Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI : TFF isiingize siasa za uchaguzi kwenye soka

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa litamualika Waziri wa Ujenzi, Dk John Pombe Magufuli kuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa michuano ya Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki inayoanza mwishoni mwa wiki.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

MAONI: TFF iachane na Ligi Kuu, ijikite kuendeleza soka

>Hivi karibuni Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) lilitangaza orodha ya viwango vya ubora kwa nchi wanachama wake duniani inayoonyesha Tanzania imeshuka kwa nafasi mbili kutoka 105 iliyoshika mwezi uliopita hadi nafasi ya 107.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: TFF isimame kwenye misingi iliyojengwa

>Kocha mpya wa Taifa Stars, Martinus Ignatinus ‘Mart’ Nooij raia wa Uholanzi amesema kazi yake kubwa atakayoanza nayo ni kuhakikisha Stars inafuzu kushiriki fainali za Mataifa ya Afrika za 2015 pamoja mashindano ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN).

 

11 years ago

Michuzi

Tume ya Uchaguzi yavitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kuwatumia mawakala kutoka ndani ya jimbo hilo

TUME ya Taifa ya uchaguzi imevitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kuhakikisha kuwa wanawatumia mawakala wanaotoka katika maeneo au vituo husika vya kupigia kura,ambao watawafahamua na kuwatambua wapiga kura wa eneo husika. 
Akizungumza katika mkutano baina ya vyama vya siasa na tume hiyo,Mwenyekiti wa Tume hiyo,Jaji mstaafu Damiani Lubuva amesema kuwa pamoja na kuwa sheria haikatazi kwa vyama kuteua mawakala wa vyama kutoka majimbo mengine ya...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI :Taifa lisiingie kwenye uchaguzi likiwa limegawanyika

Gazeti hili liliwahi kuandika kuhusu utamaduni unaozidi kujengeka wa kugeuza kila jambo kuwa la dharura na kufanywa kwa haraka haraka kana kwamba Watanzania wapo kwenye nchi hii kwa muda.

 

9 years ago

GPL

VURUGU KWENYE KAMPENI ZA UCHAGUZI HII SIYO SIASA

Na Igenga Mtatiro, Tarime Hii siyo siasa! Ndivyo walivyokuwa wakisema watu wengi mjini hapa baada ya hivi karibuni kushuhudia mtu mmoja, Mwita Bhoke Watei (37), mkazi wa Kijiji cha Nyandage, Kata ya Nyanungu, Tarime mkoani hapa, akiuawa kwa kukatwa mapanga katika vurugu za kampeni za uchaguzi zinazoendelea nchini kote kwa sasa......Soma zaidi===>http://bit.ly/1J9g6dp ...

 

9 years ago

Bongo5

Siasa na uchaguzi vimeleta nuksi kwenye muziki, asema rapper huyu

Cliff Mitindo

Msanii wa muziki wa Hip hop, Cliff Mitindo amesema kampeni za uchaguzi za mwaka huu zimesababisha wasanii wengi kushindwa kufikia malengo waliojiwekea.

Cliff Mitindo

Akizungumza na Bongo5 leo, Cliff amesema hali hiyo imesabisha biashara ya muziki kuyumba kutokana na wateja wao wengi ambao ni mashabiki kuwa busy na siasa.

“Mwaka huu kiukweli kutokana na masuala ya kampeni biashara imeyumba. Kwa sababu kitu ambacho kilikuwa kinasikika ni siasa tu, watu walikuwa wana ratiba za kufanya mambo yao lakini...

 

9 years ago

Michuzi

Haja ya Hoja: vyama vya siasa na hama hama ya wanachama kuelekea kwenye uchaguzi mkuu

Mwaka huu tumeshuhudia uhamaji wa wanachama  na viongozi  wa vyama kuhama kutoka chama kimoja kwenda kingine kuliko kipindi chochote katika historia ya vyama vingi  nchini Tanzania. Wengi wametafsiri hali hiyo kuwa ni ukuwaji wa demokrasia. Jambo ambalo lina ukweli wa aina fulani. Lakini ukiangalia kwa undani wahamaji wa pande zote wamekuwa wakitoa sababu zinazofanana, na yumkini kuhama baada ya matukio yanayofanana kutokea katika  vyama vyao. Wengi wamehama mara baada kukosa nafasi ya...

 

9 years ago

Michuzi

KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAPANGUA AGIZO LA KAMATI YA UCHAGUZI TFF KUSIMAMISHA UCHAGUZI WA TEFA

Kamati ya uchaguzi ya chama cha soka mkoa wa Dar e salaam DRFA,imeshindwa kutekeleza agizo la lililotolewa na mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi ya shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF la kusimamisha mchakato wa uchaguzi wa chama cha soka wilaya ya temeke TEFA uliopangwa kufanyika jumapili agosti 23/2015.
Baada ya kupitia kwa umakini kanuni za uchaguzi za TFF za mwaka 2013 ibara ya 6, na kujiridhisha kuwa hakuna kipengele chochote kinachoruhusu kamati ya uchaguzi ya TFF kuingilia kati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani