Ligi kuu Tanzania kuanza Septemba
Ligi kuu ya Tanzania itaanza kutimua vumbi hapo Septemba 12, katika viwanja tofauti na kufikia tamati Mei saba mwaka 2016.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-gvVd9B6AxpA/Va4yYvY6j8I/AAAAAAABDRo/G_eGLyLfmKs/s72-c/TFF%2BLOGO.jpg)
LIGI KUU YA VODACOM KUANZA SEPTEMBA 12
![](http://2.bp.blogspot.com/-gvVd9B6AxpA/Va4yYvY6j8I/AAAAAAABDRo/G_eGLyLfmKs/s320/TFF%2BLOGO.jpg)
Mechi ya Ngao ya Jamii (Community Shield) itakayozikutanisha Azam FC dhidi ya Yanga SC sasa itachezwa Agosti 22 badala ya Agosti 15.
Ratiba ya Ligi Kuu iliyokuwa imeandaliwa, sasa inafanyiwa marekebisho kwa ajili ya tarehe mpya ya kuanza, ambapo pamoja na mambo mengine mechi sasa zitachezwa wikiendi...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ivE_fQyXAaw/U71Ae5nbW1I/AAAAAAAF0Cc/LwzIcSzhPD8/s72-c/images.jpg)
Michuano ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuanza septemba 20, 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-ivE_fQyXAaw/U71Ae5nbW1I/AAAAAAAF0Cc/LwzIcSzhPD8/s1600/images.jpg)
Awali michuano hiyo ilikuwa ianze Agosti 24 mwaka huu, lakini Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania limelazimika kuisogeza mbele kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kupitisha michuano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame).
Michuano ya Kombe la Kagame inayoshirikisha mabingwa wa nchi wanachama wa Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jxmvA08zmRoKxgOngCEAROpzfCxi6mnq8EAMB56BefuT9Lc4WfXmK2wyqABh4Cy7YmWi1otzrloiXMJCOrIrfyhRUGwYvxCp/LIGIKUU.jpg)
MECHI ZA LEO LIGI KUU YA TANZANIA BARA SEPTEMBA 27, 2014
Simba v Polisi Moro - Taifa Mtibwa v Ndanda - Manungu Azam v Ruvu - Chamanzi Mbeya v Coastal - Sokoine Mgambo v Stand - Mkwakwani
10 years ago
BBCSwahili26 Dec
Ligi kuu Tanzania Bara kuanza leo
Ligi kuu ya Tanzania bara, Vodacom inaanza mzunguko wa pili leo baada ya kusimama tangu Novemba saba.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HHfNycl_Mvs/VicGKpWPCbI/AAAAAAAIBbQ/fZzeTeujkMY/s72-c/kiiza.png)
Hamisi Kiiza ndiye mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa mwezi Septemba.
![](http://4.bp.blogspot.com/-HHfNycl_Mvs/VicGKpWPCbI/AAAAAAAIBbQ/fZzeTeujkMY/s640/kiiza.png)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s72-c/001.Ferrao.jpg)
WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s640/001.Ferrao.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3rPnvKAR8Ko/VfJghZutsEI/AAAAAAAH39A/NbQnv8YM4SA/s640/002.Ferrao.jpg)
Ferrao. NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...
10 years ago
BBCSwahili31 Jul
Ligi kuu England kuanza kutimua vumbi
Mabingwa wa ligi kuu ya England, Chelsea wanatarajia kuivaa Arsenal katika mechi ya ufunguzi wa michuano hiyo inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi hivi karibuni.
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Azam kuanza kusaka makali ya Ligi Kuu Jumatatu
KIKOSI cha mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC, kinatarajiwa kuanza mazoezi kesho kuelekea msimu ujao ambapo itakuwa ikitetea taji hilo na kuiwakilisha nchi katika Ligi ya Mabingwa Afrika....
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-P7uz6yOIw_g/Vai8lViOQ2I/AAAAAAABSAg/Eq0NoShawPE/s72-c/MABADILIKO%2BYA%2BLIGI.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania