Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Tazama walichofanya Soggy Doggy,Wakazi na TID kwenye uzinduzi wa video za Professor Jay

Wasanii kibao walijitokeza kumsapoti Professor Jay kwenye uzinduzi wa video zake mbili Jumamosi hii. Soggy Doggy,Wakazi na TID ni baadhi ya wasanii waliotumbuizam Tazama ilivyokuwa. TID aikiimba wimbo wa Missing You wa KC & JOJO TID na Wakazi wakitoa Freestyle Soggy Doggy akitumbuiza

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Picha: Uzinduzi wa video mbili za Professor Jay

Gwiji wa muziki wa Hip Hop Bongo, Joseph Haule aka Professor Jay usiku wa Jumamosi aliwapa zawadi mashabiki na wapenzi wa muziki wake kwa kwenye uzinduzi wa video zake mbili mpya, Tatu Chafu na Kipi Sijasikia. Uzinduzi huo ulifanyika ndani ya ukumbi wa Ten Lounge zamani ukifahamika kama Letasi Lounge uliopo maeneo ya Victoria jijini […]

 

10 years ago

Bongo5

Video Teaser: Kionjo cha video mpya ya Professor Jay ‘Kipi Sijasikia’ (HD)

Joseph Haule aka Professor Jay yuko mbioni kuachia video ya single yake ‘Kipi Sijaskia’ aliyomshirikisha Diamond Platnumz. Hiki ni kionjo cha video hiyo ambayo imeongozwa na Adam Juma wa Visual Lab: Next Level.

 

10 years ago

Bongo5

Audio: Soggy Doggy awakusanya Nature, Inspekta, Suma G kwenye ngoma mpya

Rapper mkongwe na mtangazaji wa redio, Soggy Doggy amesema yupo mbioni kuachia ngoma mpya na wasanii wakongwe wenzie, Juma Nature, Inspekta Haroun, Suma G na Hammer Q. Soggy ameiambia Bongo5 kuwa ngoma hiyo imetayarishwa na Q the Don. “Tangu nimerudi kuishi Dar nimeshaenda studio za Majani sana. Zaidi ya muziki natarajia zaidi kurekodi lakini kuna […]

 

11 years ago

Bongo5

Wewe ni shabiki wa professor Jay? Atoa mwaliko kwa anayetaka kutokea kwenye video ya ‘Kipi Sijasikia’ Jumamosi hii (July 12)

Rapper mkongwe Professor Jay anatarajia kushoot video ya single yake ya sasa ‘Kipi Sijasikia’ aliyomshirikisha Diamond Platnumz weekend hii. Kupitia Instagram Jay ametoa mwaliko kwa shabiki wake yeyote atakayependa kuonekana kwenye video hiyo itakayoanza kurekodiwa Jumamosi hii (July 12). “KINGS and QUEENS wote Mnakaribishwa kwenye Video shooting ya KIPI SIJASIKIA, MUHIMU; Vigezo na Masharti Kuzingatiwa!!!” […]

 

9 years ago

MillardAyo

Ni TID , Marlaw, AY, Ray C, Daz baba, Suma Lee,kwenye video zao enzi hizo…(+Video)

Muziki wa Bongo Fleva una safari yake ndefu tu, wengine wapo kwenye game wengine hawapo…..nakukumbusha na vitu vya zamani kidogo mtu wangu, hapa ninazo video za kitambo kidogo za mastaa mbalimbali TZ kwenye ubora wao yani enzi hizo. Ninazo video 10 zilizokuwa zikitambata enzi hizo.. TID – zeze Marlaw –Bembeleza Ray C – Uko wapi […]

The post Ni TID , Marlaw, AY, Ray C, Daz baba, Suma Lee,kwenye video zao enzi hizo…(+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

‘Ligi Ndogo’ hii hapa kwenye video iliyochanganywa TZ na South Africa >> Bil Nas Feat. TID (Video)

‘Ligi Ndogo’ nayo ni moja ya ngoma kali za kuheshimika kwa mwaka 2015, hiyo ni kazi ya kijana mwenye ukali wake kwenye rap music, Billnass Feat. TID. Kwa sababu redioni imekamata na imekubalika, unaweza kuona na video yake ilivyo sasahivi… Billnass aliikabidhi kazi kwa director Mbongo, Hanscana na kazi ndio hii imekuja tayari. Unataka kutumiwa […]

The post ‘Ligi Ndogo’ hii hapa kwenye video iliyochanganywa TZ na South Africa >> Bil Nas Feat. TID (Video) appeared first on...

 

11 years ago

Bongo5

Picha:Professor Jay aanza ku-shoot video ya ‘Kipi Sijasikia’ ,P-Funk kuwa hakimu

Msanii wa muziki wa Hip Hop Professor Jay ameanza ku-shoot video ya wimbo ‘Kipi Sijasika’ ambao amemshirikisha msanii Diamond. Professor Jay akiwa na pingu mkononi na P-Funk akiwa kwenye vazi la hakimu Katika picha ambazo zimetoka hivi punde zimemuonyesha prodyuza mkongwe wa muziki nchini P-Funk Majani akiwa na vazi la hakimu wa mahakama huku Professor […]

 

10 years ago

Africanjam.Com

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani