosti 22 badala ya Agosti 15.
Ratiba ya Ligi Kuu iliyokuwa imeandaliwa, sasa inafanyiwa marekebisho kwa ajili ya tarehe mpya ya kuanza, ambapo pamoja na mambo mengine mechi sasa zitachezwa wikiendi...
10 years ago
BBCSwahili20 Aug
Ligi kuu Tanzania kuanza Septemba
10 years ago
Michuzi
Hamisi Kiiza ndiye mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa mwezi Septemba.

10 years ago
GPL
VODACOM YAMWAGA VIFAA VYENYE THAMANI YA MIL 4.9 KWA TIMU ZA LIGI KUU (VPL) 2015/2016
10 years ago
Michuzi
VODACOM YAMWAGA VIFAA VYENYE THAMANI YA MILION 4.9 KWA TIMU ZA LIGI KUU(VPL)2015/2016


11 years ago
GPL
MECHI ZA LEO LIGI KUU YA TANZANIA BARA SEPTEMBA 27, 2014
10 years ago
GPL
YANGA BINGWA LIGI KUU YA VODACOM 2014/2015
11 years ago
Michuzi.bmp)
10 years ago
GPL