Ligi Kuu imefikia pabaya, TFF kuweni macho
Ligi Kuu ya Tanzania Bara inaendelea katika viwanja mbalimbali nchini huku nafasi ya bingwa na mshindi wa pili vikionekana kunukia kwa klabu tatu, Yanga, Azam na Simba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Jan
TFF kuweni makini mzunguko wa pili wa ligi
9 years ago
Mwananchi14 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA: Stand, yetu macho, kusikia tumesikia mengi kwao
11 years ago
Habarileo25 Jul
‘Kuweni macho na taasisi za mikopo za kitapeli’
WANANCHI wametahadharishwa na utapeli unaofanywa na baadhi ya taasisi hewa hapa nchini zinazodai kutoa mikopo kwa wananchi kwa njia ya simu za mikononi.
10 years ago
Mwananchi23 Feb
MAONI: TFF iachane na Ligi Kuu, ijikite kuendeleza soka
9 years ago
Michuzi16 Sep
TFF YABAINISHA KATIBA NA KANUNI ZA LIGI KUU WAKATI WA UCHAGUZI MKUU
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/2LPWpF7QgcJZnLKyEA97Do6Com592Nw3k0spqAaSK2k5mjERWJemeBo9jesgce7N6CN8PDc=s0-d-e1-ft#http://tff.or.tz/images/agm.png)
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limebaini kuwepo kwa vitendo vyaa wanafamilia wa mpira wa miguu Tanzania kujihusisha na masuala ya Siasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mpira ambayo yana nembo za vilabu na wadhamini wa Ligi.Katiba ya TFF ibara ya I (4) inatamka “TFF is neutral in matters of politics and religion. Discrimination of any kind against a country, private person or group of people on account race, skin colour, ethnic, national or social...
10 years ago
Mwananchi16 Feb
MAONI: Panga pangua ya ratiba Ligi Kuu ni aibu kwa TFF
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-P7uz6yOIw_g/Vai8lViOQ2I/AAAAAAABSAg/Eq0NoShawPE/s72-c/MABADILIKO%2BYA%2BLIGI.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NdgjiYqvIOE/VcumeW9RSrI/AAAAAAAHwQQ/t34Bzfu3T5g/s72-c/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
Vodacom na TFF zasaini mkataba wa udhamini wa ligi kuu kwa miaka mitatu
![](http://1.bp.blogspot.com/-NdgjiYqvIOE/VcumeW9RSrI/AAAAAAAHwQQ/t34Bzfu3T5g/s640/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ax8VovP-9xo/Vcumfyktc9I/AAAAAAAHwQY/VY4_565eQmw/s640/unnamed%2B%252858%2529.jpg)
9 years ago
StarTV20 Aug
TFF: Yatangaza ratiba ya ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2015/2016.
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limetangaza rasmi ratiba ya Ligi Kuu soka Tanzania Bara kwa msimu wa 2015/2016, ambao utakuwa na jumla ya timu 16 badala ya 14 za msimu uliopita.
Ligi Kuu ya Bara imepangwa kuanza Septemba 12 mwaka huu, na itamalizika Mei saba mwakani, lakini itasimama kwa mapumziko kati ya Novemba saba na Desemba 19 mwaka huu, kupisha michuano mbalimbali ya kimataifa.
TFF imetangaza ratiba ya ligi hiyo, na kusema imezingatia ratiba ya mashindano mbalimbali ya kitaifa na...