Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Siasa na uchaguzi vimeleta nuksi kwenye muziki, asema rapper huyu

Cliff Mitindo

Msanii wa muziki wa Hip hop, Cliff Mitindo amesema kampeni za uchaguzi za mwaka huu zimesababisha wasanii wengi kushindwa kufikia malengo waliojiwekea.

Cliff Mitindo

Akizungumza na Bongo5 leo, Cliff amesema hali hiyo imesabisha biashara ya muziki kuyumba kutokana na wateja wao wengi ambao ni mashabiki kuwa busy na siasa.

“Mwaka huu kiukweli kutokana na masuala ya kampeni biashara imeyumba. Kwa sababu kitu ambacho kilikuwa kinasikika ni siasa tu, watu walikuwa wana ratiba za kufanya mambo yao lakini...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Rapper wa S.A Cassper Nyovest amshirikisha rapper wa U.S.A The Game kwenye album yake mpya, ‘Refiloe’

Rapper wa Afrika Kusini ametoa orodha ya nyimbo zitakazokuwemo kwenye album yake mpya ‘Refiloe’ anayotarajia kuitoa hivi karibuni, na miongoni mwa nyimbo 14 zinazoikamilisha album hiyo imo collabo na rapper wa Marekani, The Game. Wimbo namba 14 kwenye album hiyo ya pili ya Cassper uitwao ‘Cooking in da Kitchen’ ndio aliomshirikisha The Game. Cassper ametoa […]

 

9 years ago

Bongo5

Afande Sele ashauriwa aache siasa na arudi kwenye muziki

Afande-Sele-nzuri_full

Baada ya kutangaza kuachana na muziki na kujikita zaidi kwenye kilimo na siasa, watu wa karibu na Afande Sele wamemshauri kutoachana na kitu anachokiweza zaidi – muziki.

Afande-Sele-nzuri_full

Akizungumza na Bongo5 leo, Afande amesema bado anajifikiria kufanya hivyo lakini anapata wakati mgumu kutokana na siasa kumwingia kwenye damu.

“Sasa hivi kuna vitu vinaanza kunipa warning kuona jinsi siasa ilivyo, sasa hivi naenda mahakamani nina matatizo ya kesi lakini simuoni mtu. Kwahiyo ni hali ambayo inanipelekea...

 

9 years ago

Bongo5

Nay wa Mitego na Diamond wayapeleka mabishano yao ya muziki kwenye siasa, soma vijembe walivyotupiana

Kampeni za uchaguzi zimewatengenisha maswahiba kwenye muziki, Nay wa Mitego na Diamond Platnumz. Wawili hao waliohit na wimbo wao ‘Muziki Gani’ wapo kwenye kampeni za pande mbili zenye nguvu kwenye uchaguzi wa mwaka huu, Ukawa na CCM. Na sasa ubishani wao umehamia kwenye siasa. Kupitia Instagram, Diamond amepost kipande cha video cha show yake ya […]

 

11 years ago

Michuzi

Tume ya Uchaguzi yavitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kuwatumia mawakala kutoka ndani ya jimbo hilo

TUME ya Taifa ya uchaguzi imevitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kuhakikisha kuwa wanawatumia mawakala wanaotoka katika maeneo au vituo husika vya kupigia kura,ambao watawafahamua na kuwatambua wapiga kura wa eneo husika. 
Akizungumza katika mkutano baina ya vyama vya siasa na tume hiyo,Mwenyekiti wa Tume hiyo,Jaji mstaafu Damiani Lubuva amesema kuwa pamoja na kuwa sheria haikatazi kwa vyama kuteua mawakala wa vyama kutoka majimbo mengine ya...

 

9 years ago

Bongo5

Hussein Machozi asema ameng’atuka kwenye muziki kukwepa vishawishi vya kutumia dawa za kulevya

machozi-2

Hussein Machozi ambaye hapo jana ametangaza kuachana na muziki amesema kuwa kuna wasanii wengi ambao hujiingiza kwenye matumizi ya dawa za kulevya kutoka na stress.

machozi-2

Stress anazozizungumzia Hussein ni pamoja na kushindwa kufanya vizuri kwenye muziki kama ilivyomtokea yeye, na pia maneno ya watu wanaowasema vibaya wasanii wanaoamua kuachana na muziki kuwa wamefulia.

“Ngoja leo niwaeleze jambo watanzania unajua kuambiwa umefulia inaumiza sana, hivyo kuna kundi kubwa la wasanii wameingia katika...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : TFF isiingize siasa za uchaguzi kwenye soka

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa litamualika Waziri wa Ujenzi, Dk John Pombe Magufuli kuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa michuano ya Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki inayoanza mwishoni mwa wiki.

 

9 years ago

GPL

VURUGU KWENYE KAMPENI ZA UCHAGUZI HII SIYO SIASA

Na Igenga Mtatiro, Tarime Hii siyo siasa! Ndivyo walivyokuwa wakisema watu wengi mjini hapa baada ya hivi karibuni kushuhudia mtu mmoja, Mwita Bhoke Watei (37), mkazi wa Kijiji cha Nyandage, Kata ya Nyanungu, Tarime mkoani hapa, akiuawa kwa kukatwa mapanga katika vurugu za kampeni za uchaguzi zinazoendelea nchini kote kwa sasa......Soma zaidi===>http://bit.ly/1J9g6dp ...

 

9 years ago

Bongo5

The Game kuzichapa ulingoni na rapper huyu?

1215-the-game-stitches-composite-11

The Game anaweza kupata fursa ya kumaliza beef na rapper mwenzie, Stitches bila kuwwa na hatari ya kwenda jela kwakuwa amepewa ofa ya kupanda ulingoni kuzichapa na tayari mwenzie ameshasaini makubaliano.

1215-the-game-stitches-composite-11

Damon Feldman anapromote pambano hilo la mastaa na ameiambia TMZ kuwa litakuwwa la raundi 3 na kila moja ikiwa na sekunde 90.

Wawili hao waliiingia kwenye ugomvi jijini Miami ambapo Stitches alipigwa ngumi na mpambe wa The Game na kuanguka.

Bado tarehe ya pambano hilo haijatangazwa na kama...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mwenyekiti wa UVCCM Singida, asema watoa rushwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu, wasichaguliwe

mkt

Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Singida, Martin Lissu akizungumza kwenye mkutano mkuu wa Uchaguzi wa UVCCM Wilaya ya Singida Mjini juzi, Lissu alikemea vitendo vya rushwa ndani ya CCM.

lissu

Martin Lissu Mwenyekiti wa Uvccm Mkoa wa Singida.

katibu

Katibu wa UVCCM, Wilaya ya Singida Mjini, Pamfil James akisoma taarifa ya chama kwa wajumbe wa mkutano mkuu huo.

wagombea

Wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Singida wakiwa wanasubiri matokeo ya uchaguzi huo.

wajumbe

Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa UVCCM Wilaya ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani