The Game kuzichapa ulingoni na rapper huyu?
The Game anaweza kupata fursa ya kumaliza beef na rapper mwenzie, Stitches bila kuwwa na hatari ya kwenda jela kwakuwa amepewa ofa ya kupanda ulingoni kuzichapa na tayari mwenzie ameshasaini makubaliano.
Damon Feldman anapromote pambano hilo la mastaa na ameiambia TMZ kuwa litakuwwa la raundi 3 na kila moja ikiwa na sekunde 90.
Wawili hao waliiingia kwenye ugomvi jijini Miami ambapo Stitches alipigwa ngumi na mpambe wa The Game na kuanguka.
Bado tarehe ya pambano hilo haijatangazwa na kama...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo516 Oct
Rapper wa S.A Cassper Nyovest amshirikisha rapper wa U.S.A The Game kwenye album yake mpya, ‘Refiloe’
9 years ago
Bongo511 Dec
Siasa na uchaguzi vimeleta nuksi kwenye muziki, asema rapper huyu
![Cliff Mitindo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/Cliff-Mitindo-300x194.jpg)
Msanii wa muziki wa Hip hop, Cliff Mitindo amesema kampeni za uchaguzi za mwaka huu zimesababisha wasanii wengi kushindwa kufikia malengo waliojiwekea.
Akizungumza na Bongo5 leo, Cliff amesema hali hiyo imesabisha biashara ya muziki kuyumba kutokana na wateja wao wengi ambao ni mashabiki kuwa busy na siasa.
“Mwaka huu kiukweli kutokana na masuala ya kampeni biashara imeyumba. Kwa sababu kitu ambacho kilikuwa kinasikika ni siasa tu, watu walikuwa wana ratiba za kufanya mambo yao lakini...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AWtUtwI_-Es/U3t7GuRfUwI/AAAAAAAFj2w/3aP-TrYA4i8/s72-c/unnamed+(4).jpg)
CHOKORAA KUPANDA ULINGONI MAY 24
![](http://4.bp.blogspot.com/-AWtUtwI_-Es/U3t7GuRfUwI/AAAAAAAFj2w/3aP-TrYA4i8/s1600/unnamed+(4).jpg)
Chokoraa alisema muda mrefu amekuwa akifanya mazoezi ya kujenga mwili na ya ngumi kwa muda mrefu na amekuwa akipigana na mabondia tofautitofauti mazoezini na kuona uwezo wao ni wa kawaida, hivyo anataka kuwaonesha kama ana kipaji kingine zaidi...
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
Mayweather kupanda ulingoni septemba
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-G8LL_rdhOXo/VjNkOYXQADI/AAAAAAAIDgA/W_eD5h9fGNM/s72-c/index.jpg)
CHEKA ULINGONI UINGEREZA NOVEMBA 7
![](http://4.bp.blogspot.com/-G8LL_rdhOXo/VjNkOYXQADI/AAAAAAAIDgA/W_eD5h9fGNM/s1600/index.jpg)
Akizungumza kwa njia ya simu jana, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Advance Security Limited, Juma Ndambile amesema kuwa Cheka anatarajia kuondoka wiki ijayo kwa ajili ya pambano hilo.Ndambile ambaye ni meneja wa Cheka, alisema kuwa tayari msaidizi wake, Rashid Nassoro yupo nchini Uingereza akiwa na mabondia wengine wawili huku...
11 years ago
Mwananchi26 May
Magia, Kiwale ulingoni Juni 7
9 years ago
Habarileo11 Nov
Bondia Tamba kupanda ulingoni Nov 22
BONDIA Ibrahimu Tamba anatarajia kupanda ulingoni Novemba 22 katika ukumbi wa Friends Corner Manzese Dar es Salaam kupambana na bondia Baraka Mwakansope kutoka Mbeya.
10 years ago
Mwananchi09 Mar
Koba: Dakika tisa ulingoni zilinipa kazi