Rapper wa S.A Cassper Nyovest amshirikisha rapper wa U.S.A The Game kwenye album yake mpya, ‘Refiloe’
Rapper wa Afrika Kusini ametoa orodha ya nyimbo zitakazokuwemo kwenye album yake mpya ‘Refiloe’ anayotarajia kuitoa hivi karibuni, na miongoni mwa nyimbo 14 zinazoikamilisha album hiyo imo collabo na rapper wa Marekani, The Game. Wimbo namba 14 kwenye album hiyo ya pili ya Cassper uitwao ‘Cooking in da Kitchen’ ndio aliomshirikisha The Game. Cassper ametoa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo526 Oct
Rapper Cassper Nyovest wa Afrika Kusini apata deal la kihistoria
10 years ago
Bongo530 Oct
Rapper M.I wa Nigeria awashirikisha wasanii 27 kwenye album mpya
9 years ago
Bongo512 Nov
Runtown wa Nigeria amshirikisha Dj Khaled kwenye Album yake mpya
![runtown n dj khaled](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/runtown-n-dj-khaled-300x194.jpg)
Mwimbaji wa ‘Gallardo’, Runtown kutoka Nigeria ameingia kwenye orodha ya wasanii wa nchi hiyo waliofanikiwa kufanya kazi na masataa wa Marekani.
Runtown ambaye hivi karibuni alikuja nchini kwenye finali za Bongo Star Search, na ambaye ameshafanya kazi na baadhi ya wasanii wa Tanzania akiwemo Chege, amemshirikisha Dj maarufu wa Marekani, DJ Khaled ambaye pia ni producer kwenye album yake mpya ‘Ghetto University’ itakayotoka Nov.23.
Runtown ameshare cover pamoja na orodha ya nyimbo za album...
9 years ago
MillardAyo03 Jan
Rapper mtanzania aliyewahi kushirikishwa na Kanye West kuitoa hii yake album sokoni…
Ni headlines za rapper aishiye Marekani ‘Minnesota’ mwenye asili ya Tanzania ambaye aliwahi kushirikishwa na Kanye West kwenye ngoma iitwayo ‘All Day’. Good news ninayotaka kushea na wewe ni kwamba mtanzania huyo hivi karibuni anatarajia kuachia album yake mpya iitwayo ‘NORTHERN LIGHTS’ tarehe 6 mwezi January tukae mkao wa kuipokea. My new project NORTHERN […]
The post Rapper mtanzania aliyewahi kushirikishwa na Kanye West kuitoa hii yake album sokoni… appeared first on...
5 years ago
Bongo514 Feb
Cassper Nyovest kufungua ‘Family Tree Store’ yake mpya April 27, Johannesburg
Cassper Nyovest anazidi kutanua mabawa yake.
Rapper huyo mwenye rekodi za kutosha nchini Afrika Kusini, hivi karibuni alipata shavu la ubalozi wa Ciroc na sasa amepanga kuingia kwenye biashara nyinge ya kuuza bidhaa mbalimbali yakiwemo mavazi yake.
Kupitia mtandao wa Instagram, Cassper amethibtisha kufungua duka lake jipya litakaloitwa, ‘Family Tree Store’ tarehe April 27 mjini Johannesburg. Duka hilo lintarajia kuipa nguvu lebo yake ya ‘Family Tree Records’.
“Proud to announce that we...
9 years ago
Bongo503 Oct
Music: Cassper Nyovest aendeleza mashambulizi kwa AKA kwenye diss track mpya ‘Dust 2 Dust’
9 years ago
Bongo516 Dec
The Game kuzichapa ulingoni na rapper huyu?
![1215-the-game-stitches-composite-11](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1215-the-game-stitches-composite-11-300x194.jpg)
The Game anaweza kupata fursa ya kumaliza beef na rapper mwenzie, Stitches bila kuwwa na hatari ya kwenda jela kwakuwa amepewa ofa ya kupanda ulingoni kuzichapa na tayari mwenzie ameshasaini makubaliano.
Damon Feldman anapromote pambano hilo la mastaa na ameiambia TMZ kuwa litakuwwa la raundi 3 na kila moja ikiwa na sekunde 90.
Wawili hao waliiingia kwenye ugomvi jijini Miami ambapo Stitches alipigwa ngumi na mpambe wa The Game na kuanguka.
Bado tarehe ya pambano hilo haijatangazwa na kama...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Dakika tatu za kumsikiliza rapper Black Rhino kwenye ngoma mpya,- ‘Time ya Kumeki Doo’ (+Audio)
Ukitaja list ya mastaa wa rap ambao waliwahi kufanya vizuri TZ toka kipindi ambacho game ya Bongo fleva ilianza kushika, huwezi kuacha jina la Black Rhino. Unaikumbuka ‘Usipime‘ ?!! Au unakumbuka ile michano ya kwenye ‘Chagua Moja‘ ya Fid Q ?!! Basi huyu ndio Black Rhino kwenye ukali wake, kaja na ngoma nyingine ambayo imetambulishwa […]
The post Dakika tatu za kumsikiliza rapper Black Rhino kwenye ngoma mpya,- ‘Time ya Kumeki Doo’ (+Audio) appeared first on...
10 years ago
Vijimambo03 Jun
TANZANIAN RAPPER FID Q ALBUM LISTENING PARTY AT NAIROBI RAPSODY - THUR JUNE 4TH
Welcome to Ebony Lounge from 10:00 p.m. (Thursday 4th June) for an exclusive night with Coke Studio Africa season 3 artist: FID Q of the hit Bongo Hip Hop. He will be in Nairobi, Kenya hosting a Listening Party of his upcoming third album Kitaaolojia (Streetology) for the first time. The...