Audio: Soggy Doggy awakusanya Nature, Inspekta, Suma G kwenye ngoma mpya
Rapper mkongwe na mtangazaji wa redio, Soggy Doggy amesema yupo mbioni kuachia ngoma mpya na wasanii wakongwe wenzie, Juma Nature, Inspekta Haroun, Suma G na Hammer Q. Soggy ameiambia Bongo5 kuwa ngoma hiyo imetayarishwa na Q the Don. “Tangu nimerudi kuishi Dar nimeshaenda studio za Majani sana. Zaidi ya muziki natarajia zaidi kurekodi lakini kuna […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo520 Oct
New Music: Soggy/Suma-G/Inspector/Juma Nature/Hammer Q — Wakali wa hizi Kazi
9 years ago
Bongo514 Dec
Dully awakusanya Diamond, Christian Bella na Mzee Yusuf kwenye ngoma zake mbili mpya
![Dully](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Dully-300x194.jpg)
Baada ya kuachia kolabo yake akiwa na vijana wa Yamoto Band, Dully Sykes anatarajia kuachia kolabo zake nyingine mbili ambapo moja akiwa na Diamond na nyingine akiwa na Christian Bella na Mzee Yusuf.
Akizungumza na kipindi cha Siz Kitaa kinachoruka kupitia Clouds TV, Dully alisema tayari ameshafanya nyimbo nyingi akiwa peke yake na wakati huu ni wa kolabo.
“Mimi nimefanya nyimbo nyingi sana mwenyewe na nyingi zimefanya vizuri. Kwahiyo sasa hivi mimi natoa nyimbo ambazo nimeshirikiana. Baada...
10 years ago
Bongo514 Sep
Video: Tazama walichofanya Soggy Doggy,Wakazi na TID kwenye uzinduzi wa video za Professor Jay
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-h7BG5NPyFXc/VTYr-8s8c5I/AAAAAAAABVw/aoZcuXVUn1s/s72-c/nafunga%2Bzipu%2Bartwork.png)
10 years ago
Bongo510 Dec
Audio: Nikki Mbishi alegeza kwenye ngoma mpya ‘Tulia’
9 years ago
Bongo529 Oct
Soggy Doggy adai mashabiki wa sasa wanapenda ‘kutazama kuliko kusikiliza’
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Dakika tatu za kumsikiliza rapper Black Rhino kwenye ngoma mpya,- ‘Time ya Kumeki Doo’ (+Audio)
Ukitaja list ya mastaa wa rap ambao waliwahi kufanya vizuri TZ toka kipindi ambacho game ya Bongo fleva ilianza kushika, huwezi kuacha jina la Black Rhino. Unaikumbuka ‘Usipime‘ ?!! Au unakumbuka ile michano ya kwenye ‘Chagua Moja‘ ya Fid Q ?!! Basi huyu ndio Black Rhino kwenye ukali wake, kaja na ngoma nyingine ambayo imetambulishwa […]
The post Dakika tatu za kumsikiliza rapper Black Rhino kwenye ngoma mpya,- ‘Time ya Kumeki Doo’ (+Audio) appeared first on...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/db0iKKPPZ8E/default.jpg)
11 years ago
CloudsFM09 Jul
Audio: Ngoma mpya toka kwa Usher ft. Nick Minaj
![](http://1.bp.blogspot.com/-q_qvYzyZkl0/U70G5Kj1r1I/AAAAAAAAFN4/KF3ZvzR73HI/s1600/Usher-n-Nicki.jpg)
Ingawa bado ngoma ya "Good Kisser" inaendelea kufanya poa kwenye media mbali mbali, siku ya jana (July 8) Usher amedondosha ngoma nyine mpya amabayo amemshirikisha Rapper Nick Minaj ngoma inakwenda kwa jina la She Came To Give It To You