MAONI: TFF iachane na Ligi Kuu, ijikite kuendeleza soka
>Hivi karibuni Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) lilitangaza orodha ya viwango vya ubora kwa nchi wanachama wake duniani inayoonyesha Tanzania imeshuka kwa nafasi mbili kutoka 105 iliyoshika mwezi uliopita hadi nafasi ya 107.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Feb
MAONI: Panga pangua ya ratiba Ligi Kuu ni aibu kwa TFF
>Tangu Ligi Kuu ya Tanzania Bara ianze Septemba mwaka jana, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)Â limekuwa likiipangua ratiba yake kwa sababu mbalimbali.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qHkXSNTTQ9cQ9i*zqPfU7532OjzhsOWNQooz-jcMLQJkUGXPoB2yutP8iyz*mHn32mapKfeVpe0-Sf4xtEHX0IgK-EHur8xu/simba.jpg?width=650)
Simba SC wajigamba kuendeleza vipigo Ligi Kuu Bara
Mkuu wa Kitengo cha Habari cha Simba, Haji Manara. Na Said Ally Dar es Salaam
KIKOSI cha Simba baada ya juzi Jumatatu kuibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Kagera Sugar, kimejigamba kuwa kitaendeleza ubabe wake kwenye ligi hiyo hadi mwisho. Simba ambayo kwa sasa inashika nafasi ya tatu kwa kuwa na pointi 35, wikiendi hii inatarajiwa kupambana na Mgambo JKT kwenye Uwanja wa Taifa, Dar huku mchezo huo ukitarajiwa kuwa ni wa kisasi...
10 years ago
Mwananchi16 Jul
MAONI : TFF isiingize siasa za uchaguzi kwenye soka
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa litamualika Waziri wa Ujenzi, Dk John Pombe Magufuli kuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa michuano ya Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki inayoanza mwishoni mwa wiki.
11 years ago
Mwananchi03 Mar
MAONI: Ligi Kuu ya wanawake itaisaidia Twiga Stars
>Ndoto za Twiga Stars kujiweka katika sehemu nzuri ya kujihakikishia nafasi ya kufuzu kushiriki Fainali za Afrika kwa wanawake huko Namibia zilitoweka juzi jijini Dar es Salaam baada ya kukubali kulazimishwa sare ya bao 1-1 katika mechi ya marudiano ya raundi ya kwanza na Zambia ‘Shepolopolo’.
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Ligi Kuu imefikia pabaya, TFF kuweni macho
Ligi Kuu ya Tanzania Bara inaendelea katika viwanja mbalimbali nchini huku nafasi ya bingwa na mshindi wa pili vikionekana kunukia kwa klabu tatu, Yanga, Azam na Simba.
10 years ago
Tanzania Daima15 Sep
Mateso ya Yanga, Simba SC Ligi Kuu ndio uhai wa soka
KIVUMBI cha Ligi Kuu Tanzania Bara, kitaanza Septemba 20, kwa miamba 14 kuanza vita ya kuwania ubingwa wa ligi hiyo huku timu kongwe za Simba na Yanga zikiwa na kazi...
10 years ago
Michuzi26 Sep
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-P7uz6yOIw_g/Vai8lViOQ2I/AAAAAAABSAg/Eq0NoShawPE/s72-c/MABADILIKO%2BYA%2BLIGI.jpg)
9 years ago
Michuzi16 Sep
TFF YABAINISHA KATIBA NA KANUNI ZA LIGI KUU WAKATI WA UCHAGUZI MKUU
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/2LPWpF7QgcJZnLKyEA97Do6Com592Nw3k0spqAaSK2k5mjERWJemeBo9jesgce7N6CN8PDc=s0-d-e1-ft#http://tff.or.tz/images/agm.png)
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limebaini kuwepo kwa vitendo vyaa wanafamilia wa mpira wa miguu Tanzania kujihusisha na masuala ya Siasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mpira ambayo yana nembo za vilabu na wadhamini wa Ligi.Katiba ya TFF ibara ya I (4) inatamka “TFF is neutral in matters of politics and religion. Discrimination of any kind against a country, private person or group of people on account race, skin colour, ethnic, national or social...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania