Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rapper wa S.A Cassper Nyovest amshirikisha rapper wa U.S.A The Game kwenye album yake mpya, ‘Refiloe’

Rapper wa Afrika Kusini ametoa orodha ya nyimbo zitakazokuwemo kwenye album yake mpya ‘Refiloe’ anayotarajia kuitoa hivi karibuni, na miongoni mwa nyimbo 14 zinazoikamilisha album hiyo imo collabo na rapper wa Marekani, The Game. Wimbo namba 14 kwenye album hiyo ya pili ya Cassper uitwao ‘Cooking in da Kitchen’ ndio aliomshirikisha The Game. Cassper ametoa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Rapper Cassper Nyovest wa Afrika Kusini apata deal la kihistoria

Rapper wa Afrika Kusini, Refiloe Phoolo maarufu kama Cassper Nyovest amesaini deal la ubalozi kubwa zaidi katika historia ya muziki nchini humo. Welcoming @CassperNyovest to the MTN family! He's officially our new brand ambassador! Fun times ahead! #MTNCassper pic.twitter.com/6eOe0wJhMC — MTN South Africa (@MTNza) October 22, 2015 Rapper huyo amekuwa balozi wa mtandao wa MTN. […]

 

10 years ago

Bongo5

Rapper M.I wa Nigeria awashirikisha wasanii 27 kwenye album mpya

Rapper wa Nigeria M.I anatarajia kuachia album mpya ambayo amewashirikisha jumla ya wasanii 27 kutoka Nigeria, Jamaica na Ghana. M.I ameshare cover ya album hiyo iitwayo ‘Chairman’ kwenye akaunti yake ya Instagram. Wasanii 27 aliowashirikisha ni: Ice Prince, Sarkodie, Sound Sultan, Tuface, Wizkid, Beenie Man, Olamide, Phyno, Reminisce, Patoranking, Seyi Shay, Runtown, Frank Edwards, Storm […]

 

9 years ago

Bongo5

Runtown wa Nigeria amshirikisha Dj Khaled kwenye Album yake mpya

runtown n dj khaled

Mwimbaji wa ‘Gallardo’, Runtown kutoka Nigeria ameingia kwenye orodha ya wasanii wa nchi hiyo waliofanikiwa kufanya kazi na masataa wa Marekani.

runtown n dj khaled

Runtown ambaye hivi karibuni alikuja nchini kwenye finali za Bongo Star Search, na ambaye ameshafanya kazi na baadhi ya wasanii wa Tanzania akiwemo Chege, amemshirikisha Dj maarufu wa Marekani, DJ Khaled ambaye pia ni producer kwenye album yake mpya ‘Ghetto University’ itakayotoka Nov.23.

Runtown album-2

Runtown ameshare cover pamoja na orodha ya nyimbo za album...

 

9 years ago

MillardAyo

Rapper mtanzania aliyewahi kushirikishwa na Kanye West kuitoa hii yake album sokoni…

Ni headlines za rapper aishiye Marekani ‘Minnesota’ mwenye asili ya Tanzania ambaye aliwahi kushirikishwa na Kanye West kwenye ngoma iitwayo ‘All Day’. Good news ninayotaka kushea na wewe ni kwamba mtanzania huyo hivi karibuni anatarajia kuachia album yake mpya iitwayo ‘NORTHERN LIGHTS’ tarehe 6 mwezi January tukae mkao wa kuipokea.   My new project NORTHERN […]

The post Rapper mtanzania aliyewahi kushirikishwa na Kanye West kuitoa hii yake album sokoni… appeared first on...

 

5 years ago

Bongo5

Cassper Nyovest kufungua ‘Family Tree Store’ yake mpya April 27, Johannesburg

Cassper Nyovest anazidi kutanua mabawa yake.

Rapper huyo mwenye rekodi za kutosha nchini Afrika Kusini, hivi karibuni alipata shavu la ubalozi wa Ciroc na sasa amepanga kuingia kwenye biashara nyinge ya kuuza bidhaa mbalimbali yakiwemo mavazi yake.

Kupitia mtandao wa Instagram, Cassper amethibtisha kufungua duka lake jipya litakaloitwa, ‘Family Tree Store’ tarehe April 27 mjini Johannesburg. Duka hilo lintarajia kuipa nguvu lebo yake ya ‘Family Tree Records’.

“Proud to announce that we...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Cassper Nyovest aendeleza mashambulizi kwa AKA kwenye diss track mpya ‘Dust 2 Dust’

Beef ya marapper wa Afrika Kusini, Cassper Nyovest na AKA imeingia kwenye hatua nyingine baada ya Cassper kuachia diss track nyingine mpya ‘Dust 2 Dust’. AKA ndiye aliyeanza kwa kumdiss Cassper kwenye wimbo wake ‘Compossure’. Hii ni baadhi ya mistari inayomlenga AKA katika wimbo huu ‘Dust 2 Dust’ -‘Are you mad cuz they never show […]

 

9 years ago

Bongo5

The Game kuzichapa ulingoni na rapper huyu?

1215-the-game-stitches-composite-11

The Game anaweza kupata fursa ya kumaliza beef na rapper mwenzie, Stitches bila kuwwa na hatari ya kwenda jela kwakuwa amepewa ofa ya kupanda ulingoni kuzichapa na tayari mwenzie ameshasaini makubaliano.

1215-the-game-stitches-composite-11

Damon Feldman anapromote pambano hilo la mastaa na ameiambia TMZ kuwa litakuwwa la raundi 3 na kila moja ikiwa na sekunde 90.

Wawili hao waliiingia kwenye ugomvi jijini Miami ambapo Stitches alipigwa ngumi na mpambe wa The Game na kuanguka.

Bado tarehe ya pambano hilo haijatangazwa na kama...

 

9 years ago

MillardAyo

Dakika tatu za kumsikiliza rapper Black Rhino kwenye ngoma mpya,- ‘Time ya Kumeki Doo’ (+Audio)

Ukitaja list ya mastaa wa rap ambao waliwahi kufanya vizuri TZ toka kipindi ambacho game ya Bongo fleva ilianza kushika, huwezi kuacha jina la Black Rhino. Unaikumbuka ‘Usipime‘ ?!! Au unakumbuka ile michano ya kwenye ‘Chagua Moja‘ ya Fid Q ?!! Basi huyu ndio Black Rhino kwenye ukali wake, kaja na ngoma nyingine ambayo imetambulishwa […]

The post Dakika tatu za kumsikiliza rapper Black Rhino kwenye ngoma mpya,- ‘Time ya Kumeki Doo’ (+Audio) appeared first on...

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIAN RAPPER FID Q ALBUM LISTENING PARTY AT NAIROBI RAPSODY - THUR JUNE 4TH

After a successful event with Brooklyn, NY hip hop artist Yasiin Bey (Mosdef) in his first East African showcase, Nairobi Rapsody is back this Thursday (4th June) with Tanzania’s hip hop wordsmith - FID Q.

Welcome to Ebony Lounge from 10:00 p.m. (Thursday 4th June) for an exclusive night with Coke Studio Africa season 3 artist: FID Q of the hit Bongo Hip Hop. He will be in Nairobi, Kenya hosting a Listening Party of his upcoming third album Kitaaolojia (Streetology) for the first time. The...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani