Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFF YABADILI RATIBA YA KUANZA KWA MECHI ZA LIGI KUU BARA


Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

RATIBA MECHI ZIJAZO LIGI KUU SOKA VODACOM TANZANIA BARA.



Jumatano Februari 12,2014. JKT Ruvu v/s Ruvu Shooting --------------------- Jumamosi Februari 15,2014. Rhino Rangers v/s Mgambo JKT Ashanti United v/s Kagera Sugar Mtibwa Sugar v/s Tanzania Prisons JKT Oljoro v/s JKT Ruvu Mbeya City v/s Simba Ruvu Shooting v/s Coastal Union
MSIMAMO WA LIGI HADI SASA NO TEAMS P W D L GF GA GD PTS 1 Azam FC 16 10 6 0 29 10 19 36 2 Yanga 16 10 5 1 34 12 22 35 3 Mbeya City 17 9 7 1 24 14 10 34 4 Simba SC 17 8 7 2 33 15 18 31 5 Coastal...

 

10 years ago

StarTV

TFF: Yatangaza ratiba ya ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2015/2016.

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limetangaza rasmi ratiba ya Ligi Kuu soka Tanzania Bara kwa msimu wa 2015/2016, ambao utakuwa na jumla ya timu 16 badala ya 14 za msimu uliopita.

Ligi Kuu ya Bara imepangwa kuanza Septemba 12 mwaka huu, na itamalizika Mei saba mwakani, lakini itasimama kwa mapumziko kati ya Novemba saba na Desemba 19 mwaka huu, kupisha michuano mbalimbali ya kimataifa.

 

TFF imetangaza ratiba ya ligi hiyo, na kusema imezingatia ratiba ya mashindano mbalimbali ya kitaifa na...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Panga pangua ya ratiba Ligi Kuu ni aibu kwa TFF

>Tangu Ligi Kuu ya Tanzania Bara ianze Septemba mwaka jana, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)  limekuwa likiipangua ratiba yake kwa sababu mbalimbali.

 

9 years ago

Mwananchi

Tuzipe thamani mechi za Ligi Kuu Bara

Mwishoni mwa wiki, Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kurejea baada ya mapumziko ya karibu mwezi mzima kupisha mechi za kimataifa ambazo Taifa Stars ilikuwa ikicheza.

 

10 years ago

Bongo5

Ratiba ya mechi za ligi kuu Uingereza wikiendi hii

Ligi kuu ya Uingereza inatarajiwa kuendelea wikiendi hii. Mechi kali inatarajiwa kuwa kati ya vinara wa ligi, Manchester United dhidi ya Arsenal katika dimba la Emirates siku ya Jumapili. Hii ndio ratiba kamili: Jumamosi 3 Oktoba 14:45 Crystal Palace v. West Brom 17:00 Aston Villa v. Stoke 17:00 Bournemouth v. Watford 17:00 Man City v. […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani