MAONI: Panga pangua ya ratiba Ligi Kuu ni aibu kwa TFF
>Tangu Ligi Kuu ya Tanzania Bara ianze Septemba mwaka jana, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)Â limekuwa likiipangua ratiba yake kwa sababu mbalimbali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-P7uz6yOIw_g/Vai8lViOQ2I/AAAAAAABSAg/Eq0NoShawPE/s72-c/MABADILIKO%2BYA%2BLIGI.jpg)
9 years ago
StarTV20 Aug
TFF: Yatangaza ratiba ya ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2015/2016.
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limetangaza rasmi ratiba ya Ligi Kuu soka Tanzania Bara kwa msimu wa 2015/2016, ambao utakuwa na jumla ya timu 16 badala ya 14 za msimu uliopita.
Ligi Kuu ya Bara imepangwa kuanza Septemba 12 mwaka huu, na itamalizika Mei saba mwakani, lakini itasimama kwa mapumziko kati ya Novemba saba na Desemba 19 mwaka huu, kupisha michuano mbalimbali ya kimataifa.
TFF imetangaza ratiba ya ligi hiyo, na kusema imezingatia ratiba ya mashindano mbalimbali ya kitaifa na...
10 years ago
Mwananchi23 Feb
MAONI: TFF iachane na Ligi Kuu, ijikite kuendeleza soka
9 years ago
Mtanzania14 Aug
Panga pangua ya wabunge CCM
Na Bakari Kimwanga, Dodoma
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimekamilisha uteuzi wa wagombea ubunge wa majimbo na viti maalumu, huku baadhi ya wagombea walioshinda kwenye kura za maoni wakiachwa na kuchukuliwa walioshika nafasi ya pili na ya tatu.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alisema kukamilika kwa kazi hiyo kunatoa fursa kwa wana CCM kujipanga na kuhakikisha wanarudisha umoja na mshikamano ili chama kiweze kushinda uchaguzi...
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Ratiba ya michezo ya leo Jumamosi, Disemba 19 katika ligi kuu ya Tanzania na ligi kubwa barani Ulaya
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea mwishoni kwa juma hili na mtandao wako bora wa habari , Modewjiblog.com imekuandalia ratiba ya michezo ya Ligi Kuu ya Tanzania “Vodacom Premier League” na ratiba ya michezo katika ligi kubwa barani Ulaya.
TANZANIA – VODACOM PREMIER LEAGUE
Kagera Sugar – African Sports 16:00 EAT
Maji Maji – Azam 16:00 EAT
Mwadui – Ndanda 16:00 EAT
Prisons – Mtibwa...
9 years ago
Bongo513 Oct
Video: Colonel Mustafa Ft Brown Mauzo — Panga Pangua
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Panga pangua Ma-Dc: shabani Kisu, Mwakalebela, Makonda waula
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NdgjiYqvIOE/VcumeW9RSrI/AAAAAAAHwQQ/t34Bzfu3T5g/s72-c/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
Vodacom na TFF zasaini mkataba wa udhamini wa ligi kuu kwa miaka mitatu
![](http://1.bp.blogspot.com/-NdgjiYqvIOE/VcumeW9RSrI/AAAAAAAHwQQ/t34Bzfu3T5g/s640/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ax8VovP-9xo/Vcumfyktc9I/AAAAAAAHwQY/VY4_565eQmw/s640/unnamed%2B%252858%2529.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXs4lHk84xTVNJSD2hFTEvA-ipSI2hkrvdXA4LliQLSTjXpNfvA*iHCxj5ixbEwStCGC6Ndt-B67vknxVKfkliWZ/jk.jpg?width=650)
PANGUA PANGUA YA JK; WAZIRI AONEKANA KWA SANGOMA