Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Music: Black Rhino Ft HDN & Chibwa Man – Time ya Kumeki Doo

Black Rhino

Rapper ambaye aliwahi kufanya vizuri TZ kipindi cha nyuma ambacho game ya Bongo fleva ilikuwa inaanza kushika, Black Rhino alikuwa mmoja wapo alifanya vizuri na ngoma kama ‘Usipime‘, ‘Chagua Moja‘ ya Fid Q! kaachia ngoma nyingine impya inaitwa “Time ya Kumeki Doo” humu ndani amewashirikisha HDN na Chibwa Man. Studio Free Nation Sound.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Dakika tatu za kumsikiliza rapper Black Rhino kwenye ngoma mpya,- ‘Time ya Kumeki Doo’ (+Audio)

Ukitaja list ya mastaa wa rap ambao waliwahi kufanya vizuri TZ toka kipindi ambacho game ya Bongo fleva ilianza kushika, huwezi kuacha jina la Black Rhino. Unaikumbuka ‘Usipime‘ ?!! Au unakumbuka ile michano ya kwenye ‘Chagua Moja‘ ya Fid Q ?!! Basi huyu ndio Black Rhino kwenye ukali wake, kaja na ngoma nyingine ambayo imetambulishwa […]

The post Dakika tatu za kumsikiliza rapper Black Rhino kwenye ngoma mpya,- ‘Time ya Kumeki Doo’ (+Audio) appeared first on...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Black Rhino Ft Ishmae & YoungboiVeezo – We Get it on

Hii ni video mpya ya rapper Black Rhino baada ya kimya huu ndo ujuo wake mpya akiwashirikisha Ishmae na YoungboiVeezo wimbo unaitwa “We Get It On” video imefanyika South Africa Related Tags:

 

9 years ago

Bongo5

Music: Tunda Man & Matonya – Ugomvi

Huu ni wimbo mpya unaitwa “Ugomvi” wasanii Tunda Man na Matonyo. Studio Chaiderz Records Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Daz Baba Ft Man Chipi & Bella B – Pointa

Huu ni wimbo mpya kutoka kwa Daz Baba akiwa shirikisha Man Chipi na Bella B wimbo unaitwa “Pointa”

 

9 years ago

Bongo5

Video: Berry Black Ft Alice & Digna – Mtuwaache

Berry Black

Hii ni video mpya ya msanii kutoka Zanzibar Berry Black amewashirikisha Alice & Digna wimbo unaitwa “Mtuwaache”. video imeongozwa na Pablo D360.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Music: Kid Ink Feat. Chris Brown, French Montana, & Verse Simmonds – ‘Diamonds & Gold (Remix)’

Kid Ink drops off a remix to his song “Diamonds & Gold” with a star-studded cast of features. Chris Brown and French Montana both lend new verses to the David D.A. Doman-produced track off the deluxe edition of Full Speed. “Baby keep running,” croons Breezy over the bouncy instrumental. “I’ll put you in diamonds and […]

 

9 years ago

Bongo5

Music: Banky W & Chidinma – All I Want Is You

Banky-W-Chidinma-All-I-Want-Is-You-ART2

Wasanii Banky W na Chidinma kutoka Nigeria wameachia wimbo mpya unaitwa “All I Want Is You”, Kazi imetaarishwa na Producer T.K ambae yumo pia kwenye list ya maproducer 10 wakali Nigeria.

http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Banky-W-Chidinma-All-I-Want-Is-You.mp3

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Flavour f/ Phyno & M.I – Wiser

Baada ya Flavour kuachia album yake mpya, ‘Thankful’, jana 14 November yenye nyimbo 21, ameachia single mpya iitwayo Wiser aliyowashirikisha Phyno and M.I.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani