Dakika tatu za kumsikiliza rapper Black Rhino kwenye ngoma mpya,- ‘Time ya Kumeki Doo’ (+Audio)
Ukitaja list ya mastaa wa rap ambao waliwahi kufanya vizuri TZ toka kipindi ambacho game ya Bongo fleva ilianza kushika, huwezi kuacha jina la Black Rhino. Unaikumbuka ‘Usipime‘ ?!! Au unakumbuka ile michano ya kwenye ‘Chagua Moja‘ ya Fid Q ?!! Basi huyu ndio Black Rhino kwenye ukali wake, kaja na ngoma nyingine ambayo imetambulishwa […]
The post Dakika tatu za kumsikiliza rapper Black Rhino kwenye ngoma mpya,- ‘Time ya Kumeki Doo’ (+Audio) appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo517 Dec
Music: Black Rhino Ft HDN & Chibwa Man – Time ya Kumeki Doo
![Black Rhino](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Black-Rhino-300x194.jpg)
Rapper ambaye aliwahi kufanya vizuri TZ kipindi cha nyuma ambacho game ya Bongo fleva ilikuwa inaanza kushika, Black Rhino alikuwa mmoja wapo alifanya vizuri na ngoma kama ‘Usipime‘, ‘Chagua Moja‘ ya Fid Q! kaachia ngoma nyingine impya inaitwa “Time ya Kumeki Doo” humu ndani amewashirikisha HDN na Chibwa Man. Studio Free Nation Sound.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube...
10 years ago
Bongo510 Dec
Audio: Nikki Mbishi alegeza kwenye ngoma mpya ‘Tulia’
10 years ago
Bongo508 Oct
Audio: Soggy Doggy awakusanya Nature, Inspekta, Suma G kwenye ngoma mpya
9 years ago
Bongo516 Oct
Rapper wa S.A Cassper Nyovest amshirikisha rapper wa U.S.A The Game kwenye album yake mpya, ‘Refiloe’
9 years ago
Bongo522 Sep
Black Rhino asimulia jinsi collabo ya Chagua Moja ya Fid Q, Langa na Adili ilivyowaweka kwenye ushindani wa kutaka kufunikana
10 years ago
Bongo505 Feb
Vanessa Mdee na Davido washirikishwa kwenye ngoma moja ya msanii wa Ghana, D-Black
11 years ago
CloudsFM09 Jul
Audio: Ngoma mpya toka kwa Usher ft. Nick Minaj
![](http://1.bp.blogspot.com/-q_qvYzyZkl0/U70G5Kj1r1I/AAAAAAAAFN4/KF3ZvzR73HI/s1600/Usher-n-Nicki.jpg)
Ingawa bado ngoma ya "Good Kisser" inaendelea kufanya poa kwenye media mbali mbali, siku ya jana (July 8) Usher amedondosha ngoma nyine mpya amabayo amemshirikisha Rapper Nick Minaj ngoma inakwenda kwa jina la She Came To Give It To You
10 years ago
Bongo530 Oct
Rapper M.I wa Nigeria awashirikisha wasanii 27 kwenye album mpya
10 years ago
CloudsFM20 Nov
DIAMOND AACHIA AUDIO&VIDEO YA NGOMA YAKE MPYA IITWAYO NTAMPATA WAPI
Diamond Platinumz wakati akitambulisha ngoma yake mpya iitwayo Ntapata Wapi leo hii kwenye kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM.
Hapa akichagua barua za wale waliotuma kwa ajili ya watoto wao wanaompenda Diamond na atakayeshinda atatembelewa na msanii huyo nyumbani kwake.